The simple one
JF-Expert Member
- Oct 13, 2016
- 264
- 346
85B6BE7
Kila cku hua Nakua serious sana kasoro leo
Kila cku hua Nakua serious sana kasoro leo
Huu mkeka mhhh85B6BE7
Kila cku hua Nakua serious sana kasoro leo
As long as hela ya kula na kufanya starehe zangu nyingine zipo, nimegundua sina sababu ya kukomaa na matreni au mikeka midogo na kupoteza 30K -100k per week.Tatizo la Jackport huwezi kucash out mzee, treni kuna muda unakuta umewaka timu 25 na 18 zimetoa ww unacash out hizo zingine watua wenyewe.
naomba link ya sportybet..vp kuweka na kutoa pesa wako vzr?Leo nmeprove kwa wingi wa odds ni Sportybet na Pmbet hakuna cha 22bet wala mwingine
Ukifanya analysis utume hapa fanya ivyoAs long as hela ya kula na kufanya starehe zangu nyingine zipo, nimegundua sina sababu ya kukomaa na matreni au mikeka midogo na kupoteza 30K -100k per week.
Nimegundua kwamba hizo hela ni bora nizielekeze kwenye jackpot ikiwa lengo langu ni kutafuta ushinde mkubwa.
Sina uhakika na kuhama kampuni,kama tatizo ni kufanya utafiti na uchaguzi sahihi ni shida hata ukienda kampuni gani hutaweza piaWakuu mwenye app ya sportybet aniwekee link hapa..vipigo vimezid hadi nahama makampun kwanza
Haitasaidia kitu sana sana unazidi kuwatajirisha tu 😆Wakuu mwenye app ya sportybet aniwekee link hapa..vipigo vimezid hadi nahama makampun kwanza
Fungua PM yako mkuu..Mkuu mbona unafoka hivo, sikulazimishi kunifuata pm na wala siuzi mechi natoa bure nikizipata za ukweli.
Kashinda extra time ni lose halali
Hee Kampuni gan hii INA adi Tanzania ligi 1 ?
Lkn timu si zilezile mkuu?Wakuu mwenye app ya sportybet aniwekee link hapa..vipigo vimezid hadi nahama makampun kwanza
Kuna uafadhali fulan mkuu, betpawa wana options chache sana..bora nijaribu na huko..Mimi huwa natumia zaid sportpesa na betpawa so nataka nijaribu na huko kwingine kwenye options nyingi.Haitasaidia kitu sana sana unazidi kuwatajirisha tu
Kuna uafadhali fulan mkuu, betpawa wana options chache sana..bora nijaribu na huko..Mimi huwa natumia zaid sportpesa na betpawa so nataka nijaribu na huko kwingine kwenye options nyingi.Sina uhakika na kuhama kampuni,kama tatizo ni kufanya utafiti na uchaguzi sahihi ni shida hata ukienda kampuni gani hutaweza pia
Timu ni zilezile lakini options na odds zinakua tofauti,wakati mwingine pia hata kwenye kuweka na kutoa ni tofauti.Lkn timu si zilezile mkuu?
Kila la heri mkuuKuna uafadhali fulan mkuu, betpawa wana options chache sana..bora nijaribu na huko..Mimi huwa natumia zaid sportpesa na betpawa so nataka nijaribu na huko kwingine kwenye options nyingi.
Jaribu sportybet wako poa sana yaani hadi mechi unaangalia live huku una bet..options kama zote,pesa ukila unaipata wakati huohuo..Sport pesa ni matapeli wakiona kuna options za kupiga pesa kama over 1.5 hawaziweki wanakuwekea game itoe zaidi ya goli 3Kila la heri mkuu
Nakuombea upate
Sportybet wana best betting app...unacheki game live,virtual live,live games ,michezo yote ipo,ligi zoteWadau betting platform gani ina virtual game nzuri?