Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,019
- 21,900
Tatizo la Jackport huwezi kucash out mzee, treni kuna muda unakuta umewaka timu 25 na 18 zimetoa ww unacash out hizo zingine watua wenyewe.
Kiufupi treni sio nzuri kwa afya ya msafiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo la Jackport huwezi kucash out mzee, treni kuna muda unakuta umewaka timu 25 na 18 zimetoa ww unacash out hizo zingine watua wenyewe.
Sio nzuri ila hailingani na JACKPORT ambayo inakulimit option, yaan wewe ni 1 X 2 hii huwa ngumu mno. Kama hizo JACKPORT WANGEWEKA HATA OPTION YA KONA, TUNGESEMA MENGINE HAPA.Kiufupi treni sio nzuri kwa afya ya msafiri
Hope unaweza kujifunza kupata win kupitia mikeka yangu tizama vizuri njinsi navyo bet Wenda ukaja kuwa mkali zaidi yangu me mwenyewe nimejifunza hapa hapa kubetHiyo ilikuwa kazi ya Jana nikajaribu na basketball daah kaniangusha inter milanView attachment 2054408View attachment 2054409View attachment 2054410View attachment 2054411
Sasa si umeambiwa ndani ya masaa 24?Kwa mara ya kwanza nimekutana na mkwamo wa kutoa hela 22bet
Nimetoa hela toka usiku saa 10 hadi sasa muamala hausomi
Nachat nao wananiambia ndani ya masaa 24
Tunatatuaje hii ipatikane mapema?
Nadhani ni betting company ya kipumbavu sana, jana niliweka hela, nikabet kiasi, kilichobaki nikataka nikitoe nihamishie betpawa, zikagoma... Nikawasilianana customer care, jibu walilonipa ndo liliniacha hoi, eti siwezi kutoa hela, inabidi ni bet hela yote niliyoweka... Ndo nikajua kumbe kampuni ni ukubwa tu wa jina, ila upumbavu mtupu... Yaani ukiweka hela lazima u bet yote... Sasa ukishinda je? Ndo wataruhusu utoe?Kwa mara ya kwanza nimekutana na mkwamo wa kutoa hela 22bet
Nimetoa hela toka usiku saa 10 hadi sasa muamala hausomi
Nachat nao wananiambia ndani ya masaa 24
Tunatatuaje hii ipatikane mapema?
Nimeweka hapa ili wadau mjifunze kupata huu ukijani Kama mimi nilivyojifunza hapa hapa kwenye huu UziHope unaweza kujifunza kupata win kupitia mikeka yangu tizama vizuri njinsi navyo bet Wenda ukaja kuwa mkali zaidi yangu me mwenyewe nimejifunza hapa hapa kubet
Ukitulia vizuri utapa mwangaza kupitia mkeka huu ukifanikiwa kufahamu fanya majiribio kwa timu 10 tu weka ata shilingi 1 baada ya mda utakuja kuwa mkali SanaNimeweka hapa ili wadau mjifunze kupata huu ukijani Kama mimi nilivyojifunza hapa hapa kwenye huu Uzi View attachment 2054421View attachment 2054422View attachment 2054423View attachment 2054424
Tukiweza kuikwepa "gambler's fallacy" Kama hii tutapunguza lost kwenye mikeka yetu.Leo kuna nafac ya unhindered
Madrid wn
Athletic wn
Chelsea wn
Ac milan wn
Liverpool wn
Hao wote mechi zilipita hawakufanya vzr hivyo leo hawatakubali kupoteza mfululizo.
Pamoja Sana mkuu,Kuna watu wanapigwa na muhindi halafu hasira anazileta kwa jf members,lakini kuna wengine siteki kwao Ni shida Hawa nao wanahasira Sana.Kuna watu mnataka kujifanya wamiliki wa hii thread, wewe kama nani unampangia jamaa cha kupost humu tena kwa maneno ya shombo kama unaamrisha mkeo?? Tangu lini umepata mamlaka u-mod kiasi cha kutaka ku-regulate kinachopositiwa humu?
Hizi hasira za ufukara wenu muwe mnapaeleka kwenye maukoo yenu huko.
Acha uhuni wewe,weka odds hapa,tofauti na hapo kawape shangazi zakoWale wanaotaka odds mbili mnifuate inbox ni BURE.
Sasa si umeambiwa ndani ya masaa 24?
Tuliomo hatuwezi kutatua tatizo lako
Mkuu mbona unafoka hivo, sikulazimishi kunifuata pm na wala siuzi mechi natoa bure nikizipata za ukweli.Acha uhuni wewe,weka odds hapa,tofauti na hapo kawape shangazi zako
22 bet wazinguzi sana kwenye kutoa hela, wajirekebisheWorry not mkuu
Nimepewa maarifa na tayari nimepata haki yangu
Biashara ya kutoa hela na kusubiri masaa 24 sio ya karne hii mkuu
Hiyo ndio inatumaliza, unaona mtu anasema kabisa iko siku nitampiga kanji, na hapo kaweka game 45. Aiseee hii sio tu bahati bali ni NGEKEWA kutokea.View attachment 2054461
View attachment 2054462
Moja ya cognitive bias ambayo ni special kwa sisi wakamaria. GAMBLER'S FALLACY
Kupigwa ni kupigwa tu. Tunaocheza matrain tunacheza na inplay siku zote. Matrain yanatia hamasa ukiona mamilioni ya hela ambazo bado hujayashika mkononiHiyo ndio inatumaliza, unaona mtu anasema kabisa iko siku nitampiga kanji, na hapo kaweka game 45. Aiseee hii sio tu bahati bali ni NGEKEWA kutokea.