Niko mapumziko jana kila mmoja ni shahidi. Tukutane wikiendi
Toa kwanza hapa ili ututamanishe kama member wa betting afu ujikusanyie KijijiWazee wa kazi Kama kawaida leo tuko mzigoni.
Nagawa odds bure, ila 25% Payout unairudisha kama shukrani kwa kamati kuu ya wakamaria.
Karibuni PM.
C ulisema ww ni mchambuzi mzuri, cc wengine hatujui kubet? Vp hali inasemaje huko! Inanyesha au bado jua ni kali?Acha kwanza nipumzike maana kichapo nikichopokea jana ni kizito sana.
Juve kachana
Chelsea kachana
Man Utd kachana
Barca goli 1 kachana
Wolfburg asiruhusu goli zaidi ya 2 kachana
Kila kona ni kichapo tena kizito.
mkuu mikeka tegemezi yote imeondoka kwa matokeo hayo. Timu unaifanyia analysis nzuri, mkeka wa wiki nzima timu inatoka kikosi cha kupuuzi, mtu unashindwa kucash out maana unaona timu zilibaki ni nyingi kiasi. Kwa uchambuzi niliofanya na kama vikosi vingekuwa imara basi matokeo yangekuwa mazuri zaidi.C ulisema ww ni mchambuzi mzuri, cc wengine hatujui kubet? Vp hali inasemaje huko! Inanyesha au bado jua ni kali?
BETIKA wana huo mchezo ,kuna siku nipo na mshikaji wote tumebet , mi nimempa Gwambina ameshinda na mshikaji akampa double chance ,mwishowe Gwambina ameshinda mi wameweka loose kwa mshikaji wakaweka loose piaSikulazimishi kuamini na wala sijaleta iwe mada...ila nachojua kama umekuwa mcheza kamari wa siku nyingi huwezi kubisha swala la hizi kampuni nguvu wanayokuwa nayo juu ya hii mikeka...hasa kwa timu wanazojua hazifatiliwi au za ligi ndogo..so kama unabisha wewe bisha ila ipo siku utajionea mwenyewe mimi hiki kitu leo ni mara ya tatu japo ni vitu tofauti..na naweza kukupa ushahidi
Hahahah..mimi sio mzuri ila jana alinizingua Man U tu, wengine wote nikapata na mtaji wa leo asbhC ulisema ww ni mchambuzi mzuri, cc wengine hatujui kubet? Vp hali inasemaje huko! Inanyesha au bado jua ni kali?
Kabla ya betting, huwa hivyo..baada ya dk 90 sasa..Leo kuna kila dalili ya hela
yeah mkuu kuhusu hilo sina ubishi kabisaKabla ya betting, huwa hivyo..baada ya dk 90 sasa..
Najua unajua ila nakujuza zaidi, ni gambling.
10k yangu jana imepoteaAcha kwanza nipumzike maana kichapo nikichopokea jana ni kizito sana.
Juve kachana
Chelsea kachana
Man Utd kachana
Barca goli 1 kachana
Wolfburg asiruhusu goli zaidi ya 2 kachana
Kila kona ni kichapo tena kizito.
Mtaalam ulikuwa mapumziko nini, au ulikuwa silent killerLeo kuna kila dalili ya hela
ngumu kumeza5DE0491
Treni takatifu Hilo Jiongeze hapo....
Twendeni sawa Treni Kubwa...