Tipstipstor
JF-Expert Member
- Nov 29, 2021
- 1,531
- 3,331
Atletico amewasha turbo ....kikosi kazi suarez na griezman mbele...joao felix yupo sub....porto anaenda kuwa na wakati mgumu leo
Nakuombe kaka ingawa hao SPORTING LISBON wanahitaji ushindi ili wafuzu hatua inayofuata.Tuombeane mema wazee maana city nilihisi ataharibu ila kakubali mwenyewe, kabaki huyo mmoja naombea tu asije akanishangaza.
View attachment 2036540
Bado ni asubuhi sanaTutaanza kuoneshana makali...View attachment 2036533
Atletico amewasha turbo ....kikosi kazi suarez na griezman mbele...joao felix yupo sub....porto anaenda kuwa na wakati mgumu leo
Sporting ameshafuzu na ameweka kikosi cha kipuuzi anaweza hata hiyo GG akaisikia kwenye bomba ...Ajax hajaidharau hii mechi na pia amepata muda mwingi wa kupumzisha wachezajiNakuombe kaka ingawa hao SPORTING LISBON wanahitaji ushindi ili wafuzu hatua inayofuata.
watu ukiwaambia hizi game ambazo watu wanahitaji matokeo usibet kwa ushabiki hawaelewi. Kesho Bayern anasepa na mikeka kibao, Barca anafungu Turbo zooote mechi itakuwa ngumu sana kwa BayernAsante man city kwa kusepa na kijiji....mtu mwingine anaekuja kuuza watu ni liverpool...klopp amepanga kikosi cha kuuza mechi na hata benchi hakuna watu wa maana...
Bado ni asubuhi sana
Sikumpa final score nilimpa double chance ashinde au drawUlifikiria nini kumpa city mkuu tena final score
Man City ni kama Simba na Red Arrows juzi. Ala kichapo lakini asonga mbele!Asante man city kwa kusepa na kijiji....mtu mwingine anaekuja kuuza watu ni liverpool...klopp amepanga kikosi cha kuuza mechi na hata benchi hakuna watu wa maana...
Barcelona hashindi hiyo game inaweza kuisha droo ila siyo Barca ashinde.watu ukiwaambia hizi game ambazo watu wanahitaji matokeo usibet kwa ushabiki hawaelewi. Kesho Bayern anasepa na mikeka kibao, Barca anafungu Turbo zooote mechi itakuwa ngumu sana kwa Bayern
Hata draw hawapati wale takatakaBarcelona hashindi hiyo game inaweza kuisha droo ila siyo Barca ashinde.
Man city Leo wamekuwa kama bata
Hata wangempanga nani hawatoboi litimu la hovyo halina mipangoAtletico amewasha turbo ....kikosi kazi suarez na griezman mbele...joao felix yupo sub....porto anaenda kuwa na wakati mgumu leo
Utashinda tuu kama zimebaki mbili peke yakeKwakweli mimi mpaka hapa nalala wakuu, kuna mabehewa mawili yanapumulia "juu juu"
Kukipambazuka "vizuri" nitakuwa na 1M kasolo kidogo.
Sawa tupo hapa na kesho iko na masaa 24 tu game kuanza. Utasaga meno uchakae.Barcelona hashindi hiyo game inaweza kuisha droo ila siyo Barca ashinde.