Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikulazimishi kuamini na wala sijaleta iwe mada...ila nachojua kama umekuwa mcheza kamari wa siku nyingi huwezi kubisha swala la hizi kampuni nguvu wanayokuwa nayo juu ya hii mikeka...hasa kwa timu wanazojua hazifatiliwi au za ligi ndogo..so kama unabisha wewe bisha ila ipo siku utajionea mwenyewe mimi hiki kitu leo ni mara ya tatu japo ni vitu tofauti..na naweza kukupa ushahidiHakuna kitu kama hicho mkuu , imagine tunaobet tupo wengi sana world wide nivigumu sana kukubadilishia option, wanapata wapi muda huo? kama unakuwa na wasiwasi ukishabeti, screenshot options ulizobeti
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Ok ushauri mzuri, ukishabeti kabla timu hazijaanza, screenshot options ulizobetiSikulazimishi kuamini na wala sijaleta iwe mada...ila nachojua kama umekuwa mcheza kamari wa siku nyingi huwezi kubisha swala la hizi kampuni nguvu wanayokuwa nayo juu ya hii mikeka...hasa kwa timu wanazojua hazifatiliwi au za ligi ndogo..so kama unabisha wewe bisha ila ipo siku utajionea mwenyewe mimi hiki kitu leo ni mara ya tatu japo ni vitu tofauti..na naweza kukupa ushahidi
Kama waturuki mahanisi hawaMan city leo kawa kama pisi kali tu
mi nasubiri wao wapate kagoli kamoja tu. Maana PSG ametoa BTTSKama waturuki mahanisi hawa
Staki kuamini kabisa hawa mbwami nasubiri wao wapate kagoli kamoja tu. Maana PSG ametoa BTTS
Mimi kwa siku nabet mikeka zaidi ya ishirini nacheza keno...hockey...fotball...na kamar nyingine unafikir ntaweza kuwa na screen shot kila mkeka mkuu??...anways haya yamenitokea mimi so tuendelee kupambana ila naamin itatokea kwa mtu tena na tutabisha hivi hivi.Ok ushauri mzuri, ukishabeti kabla timu hazijaanza, screenshot options ulizobeti
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Mkuu mimi mapema hawa jamaa niliweka mkeka mmoja Over 2.5 na mwingine ni BTTS ndio hapa nasubiri goli la City, nahisi wanaenda kutafuna treni la tangia jana yaan.Staki kuamini kabisa hawa mbwa
Haiwezekani washatupia
Game ya Leipzig vs man city
City kaisha fuzu kwenda stage inayofata tena kwa kuongoza haijalishi atapata matokeo gani game yake ya mwisho.
Leipzig ana point 4 sawa na club Brugge(H2H inawatofautisha) na kati ya hawa wawili mmoja anatafuta sport ya Europa.
Leipzig ataitaji point 3 ili awe in favor kwenda stage nyingine.
Home team to score kuna chance kubwa leo
City kifunga inawezekana ndani ya dakika 90 so tunakua na nafasi ya GG/BTTS
Bali na hivyo pia uwezekano wa game kutoa 2 plus pia upo.
Ishapatikana hiyo GGDouble chance kwa Leipzig ilikua na point 2 hadi sasa inapumua kwa watu.
Sijui kama GG itapatikana
Bora maana kuna mkeka niliweka 25,000 wafungane sasa nilivyoona dakika zinayoyoma nikataka kurudisha nusu hasara😆😆😆Duh kashapata
Nmeeka mikeka zaidi ya 6 na yote man cty nilimpa japo kuna miwili moja man cty apate goli mwengine no draw yani mmoja wao ashinde ila pia nina waswas kuna fala mwengine anakuja kutuuza leo