Mondela
JF-Expert Member
- Aug 20, 2021
- 2,570
- 3,763
Hiyo ni TigoVoda
Airtel
Baadaye
Hiyo ni TigoVoda
Airtel
Baadaye
Shida izo campuni zinakosa wadau sababu watu bet ziwatese tena na waanze kuangaika na wakala shida watu awataki habari za wakala ata mimi kupita kwa wakala sipendi bora nikomae na betpawa tu mbona nyie mnaosema hizo kampuni zina option nzuri atuwaoni mkila umuhimu wa option nzuri ukwapi.Betpawa ni kampuni la mazoba.
Waulize toka wameanza kufata hizo option nyingi mbona hatuoni wamekula.
Wazee wa Bet Small Win Big😅.
Kwakua sikuizi huku zimejaa code za matreni ya betpawa watu wa 1xbt na 22bet tunashindwa kuleta code zetu huku, kwahiyo tukibet kimyakimya Kisha tuki-win na kuzileta huku won tickets mnatuita MATAPELI kitu ambacho sisi hatutaki.Mimi hâta jana tu nimetoka kupiga ka 31K kangu ka bando la mwezi😃.Shida izo campuni zinakosa wadau sababu watu bet ziwatese tena na waanze kuangaika na wakala shida watu awataki habari za wakala ata mimi kupita kwa wakala sipendi bora nikomae na betpawa tu mbona nyie mnaosema hizo kampuni zina option nzuri atuwaoni mkila umuhimu wa option nzuri ukwapi.
Vipigo vimezidi hadi unaweka 12 badala ya 2x , usicheke mkuu haaa haaumeweka 12 ...Nacheka Kama mazuri
challenge ina endelea day3
Nilimuongeza na simba hapa 1.22
total odds zika fika 1.86
View attachment 2029964
Piesijii
Wazee wakufata tupoint tudogo mpaka mwisho wa mwezi PSG anawasalimu sana yakhe.
Hmmh.., hivi mnatumiaga mawakala gani nyinyi?? Mimi unaelekea mwaka sasa sijawahi kupata shida yoyote kutoka kwa wakala wangu. Kutoa na kuweka pesa hajawahi kuvusha Dk 2.
aisee hatari sana mkuu ngoja mm niendelee kupima nione ntafikia wap ila ikifika amount nzur nita withdraw si lazima nifikishe hizo 30 daysDaah, mimi PSG ameamua kukatisha program yangu
Nilimpa over 0.5 na Liverpool win.
Kanji hajaribiwi *****. Mkuu nakushauri ikifika amount nzr, withdraw uanze tena. Hii program ni nzr kwa siku 5 mpk 10 tu. 30 days ni ngumu.
Af kadri stake inavyozidi kupanda, kitete cha kustake kinakuwa kikubwa ... mwisho wa siku unaangukia pua. Mfano jana niliwaacha Chelsea na Man City kwa kuwa walikuwa ugenini, nikaamini PSG yuko home, halafu Messi na Mbappe wapo uwanjani hawatashindwa kupata goli moja.
View attachment 2030342
Pole mkuuDaah, mimi PSG ameamua kukatisha program yangu
Nilimpa over 0.5 na Liverpool win.
Kanji hajaribiwi *****. Mkuu nakushauri ikifika amount nzr, withdraw uanze tena. Hii program ni nzr kwa siku 5 mpk 10 tu. 30 days ni ngumu.
Af kadri stake inavyozidi kupanda, kitete cha kustake kinakuwa kikubwa ... mwisho wa siku unaangukia pua. Mfano jana niliwaacha Chelsea na Man City kwa kuwa walikuwa ugenini, nikaamini PSG yuko home, halafu Messi na Mbappe wapo uwanjani hawatashindwa kupata goli moja. 🙆♀️🙆♀️
View attachment 2030342
Hii kitu na mimi nataka niianze, nikampuni gani au kampuni zote zinafanyaDaah, mimi PSG ameamua kukatisha program yangu
Nilimpa over 0.5 na Liverpool win.
Kanji hajaribiwi *****. Mkuu nakushauri ikifika amount nzr, withdraw uanze tena. Hii program ni nzr kwa siku 5 mpk 10 tu. 30 days ni ngumu.
Af kadri stake inavyozidi kupanda, kitete cha kustake kinakuwa kikubwa ... mwisho wa siku unaangukia pua. Mfano jana niliwaacha Chelsea na Man City kwa kuwa walikuwa ugenini, nikaamini PSG yuko home, halafu Messi na Mbappe wapo uwanjani hawatashindwa kupata goli moja. 🙆♀️🙆♀️
View attachment 2030342
Hongera,ni wazo zuriPole mkuu
Ni kweli kadiri mzigo unavyozidi kimuhe muhe cha kustake mzigo wote kinazidi
Kwa odd zako hizo mkuu target siku 10 tu hizo odd kubwa
Na roho ikisita hata day 4 we chomoa mzigo
Au ukidouble toa kwanza mtaji kisha rudi nyuma kisha endelea
Usikate tamaa jaribu tena
Mi nlianza na 100k nipo day 13 leo nime stick odd 1.2 haizidi hapo
Sababu ya limit ya stake nimehamia live bet
Pole mkuu
Ni kweli kadiri mzigo unavyozidi kimuhe muhe cha kustake mzigo wote kinazidi
Kwa odd zako hizo mkuu target siku 10 tu hizo odd kubwa
Na roho ikisita hata day 4 we chomoa mzigo
Au ukidouble toa kwanza mtaji kisha rudi nyuma kisha endelea
Usikate tamaa jaribu tena
Mi nlianza na 100k nipo day 13 leo nime stick odd 1.2 haizidi hapo
Sababu ya limit ya stake nimehamia live bet
Hii kitu na mimi nataka niianze, nikampuni gani au kampuni zote zinafanya