Ramon Abbas
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 1,964
- 3,900
Betpawa wanaleta hela haraka sana uki with draw.😂😂😂
Hii buku tatu naishi nayo wiki 2 kwa bando saaaafi😅😅
Hii buku tatu naishi nayo wiki 2 kwa bando saaaafi😅😅
Ile treni ya timu 45 imechanwa na atalanta tu hadi Sasa haijachzwa mechi mojaLeo siku imeisha aisee matreni yote chali
Msenge Sana huyu jamaa AtalantaInakatisha tamaa sana treni ya timu 45 imechanwa na Atalanta tu ,waliofuata tungekula mamilioni humu Sijui shetani gani alimpitia Atalanta anafungwa dk 90 tena za nyongeza
Ila hakuna kukata tamaaaInakatisha tamaa sana treni ya timu 45 imechanwa na Atalanta tu ,waliofuata tungekula mamilioni humu Sijui shetani gani alimpitia Atalanta anafungwa dk 90 tena za nyongeza
Mkuu una nyota, andaa train la over 1.5 pekee.Kweli heri kubet magoli,hizi direct win zinachana sana
Bas tu mkuu niliweka treni la timu 25 timu kubwa nne zikachana zenit hammaby midjitland na rangers afu mzigo ulikuwa million 4.3 dah tukaze butiInakatisha tamaa sana treni ya timu 45 imechanwa na Atalanta tu ,waliofuata tungekula mamilioni humu Sijui shetani gani alimpitia Atalanta anafungwa dk 90 tena za nyongeza
Huku ni kuchezea Odds
Inakatisha sana tamaa mkuu yaani hata ham ya kubet nimeishiwa ,Ila ipo siku nitawekea treni kubwa kama sh 30,000 nikimpiga kanji nampiga kwenye mil 50 halafu napunzika kubetMkuu una nyota, andaa train la over 1.5 pekee.
Mzee kweli ndo maana ulikuwa unawasiwasiNdo tayari ipo kwenye treni za jana niliwapa direct win ndo kinachoumiza akili na ndo mechi nazoona ngumu kati ya zilizobaki
Hizo timu mbona kama zimeshinda zote?Bas tu mkuu niliweka treni la timu 25 timu kubwa nne zikachana zenit hammaby midjitland na rangers afu mzigo ulikuwa million 4.3 dah tukaze buti
Harmmaby mbona akishinda 4-3Bas tu mkuu niliweka treni la timu 25 timu kubwa nne zikachana zenit hammaby midjitland na rangers afu mzigo ulikuwa million 4.3 dah tukaze buti
Gundu la leo lilianzia hapa kwazv AtalantaNiko narudia highlights za Atalanta hapa.
Dah!!! Kinyonge sana aisee!
Mechi ya Atalanta sikuichambua niliangalia tu odds ni ndogo sikuangalia hata head to head ,nakuja kuangalia baadaye nikaona hii ngoma ngumu huku tayari nishawekaMzee kweli ndo maana ulikuwa unawasiwasi
Kabisa mkuu, mimi naanda twentyInakatisha sana tamaa mkuu yaani hata ham ya kubet nimeishiwa ,Ila ipo siku nitawekea treni kubwa kama sh 30,000 nikimpiga kanji nampiga kwenye mil 50 halafu napunzika kubet