Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,615
- 38,588
Wananiletea pigo za kisengee mara niende kuwatumia email..mara ni link account na email na mizunguko lukukiii..nimewaachia bana na nishaifutaaUkiwapigia au option ya WhatsApp chat wanasemaje ,mi hivo hivo nilideposit kila siku nawapigia wananipigia tarehe ,nilikosa jackpot timu moja tu hata bonus hawakuweka,nikawapotezea .Halafu siku kukiwa na Mechi wanapiga simu ,kila wakipiga nawaambie sitaki ujinga wenu msinisumbue mna huduma mbovu kuna kampuni nzuri zaidi yenu.
Tofauti na sportpesa na betpawa kibongo bongo siamini makampuni mengi,betpawa kama hela haijaingia unascreenshot tu muamala na kuwatumia whatapp dk chache tu wanarekebisha