InshallahDaah, ndugu zangu, nina mikeka 14, yote nimepata humu. Ngoja nilale nisubiri kuja kula pension yangu
Mimi betway wanahela yangu wiki ya 2 hii,nimewithdraw ila haijafika kwenye mpesa yangu.Watumiaji wa Superbet , mbona Hawa Jamaa kama ni matapeli sana, mbona kama kila wakati wanabadilisha jinsi ya kulogin na wanakimbia na ela za watu, saiz Mara ya pili wanakimbia na ela yangu kwenye account na ninashindwa kuiaccess.
Sent using Jamii Forums mobile app
daaah yaaniHivi Taifa stars wendawazimu wake alipona lini? au basi tu kwasababu tumebet furaha yake atuchanie mikeka mwehu mmoja huyu!
Hivi Taifa stars wendawazimu wake alipona lini? au basi tu kwasababu tumebet furaha yake atuchanie mikeka mwehu mmoja huyu!
Hockey ni fireHockey
ni kuwa makini na izi kampuni zinazo kuja, nyingi zinatapeli ela za watu, mkiweka kwenye account wanatokomea nazo , bila kubeti kama Superbet kila baada ya mda flani wanabadilisha application Yao, hata jinsi ya kulogin wanabadilisha , walianza kuingia kwa email wanabadilisha , wamekuja kwa namba ya simu wamebadilisha , saiz wamekuja na jina na namba, naona kabisa wamekimbia na ela . Ivi ivi Mara pili saiz.Mimi betway wanahela yangu wiki ya 2 hii,nimewithdraw ila haijafika kwenye mpesa yangu.
Naona hizi kampuni zimekuja kitapeli tapeli
Nyie ndo kwa mambo madgo mnaweza kuisaliti nchi yenuNajutaaaa. Kumua Tanzania