Mlatino Zeshalo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2014
- 2,016
- 3,462
Mkuu, hii haitoi?
Mkuu, hii haitoi?
Usijali mkuu. Huu mchezo ni wa kubahatisha. Usiweke Akili yako yote kwenye betting. Assume hiyo 3000 ya betting ni bia moja ambayo ungekunywa. Kamwe hutoumia
NB betting ni ngumu sana usiwekeze huko.
Mimi nasongesha nabeti..then nalipa mkopo wao inayobaki nakunywa bia yote naanza moja.
Hapa nakunywa castle lite adi juma mosi nabeti tena
Hahaha eti hadi jumamosi ,Usijali mkuu. Huu mchezo ni wa kubahatisha. Usiweke Akili yako yote kwenye betting. Assume hiyo 3000 ya betting ni bia moja ambayo ungekunywa. Kamwe hutoumia
NB betting ni ngumu sana usiwekeze huko.
Mimi nasongesha nabeti..then nalipa mkopo wao inayobaki nakunywa bia yote naanza moja.
Hapa nakunywa castle lite adi juma mosi nabeti tena
Club Brugge vs PSG over 3.5 itakubali?
Nipo na shemej yenu namwangalia tu. Sina chakufanya nguvu zote ametembea nazo MAN U
shikamoo betting
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Naona dalili za kupigwa hapaClub Brugge vs PSG over 3.5 itakubali?
Nilimpa hadi double chance lakin wapiNipo na shemej yenu namwangalia tu. Sina chakufanya nguvu zote ametembea nazo MAN U
shikamoo betting
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Boss upo Sikonge Tabora?Club Brugge vs PSG over 3.5 itakubali?
Jamaa kila akileta mkeka lazima aliwe kimasiara unacheza na muhindi eeeRutashubanyuma mkuu una upepo sana na Betpawa,nakutabiria soon utapiga pesa ndefu,usikate tamaa..ila ushauri wangu,ile mikeka yako jaribu kuigawa mara mbili.
Naomba code tujitoe akili woteNajitoa akili leo....
View attachment 1939012
Madrid ataharibu shughuliNajitoa akili leo....
View attachment 1939012
Hapana mkuu.Boss upo Sikonge Tabora?
under/Chini ya 2.5 manaake zisizidi goli 3Wakuu hivi ukiweka under 2.5 halafu matokeo yakatoka 2:2 hapo mkeka umewin au lost??