duuhKachapwa, na kachana mikeka
ckuwek ,nmeikuta mahalPole mkuu najua umeshaliwa uroda
Mkuu uwe unatusaidia na sisi wanyongeWeka mechi tatu mwisho bet magoli( under au over) na corner inalipa hasa kwenye mechi ,a epl. Bundersliga , and UEFA
Mkuu ungeshare nasi kabla ya mchezo kuanza ungetusaidia sana. Wengine bado tunajifunza kuliko ulivyonitamanishaAliyekula mkeka kama mimi anyoshe Mikono juuuuView attachment 1938146
🤣🤣🤣Nipo na shemej yenu namwangalia tu. Sina chakufanya nguvu zote ametembea nazo MAN U
shikamoo betting
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Betting Ngumu nyie nimekula chuma cha kichwa
View attachment 1938299
Mkuu hapa ungebeba si chini ya million tano. Pole na hongera pia kwa kuthubutu....next unakulaSevilla uwiiiiiiiiiiView attachment 1938252
Usijali mkuu. Huu mchezo ni wa kubahatisha. Usiweke Akili yako yote kwenye betting. Assume hiyo 3000 ya betting ni bia moja ambayo ungekunywa. Kamwe hutoumiaMkuu ungeshare nasi kabla ya mchezo kuanza ungetusaidia sana. Wengine bado tunajifunza kuliko ulivyonitamanisha
Usijali mkuu. Huu mchezo ni wa kubahatisha. Usiweke Akili yako yote kwenye betting. Assume hiyo 3000 ya betting ni bia moja ambayo ungekunywa. Kamwe hutoumia
NB betting ni ngumu sana usiwekeze huko.
Mimi nasongesha nabeti..then nalipa mkopo wao inayobaki nakunywa bia yote naanza moja.
Hapa nakunywa castle lite adi juma mosi nabeti tena
HongeraUsijali mkuu. Huu mchezo ni wa kubahatisha. Usiweke Akili yako yote kwenye betting. Assume hiyo 3000 ya betting ni bia moja ambayo ungekunywa. Kamwe hutoumia
NB betting ni ngumu sana usiwekeze huko.
Mimi nasongesha nabeti..then nalipa mkopo wao inayobaki nakunywa bia yote naanza moja.
Hapa nakunywa castle lite adi juma mosi nabeti tena
NoMatch of the dayView attachment 1938468