Mpe ushindi SIMBA kipindi cha kwanza.. Odds 1.75Odds za simba zinakatisha tamaa, ndogo sana. Inabidi tuziboost kwa option tofauti kama HT/FT W1/W1 au goals in both halves
Hawana ata wakiweka basi option zinakua chacheBetpawa hawanaga game za Vpl nn sijawai hona kabisa???
Kuna ile option ya double chance & O.U. inatoa sana. Kwa wale msiokuwa na tamaa, hii itawakomboa. Kwa mfano game ya leo Chalton vs Crew ukiipa ashinde yoyote na magoli yafike mawili ina 1.77. Game mbili tu unapata odds 2+
Ipo princessbet.
Bet pawa wajanja wajanja sana..wana wateja wengi kwa vile website yao haisumbui iko faster ila wagumu sana kuliwa..Ukitaka kujua betpawa ni simba kwenye ngozi ya kondoo hii game hawajaweka. Wanaweka mitimu migumu na bonus kuficha uhuni wao
Umeitoa wapi hii... SAA ngapi zinaanzaChukua hii.
Exeter total goals Over 1.5
Peterborogh total goals O 1.5
Newport total goals O 1.5
Forestgreen tatal goala O 1.5
Halifax total goals Over 1.5
Hizo ni zaidi ya odds 25 weka 5000 kesho uje unishukuru.
Mkuu 22bet kabla hujadeposit hakikisha umetumia new reference number, maana zinabadilika kila dakika, ukitumia old reference number shida inayotokea ni hiyo hela haiingiiHao jamaa ni fraud tu mimi nime deposit kupitia mpesa mpaka sasa hakuna kitu
Hapo ni team goals au game goals?? Maana odds 25 nayoifaham mm ngumu kwa over 1.5 ya game goals hizo chache.Chukua hii.
Exeter total goals Over 1.5
Peterborogh total goals O 1.5
Newport total goals O 1.5
Forestgreen tatal goala O 1.5
Halifax total goals Over 1.5
Hizo ni zaidi ya odds 25 weka 5000 kesho uje unishukuru.
Team goals.Hapo ni team goals au game goals?? Maana odds 25 nayoifaham mm ngumu kwa over 1.5 ya game goals hizo chache.
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Game aaa 3 na nyingine saa 3.30 usikuUmeitoa wapi hii... SAA ngapi zinaanza
usiogope ku weka hela ambayo ungeitumia
invest what' your willing to loose