Operamin
Member
- Jul 2, 2018
- 97
- 112
amazulu 0-0mamelodKafanyaje huko tena,dk ya ngapi wapo ngapi ngapi
amazulu 0-0mamelodKafanyaje huko tena,dk ya ngapi wapo ngapi ngapi
Wakuu msaada wenu plz,nimeweka hela kwenye akaunti yangu ya betpawa lakini haijafika, na simuni imetoka. Nimefanyaje??
2x & o1.5Intermilan anasemaje huko..?
Ndo kichaa was Leo huyo2x & o1.5
Kaharibu kaziIntermilan anasemaje huko..?
Dooh aisee hili treni lilikuwa la timu ngapi?Yaani yalivyo mangese timu ipo pungufu tangu dk 11wameshindwa kupata hata goli
pole mkuu nami iliwahi kunitokea niliweka mechi 44 iliharibu ya 43Kuna kipindi unaweza sema ponjoro mchawi dahView attachment 1759968View attachment 1759969View attachment 1759970View attachment 1759971View attachment 1759972View attachment 1759973
38Dooh aisee hili treni lilikuwa la timu ngapi?
Leo nikibahatika kupata jero ngoja niende huko betpawa nikatengeneze treni la wikiYaani yalivyo mangese timu ipo pungufu tangu dk 11wameshindwa kupata hata goli
Usisahau kuleta code mkuu tutembelee nyotaLeo nikibahatika kupata jero ngoja niende huko betpawa nikatengeneze treni la wiki
Kinachoumiza hii mechi ilitakiwa itoe hata goli tatu we fikiria timu imecheza pungufu kuanzia dk 11 lakin wameshindwa kupata hata golipole mkuu nami iliwahi kunitokea niliweka mechi 44 iliharibu ya 43
Mkuu betting ni mchezo wa maajabu mno, sijui kuna nini nyuma ya pazia. Hebu imagine unaweka timu 25 halafu timu moja tu inachana mkeka, baadae unaamua kupunguza mechi unaweka 10 still mechi moja tu bado inachana mkeka, unaamua kuweka mechi tano tena hapo ndio ukiwa na uhakika mkubwa wa kuwin, lakini holaa kamechi kamoja bado hakataki wewe utajirike kanaamua kuchana mkeka. Lakini bado hukati tamaa unaamua ngoja niweke mbili aisee pepo baya linaamua kukutuma tena nenda kanitafutie mtaji niletee. Daaah what's behind???Usisahau kuleta code mkuu tutembelee nyota
Kuna wakati unahisi unafanya biashara na mchawi!Mkuu betting ni mchezo wa maajabu mno, sijui kuna nini nyuma ya pazia. Hebu imagine unaweka timu 25 halafu timu moja tu inachana mkeka, baadae unaamua kupunguza mechi unaweka 10 still mechi moja tu bado inachana mkeka, unaamua kuweka mechi tano tena hapo ndio ukiwa na uhakika mkubwa wa kuwin, lakini holaa kamechi kamoja bado hakataki wewe utajirike kanaamua kuchana mkeka. Lakini bado hukati tamaa unaamua ngoja niweke mbili aisee pepo baya linaamua kukutuma tena nenda kanitafutie mtaji niletee. Daaah what's behind???
Unaweza weka hata mechi1 tu na ikalost...Mkuu betting ni mchezo wa maajabu mno, sijui kuna nini nyuma ya pazia. Hebu imagine unaweka timu 25 halafu timu moja tu inachana mkeka, baadae unaamua kupunguza mechi unaweka 10 still mechi moja tu bado inachana mkeka, unaamua kuweka mechi tano tena hapo ndio ukiwa na uhakika mkubwa wa kuwin, lakini holaa kamechi kamoja bado hakataki wewe utajirike kanaamua kuchana mkeka. Lakini bado hukati tamaa unaamua ngoja niweke mbili aisee pepo baya linaamua kukutuma tena nenda kanitafutie mtaji niletee. Daaah what's behind???
We ache tu mkuu vichapo ninavopata mimi ni hatari nikiweka ata 2 tu znachana zote nikijaribu 20 basi 17 zinachana mpaka nimeamua niwe na copy tu mikeka ya wadauMkuu betting ni mchezo wa maajabu mno, sijui kuna nini nyuma ya pazia. Hebu imagine unaweka timu 25 halafu timu moja tu inachana mkeka, baadae unaamua kupunguza mechi unaweka 10 still mechi moja tu bado inachana mkeka, unaamua kuweka mechi tano tena hapo ndio ukiwa na uhakika mkubwa wa kuwin, lakini holaa kamechi kamoja bado hakataki wewe utajirike kanaamua kuchana mkeka. Lakini bado hukati tamaa unaamua ngoja niweke mbili aisee pepo baya linaamua kukutuma tena nenda kanitafutie mtaji niletee. Daaah what's behind???