Hii option ya pili Mkongwe kwa matumizi ya VAR naona kama ina risk kidogo...
We jichanganye uweke million uanze milio ya Nokia hivi vitu vinaenda na bahatiDah! Kuna watu huwa wana-stake nyumba kweli wakati sisi tuna-stake debe la viazi, tena wakati mwingine tunastake mpaka hela ya master sport 2 yaani 300.
Huyo jamaa wa stake milioni 5 ameni-inspire sana.
Duuuh inawezekana hii kitu...Hizi jackport hizi,hivi sio kwamba tunapigwa changa la macho wakishaona mzigo umekua mkubwa wanatafuta mtu wao then wanarudisha mzigo kwenye mzunguko..kwenye hii dunia ya teknolojia lolote linawezekana..yule mzungu wa sportpesa sinaga imani nae,amekaa mjanjamjanja hashindwi hata kumvalisha mtu sura bandia..anyway nimewaza tu kwa sauti.
Tumia ussd chap kwa harakaWazoefu wa GAL sports betting, inachukua muda gani kuwithdraw pesa na njia ipi ni ya haraka kati ya USSD au Mobile Money?
Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Hii option ya pili Mkongwe kwa matumizi ya VAR naona kama ina risk kidogo...
Haya matimu ya North America sina hamu nayo aisee. Sitakuja kurogwa nikayaweka kwenye mkeka wangu tena:
View attachment 1731583
Nimeshashuhudia jamaa akipewa taslimu nilikiwa nakaaa nae kitaaa, jamaa nikajiendeleza vibaya mno kwenye biashara ukishinda unapewa iko real kabisaHizi jackport hizi,hivi sio kwamba tunapigwa changa la macho wakishaona mzigo umekua mkubwa wanatafuta mtu wao then wanarudisha mzigo kwenye mzunguko..kwenye hii dunia ya teknolojia lolote linawezekana..yule mzungu wa sportpesa sinaga imani nae,amekaa mjanjamjanja hashindwi hata kumvalisha mtu sura bandia..anyway nimewaza tu kwa sauti.
Hii ni Premierbet mkuuHivi mkuu hii ni App gani?
Sad Larry Sad Larry mtu wa maajabu na mbinu za kipekeeTukutan 2021,.. Byee. Ntawapa mrejsho its work or not, mill.61>>View attachment 1393720
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshashuhudia jamaa akipewa taslimu nilikiwa nakaaa nae kitaaa, jamaa nikajiendeleza vibaya mno kwenye biashara ukishinda unapewa iko real kabisa
Sport pesa ile jackpot iliyopita alipiga kama milion 432 ni miez karibia 12 nowAlipiga kampuni gani mkuu
Sport pesa ile jackpot iliyopita alipiga kama milion 432 ni miez karibia 12 now
Jackpot ni pasua kichwa mkuu. Huwa wanaweka matimu ambayo hayatabiriki kabisa.Aisee watu na bahati zao,mimi huwa najaribu sana jackpot za betpawa ila hola
Sport pesa ile jackpot iliyopita alipiga kama milion 432 ni miez karibia 12 now