Nominee
JF-Expert Member
- Sep 5, 2017
- 459
- 1,240
Sawa,nimekuelewa.Ila bado naomba kuuliza.Livebet huwa unaweka kuanzia dakika ya ngapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No jana nilitingwa sana ,usiku ndo nimefuatilia uziUliufuata?
Hiyo haijalisha dakik inaitajik umakini wako wa kuangalia mechi, mfano mim hiyo mechi ya Everton baada ya kupatikan goal dkk ya 15 mim nikaenda kuzuiaSawa,nimekuelewa.Ila bado naomba kuuliza.Livebet huwa unaweka kuanzia dakika ya ngapi?
Ok.NotedHiyo haijalisha dakik inaitajik umakini wako wa kuangalia mechi, mfano mim hiyo mechi ya Everton baada ya kupatikan goal dkk ya 15 mim nikaenda kuzuia
Betting bwana mi nimeomba goli mbili wewe unazuia magoliHiyo haijalisha dakik inaitajik umakini wako wa kuangalia mechi, mfano mim hiyo mechi ya Everton baada ya kupatikan goal dkk ya 15 mim nikaenda kuzuia
tunalogana wenyew kwa wenyewBetting bwana mi nimeomba goli mbili wewe unazuia magoli
unasababisha nianze kuwaza kuuza kiwanja nibet hahhaaLive bet TAMU sana ukiwa mtulivu na umakini View attachment 1715351
usijalib mzeeunasababisha nianze kuwaza kuuza kiwanja nibet hahhaa
Wanyumban au ugenin ashindeHabari hivi option ya double chance 12 inamaana gani.
Ok asante.Wanyumban au ugenin ashinde
Tupe maujanja mkuu unatumia kigezo gani
Asee wee jamaa unamauwezo hizo sii zaidi ya timu 30Dah nimeamini kwenye timu kubwa kuna mawakala wa ponjoroView attachment 1715506View attachment 1715507View attachment 1715509View attachment 1715510View attachment 1715511
32 mkuuAsee wee jamaa unamauwezo hizo sii zaidi ya timu 30
Ungeuleta hapa kabla, ningekushauri utembee na under 3.5. Scotland hakuna magoli kule.Dah nimeamini kwenye timu kubwa kuna mawakala wa ponjoroView attachment 1715506View attachment 1715507View attachment 1715509View attachment 1715510View attachment 1715511
Ahsante kwa ushauri lakin mbona celtic anatoaga sana overUngeuleta hapa kabla, ningekushauri utembee na under 3.5. Scotland hakuna magoli kule.