Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 66,989
- 173,603
Mkuu kumbe tuko pamoja tu, hii mbinu mie ndio huwa naiamini kuliko zote katika betting.😂Unaona mfano game hizi sahivi ziko HALF TIME... wakati ziko dakika ya 38 nikazuia game tatu odds mbili zimetimia,,.... Ndani ya dakika 7 tu nimeshakula 40,000View attachment 1684298View attachment 1684299