Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Nimecheza Tshs 20 tu hebu nirushie marekebisho yako nifanye maboresho na kuongeza dauNimeluka nalo small nimelipunguza zime baki odds 40+
Nimecheza Tshs 20 tu hebu nirushie marekebisho yako nifanye maboresho na kuongeza dauNimeluka nalo small nimelipunguza zime baki odds 40+
I can win TSh 44K at betPawa.co.tz, join now and win with me! BetPawa | Online sports bettingMore specifics
Inter wins + O1.5
Manutd wins + no BTTS
Molde wins + O2.5
Mkuu beting haitabiriki hata mechi moja tu inachana mkekaSasa mzee sii uchague tuu timu tatu uweke mzigo wa maana......nipe mie mechi mbili tuu za leo kaka nipate hela ya soda
Mkuu beting haitabiriki hata mechi moja tu inachana mkeka
Ni kweli mkuuSawa mzee silikatai hilo kinachotakiwa hapa ni kuhakikisha unapunguza idadi ya consecutive losses....mikeka miwili ikichanika watatu unapata mbona hapo fresh tuu kaka.
Unamuonea Didy yeye anachofanya ni ku-copy na ku-paste kutoka kwenye ma-group ya wanaijeria na sehemu zingine,sasa akuchambulie tena hiyo ni kazi yako. Ukitulia hauwezi kosa pesa kwenye hayo mazaga.Madoido mengi sana hata kama una nia ya kusaidia watu kwa option ila mapambo yanazidi, mpka kuona tu ni mechi gani kusudiwa inakuwa tabu.
Kwa nn usiandike tu mfano
Manutd-Copenhagen
Man u - win, ama
Total goals 3+ etc
Sikupangii ni ushauri
Unamuonea Didy yeye anachofanya ni ku-copy na ku-paste kutoka kwenye ma-group ya wanaijeria na sehemu zingine,sasa akuchambulie tena hiyo ni kazi yako. Ukitulia hauwezi kosa pesa kwenye hayo mazaga.Madoido mengi sana hata kama una nia ya kusaidia watu kwa option ila mapambo yanazidi, mpka kuona tu ni mechi gani kusudiwa inakuwa tabu.
Kwa nn usiandike tu mfano
Manutd-Copenhagen
Man u - win, ama
Total goals 3+ etc
Sikupangii ni ushauri
Subiri, manHello!
Kuna mechi moja imebaki kwenye mkeka wangu
Atalanta vs PSG
Nimempa PSG,vp mnanishauri nichomoe hela au nisubiri
Hii Tammerka ulifuata odds bila kulinganisha na historia! Historia ilijirudia hapo U2.5, BTTS na sare ya nguvu haswaOfisi hii inaumiza sana Moyo View attachment 1532544View attachment 1532545
Sent using Jamii Forums mobile app
Elfsborg won one nil!Tuishi umuView attachment 1532343
Umeelezea faida2 hasara je, hujaelezea maana hakuna ki2 chenye faida pekeeWakuu naamin wote humu niwatafutaji naomba tuelekezane namna nyingne ya kupata pesa kirahis na bila kutoa jasho ila kinachotaftwa Ni mda tu......naongelea maswala ya cryptoccureny....ukiivest huko Kuna faida mfano mm nilinunua etherium moja mwez wa sita mwanzon kwa sh 397000/ leo hii et etherium moja inauzwa lak 921500! Hebu unaweza kuona Ni faida Kias gan nimetengeneza. Pia nilinunua stellar 260 ambazo mwez huo zilikuwa zinauzwa kwa sh 111 kwa Kila moja lakin leo hiii stellar imepanda nakufikia 250 hapo niliweka tu pesa yangu na kutulia kwa hyo unaweza kuona Ni namna gan ilivyorahisi kuwin! Naomba mnielewe sijasema betting mbaya ila kwa anayeweza Ni vyema akawekeza huku yaan wahold!
Nawatakia majukum mema kuekelea uchumi wa kati
Women power!
Betpawa Jackpot, goals mechi 15 mpaka sasa nimekosea 1 nimepatia 11, bado mechi mbili za leo na moja imeahirishwa, vipi nikikosea zote 2 za leo kuna uwezekano wa kupata mpunga wowote??Karibuni tuinvest katika soko letu la hisa iwe meridian, iplay8 casino, m-bet, premier betting, skybet, landbrokerz, bet365... n.k
GG (maana yake tim zote zifungane).. GGGG ( tim zote zifungane kila kipindi)
2+ (katika mechi yote yapatikane magoli kuanzia mawili)...
I 2+ (kipindi cha kwanza yapatikane magoli kuanzia mawli)...
II2+ (kipindi cha pili yapatikane magoli kuanzia mawili)....
H2+ (tim ya nyumbani ipate magoli kuanzia mawili)...
A2+ (timu ya ugenini ipate magoli kuanzia mawili)...