Program Manager
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 2,513
- 3,437
Poa kakaNenda Instagram msearch jamaa anaeitwa @allsportsprediction1 jamaa anatoa sanaaa
Poa kakaNenda Instagram msearch jamaa anaeitwa @allsportsprediction1 jamaa anatoa sanaaa
Naomba kuuliza mlioweka iyo code je imeshinda?.
Kwan huoo mkeka na yeye si anakua naoooo brooNaomba kuuliza tena jamani. Maana mtu anakupa code afu anasema 25% kwenye win ni yake.
Utajuaje kama mkeka niliweka ata kama umetiki, nikikataa.
Vipi niki lose unatoa iyo 25% ya stake niliyo lose.
Ujinga ujinga ujinga tuu
Tuombe mungu hapa ukirost huongei na mtu siku nzimaView attachment 2035523
Aston villa anakufaaaa mbnaaaGame ijayo liver ana astonvilla so rotation inaweza kuwapo leo. Hii game ni ngumu kuruka na liver direct
Kwan huoo mkeka na yeye si anakua naoooo broo
Aston villa anakufaaaa mbnaaa
Aaaaaaah kama umemfuata inbox atajuaaa lkn kama kitu umekifuata hukuu hawez juaaaaSasa atajuaje me nimefata code yake
Hii game mbnaa Liverpool X2 Nd inatoaaa tuuuMe naongelea uefa we unaongelea ligi
nakufuata mkuu0B84DD3
Mtanilipa baada ya mechi ila hizi prediction zimefanyika kwa kina kwa kuzingatia ubora wa timu kwa kipindi husika, majeruhi, game walizokutana, uwanja utaotumika sambamba na umuhimu wa game yenyewe katika kuelekea hatua inayofuata. Weka hata 100K hapa afu tuje tufurahi kesho.View attachment 2035588
Pole sana ndugu, Arsenal kakufanyia kutu kibaya.
Premier bet walinipa hela kwa aina hii ya kubet na ndio hela nyingi zaidi kuishika kwenye kubet.. mkeka ulikuwa na timu 34 na stake ya 1100. Unakuwa na Rundo la karatasi mfukoni kila uendako. Now tuko kwenye Simu tu.MADOGO WANABETI AISEE SI MCHEZO
View attachment 2035709
Hahahaha, hii ndio kamari.Sasa atajuaje me nimefata code yake
Hahahaha, hii ndio kamari.
Inavokuwa, mmnakubaliana Hadi mnaenda WhatsApp mkamaria anakushauri na kiasi Cha kuweka kwa mkeka husika, then anajua Minimum stake yako ndio anakupa CODE... mpaka hapo anasubiria 25% wewe unaishi na 75% yako.
Vipi unataka CODE ya 25% payout?
Tatizo wingi wa ID
Mkuu hebu na mimi nielekeze hukoBetting huwa ni bahati, hizo hapo nilitoa huko huko sema tu sijawahi kuwa serious mkuuView attachment 2035533View attachment 2035535
😂😂😂😂😂Usije kuona kama ninakubeza, nimeandika hivyo kwakua naona kabisa unaweza kuja kumuotea afu return ikawa ni ndogo, ila yote kwa yote jitahidi uongeze stake walau iwe hâta 100 kuliko 20.
Pamoja sana mkuu.
Ugeni unamsumbua achana naye.Mkuu mbona una complicate sana maisha aisee
Naona kama unajisumbua sana mkuu
Sawa mkuuMkuu hebu na mimi nielekeze huko