Mlifuata wazee? Au kwa macho?
Sikuwa na mtaji, huwa siachi kituMlifuata wazee? Au kwa macho?
aisee wanampila wakitoto sana,wanacheza wao tu,mwisho wa siku ,,,hovyo tuCroatia ni wa kumloga kabisa. Kamili mpira hivyo then anadroo kizembe
hongera mkuu
Huu ndo ulikuwa mkeka wetu wa leo..
Mkuu uliweka hela ya kodi?Croatia kaharibu, nitamwambia nini mwenye nyumba kesho?? Beting n mbaya jmn na tamaa ni mbaya!
itabidi ujitoe akili tu,mwambie kuwa ulikufa kuja kufufuka pesa hazipo mfukoni..Croatia kaharibu, nitamwambia nini mwenye nyumba kesho?? Beting n mbaya jmn na tamaa ni mbaya!
mult goal kwenye bet yako inamaanisha nini?Anyways, haka ni 'kakijitreni' kangu kanakoitafuta weekend.
Na ikawe kheri.
View attachment 1971570View attachment 1971571View attachment 1971572
Maana yake uwiano wa magoli.mult goal kwenye bet yako inamaanisha double chance ama?