Lutandagula
JF-Expert Member
- Apr 8, 2018
- 1,762
- 2,157
Tuwekeje Mkuu?Yokohama FK Marinos... hela ya mapema hiyo wakuu, saa sita tu. Weka hata nyumba ya urithi
Tuwekeje Mkuu?Yokohama FK Marinos... hela ya mapema hiyo wakuu, saa sita tu. Weka hata nyumba ya urithi
Anashinda yuko away...(2). Japan leagueTuwekeje Mkuu?
Sawa MkuuAnashinda yuko away...(2). Japan league
ndioIs sportpesa down?
Uoga mnoo, Man , Everton a Atletico weka mazimaYokohama FK Marinos win
Young Boys win
Atletico Madrid DC
AC Milan DC
Everton 1st half DC
Psg win
Man utd DC... Weekend yangu ipo hivi leo.
Kama siyo mzoefu wa ligi ya uturuki utashangaa hao Altay kumpiga Besiktas,mara nyingi hizo timu za uturuki huwa hazieleweki hasa zinapokuwa nyumbani,hivyo ukienda kichwa kichwa unaumia,mara nyingi hii ligi mimi nachezaga magoli yanatoa sana,kuanzia over 1.5 na kuendelea !!kwenye betting hakunaga kitu UHAKIKA mkuu ako ka team (Altay) kame toka kupanda daraja Lig1 to Superleague kapo onfire sio poa siku tegemea kama Besikitas ange kubali kukaa kwa hao madogo tena dakika za lala salama
mkuu DC inamaanisha nini...?Yokohama FK Marinos win
Young Boys win
Atletico Madrid DC
AC Milan DC
Everton 1st half DC
Psg win
Man utd DC... Weekend yangu ipo hivi leo.
Double chancemkuu DC inamaanisha nini...?
Kvp mkuu mbona inafanya kaziIs sportpesa down?
Unaipata kupitia njia gani au vpnKvp mkuu mbona inafanya kazi
App yao na situmii vpn mkuu.Unaipata kupitia njia gani au vpn
OkayApp yao na situmii vpn mkuu.
DC ndio manini sasa hayo!Yokohama FK Marinos win
Young Boys win
Atletico Madrid DC
AC Milan DC
Everton 1st half DC
Psg win
Man utd DC... Weekend yangu ipo hivi leo.
Double chanceDC ndio manini sasa hayo!
DC ZIPO ZA AINA NYINGI SANA BE SPECIFIC
Barcelona ulaaniwe na vizazi vyako..