copernicucci98
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 1,223
- 2,319
Samahani mkuu wangu.. But you are all over the place!! Tukae kwa agenda.. Vitabu vyote vimeandika hiyo idadi ya waliokufa?Naomba nikueleweshe with all due respect mkuu kwamba dawa zote without exception zina agenda moja tu,depopulation.Iwe Hydroxyhloroquine,Erythromycin, Flagyl,Ciprofloxacin or whatever, hakuna dawa yenye nia njema hata moja.Utakuwa una-jidanganya kudhani kwamba kuna dawa nzuri,hakuna!Zote zina fisha na zina fit in kwenye mpango wa synthesis antisynthesis thesis.
Sikuleta reference yeyote kwa kuwa that is spoon feeding,nimesema taarifa hizi zipo kwenye mtandao tele na infact there are books already written.Do a bit of homework.
Finally kama huamini kwamba kuna depopulation plan,you are too far away removed from the truth.The evidence is all around us,again do some homework utaona.
Depopulation??.. Sijui kama hili neno linatumika interchangeably na population control.. Kama ndivyo basi najua.. Kama ni hapana, ebu nieleweshe.. You mean population iliyokuwepo inauawa?? Is this you refer to depopulation?
Dawa zote zina agenda ya depopulation; Labda hasara/side effects za dawa zinaweza kujustify unachokisema..
Asante kwa mchango!