Mwakalinga Bujo
JF-Expert Member
- Oct 22, 2008
- 2,720
- 1,440
Kuna mtu ana taarifa za huyu DJ maarufu aliyekuwepo Radio One miaka ya 1997..
Kama hawa wanaotoa tunzo za music wangekuwa wapo makini na tunzo zao basi wangeweka tunzo ya wakongwe
waliopambana mpaka leo hii muziki wa bongo fleva unachezwa Radioni kuanzia asubuhi mpaka asubuhi.Wapo wakina DJ JD na wengine.
DJ Mike Muhagama alikuwa na mapungufu kazaa ila wanaofuatilia alikuwa moja wa watu wa mwanzo kuanzisha vipindi vilivyokuwa vinacheza muziki wa bongo fleva Radio One ambako kwa kipindi kile nadhani kama ilikuwa hairuhusiwi .
Kama sikosei yeye na Sos B ndio waasisi wa chat za muziki wa bongo Radio One wakiwa wanapiga kwa muda wa saa zima bongofleva.
Miaka ya 1997/98 kwa Radio kubwa kama Radio One kucheza Bongofleva ilikuwa ni Issue kidogo,ilikuwa kama si kitu cha kawaida.
Kama hawa wanaotoa tunzo za music wangekuwa wapo makini na tunzo zao basi wangeweka tunzo ya wakongwe
waliopambana mpaka leo hii muziki wa bongo fleva unachezwa Radioni kuanzia asubuhi mpaka asubuhi.Wapo wakina DJ JD na wengine.
DJ Mike Muhagama alikuwa na mapungufu kazaa ila wanaofuatilia alikuwa moja wa watu wa mwanzo kuanzisha vipindi vilivyokuwa vinacheza muziki wa bongo fleva Radio One ambako kwa kipindi kile nadhani kama ilikuwa hairuhusiwi .
Kama sikosei yeye na Sos B ndio waasisi wa chat za muziki wa bongo Radio One wakiwa wanapiga kwa muda wa saa zima bongofleva.
Miaka ya 1997/98 kwa Radio kubwa kama Radio One kucheza Bongofleva ilikuwa ni Issue kidogo,ilikuwa kama si kitu cha kawaida.