mikataba mipya na haswa ya madini,mafuta na geasi iridhiwe na Bunge na sii baraza la mawaziri.Pamoja na mikataba yote mibovu ipelekwe bungeni na kujadiliwa upya na kuwawajibisha wale wote wanaoliingizia Taifa hasara.
Bunge kama bunge lipewe uhuru na hadhi yake.
Bunge kama bunge lipewe uhuru na hadhi yake.