Magazeti yameandika kuwa mikataba ya madini inatamka wazi kuwa kila mwekezani anatakiwa kuchangia dola za kimarekani laki mbili na arobaini elfu ( 240,000$US ) kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wanoishi eneo lenye mgodi. Sasa mimi najiuliza kwanini serikali iliyopita haikuliweka wazi hilo?
Au kuna viongozi wamekuwa wakila na wawekezaji? Tuseme ndiyo maana wananchi wamekuwa wakipigwa risasi kama ndege na Sirikali kukaa kimya?, Kwa mfano migodi ya Nyamongo na Bulyankulu.
Ni kina nani walitakiwa kutoa hizi taarifa? Au nani alizuia zisitolewe kama siyo BM? Hawa watu pamoja na BM wana kesi ya kujibu. Mauaji ya wananchi na Ufisadi (Uhujumu) wa mali ya wananchi. Hawa watu hawatakiwi kulindwa. Kama JK atawalinda atakuwa anajipaka damu za hao watu na uhujumu..
Kwanini mikataba iendelee kuwa SIRI? Kwanini isipitiwe na Bunge letu? Kwanini tunaendelea kuchezeana akili hivi? Wanasheria wetu mko wapi?
Au kuna viongozi wamekuwa wakila na wawekezaji? Tuseme ndiyo maana wananchi wamekuwa wakipigwa risasi kama ndege na Sirikali kukaa kimya?, Kwa mfano migodi ya Nyamongo na Bulyankulu.
Ni kina nani walitakiwa kutoa hizi taarifa? Au nani alizuia zisitolewe kama siyo BM? Hawa watu pamoja na BM wana kesi ya kujibu. Mauaji ya wananchi na Ufisadi (Uhujumu) wa mali ya wananchi. Hawa watu hawatakiwi kulindwa. Kama JK atawalinda atakuwa anajipaka damu za hao watu na uhujumu..
Kwanini mikataba iendelee kuwa SIRI? Kwanini isipitiwe na Bunge letu? Kwanini tunaendelea kuchezeana akili hivi? Wanasheria wetu mko wapi?