The Farmer
JF-Expert Member
- Jan 7, 2009
- 1,658
- 557
Mkuu hapa umechemka...Kinachogomba ni false declaration.Mzigo unaoandikwa unakuwa na thamani ya chini sana,kuliko ukweli halisi hivi ndivyo tunavyopigwa hata wakati wa kuingiza makontena,kwenye mafuta hali ni hiyo hiyo.