AirTanzania
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 1,139
- 1,033
Mkapa ndiyo nani Ben ndiyo nani?
Upunguani huo.
Hebu nenda katupkie daku wee bibie
Mkapa ndiyo nani Ben ndiyo nani?
Upunguani huo.
Hujakosea. Ndiyo maana nnawajuwa mapunguani.
Hujakosea. Ndiyo maana nnawajuwa mapunguani.
This answer is brand new!!!!!Hujakosea. Ndiyo maana nnawajuwa mapunguani.
Licha ya kujifanya "hajaribiwi,haendeshwi wala hapangiwi" historia inamwonya.Chiluba alijifanya KUFUKUA makaburi Zambia kwa kumwandama KK,yaliyomkuta atakuwa anayajutia huko aliko.
Huyu naye analijua hilo.
Mtu wa kawaida anaweza fikiri Magufuli anavyo apa kuwalinda kina JK na Mkapa
basi kweli 'anawapenda na anataka kuwalinda'
Ukweli ni kuwa JK na Mkapa wana mizizi mirefu kwenye CCM
wao wawili wakiamua huyu Magufuli 'aondoke'
anaondoka bila ubishi..na Magufuli anajua hilo
So hadharani anaahidi 'kuwalinda' huku anajua anachowaahidi ni
'kutowagusa' ili na yeye 'wamuache' afanye anavyotaka...
HujuiMkapa ndiyo nani Ben ndiyo nani?
Upunguani huo.
mkuu hata akitaka kuyadili, anayadili tu. Si katiba ya chama inasema yeye ndo ngombea 2020hilo
So hadharani anaahidi 'kuwalinda' huku anajua anachowaahidi ni
'kutowagusa' ili na yeye 'wamuache' afanye anavyotaka
Ni kama kuitangazia dunia kwamba uko uchi na kweli unapata ujasiri wa kutoka hivyo hivyo ukiwa mtupu. Huku nyuma familia yako nayo inapiga vigelegele unavyopendeza. Anatokea jirani na kukushangaa mtu mzima kukata mitaa ukiwa uchi, loo, unakurupuka na kutaka kumtoa shingo.Uzuri Jpm alichojitahidi kuonyesha dunia ni kuwa walichokuwa wanakipigia kelele wapinzani ni kweli sisi wanaccm ndo tulihusika kupora mali za taifa hili kwa muda mrefu