Mikataba anayoingia Waziri Makamba ina mkono wa mkuu wa nchi? Kwanini hatusikii akiikemea? Wananchi wanabakia kunung'unika Taifa lao kufisadiwa

Tukiwa tunataka kuomba kwao tunaanza kuwapamba kwa kuwaita marafiki wa maendeleo. Tukishashiba na kutaka kuwatukana tunawaita mabeberu, ni akili zile zile za kujihami za kiafrika.

Kibaya zaidi JPM mpaka anakufa alitakiwa akatibiwe Ujerumani kwa hao hao mabeberu lakini kwa sababu alikwisha nyea kambi akakubali kuteseka kimya kimya mpaka kifo kilipomfika.

Ni mentality fulani zinazopitwa na wakati kadri siku zinavyokwenda.
Tabia hizi za kuropoka ropoka zinaendekezwa na watu waliojipendeza kwa Kiongozi mkuu ambaye naye alipenda sana kusifia.
Ilipotolewa Hoja Bungeni ya kufanya Ukaguzi mahususi juu ya Mikopo ya Awamu wa 5, wapo watu walitoa povu wakidai JPM hakukopa. Yupo Mtangazaji wa Star TV alikuwa analaani Hoja hiyo kwenye Kipindi anachoongoza cha Tuongee Asubuhi.
Naamini kuwa hivi sasa anajutia kauli zake, maana sasa imedhihirika kuwa Awamu ya Tano, kwa miaka 5 tu, ilikopa kuliko Awamu ya 4 kwa miaka 10.
Tena mikopo ya Kibiashara, yenye Riba kubwa sana.
Utawala wa Awamu ya 5 uligubikwa na ghilba nyingi sana
 
Tabia hizi za kuropoka ropoka zinaendekezwa na watu walijipendeza kwa Kiongozi mkuu ambaye naye alipenda sana kusifia.
Ilipotolewa Hoja Bungeni ya kufanya Ukaguzi mahususi juu ya Mikopo ya Awamu wa 5, wapo watu walitoa povu wakidai JPM hakukopa.
Sasa imedhihirika kuwa Awamu ya Tano, kwa miaka 5 tu, ilikopa kuliko Awamu ya 4 kwa miaka 10.
Utawala wa Awamu ya 5 uligubikwa na ghilba nyingi sana
Awamu ya tano ilikuwa kama vile inashindana na awamu zilizotangulia. Ni kichekesho fulani ukitafakari kwa undani.

JK ni mtu rahimu sana mwenye kujichanganya na kila aina ya watu, hana makuu. JPM alikuwa tofauti kabisa na JK kihulka, alipenda mashindano na alikuwa na ile roho inayoumia akiona mtu fulani anafanikiwa. Akaipandikiza kwa wasaidizi wake, na unoko ukatawala miaka yake yote ikulu.
 
Tukiwa tunataka kuomba kwao tunaanza kuwapamba kwa kuwaita marafiki wa maendeleo. Tukishashiba na kutaka kuwatukana tunawaita mabeberu, ni akili zile zile za kujihami za kiafrika.

Kibaya zaidi JPM mpaka anakufa alitakiwa akatibiwe Ujerumani kwa hao hao mabeberu lakini kwa sababu alikwisha nyea kambi akakubali kuteseka kimya kimya mpaka kifo kilipomfika.

Ni mentality fulani zinazopitwa na wakati kadri siku zinavyokwenda.
Angeenda huko germany asingekufa? Au unaataka kusema waliopo Germany wakiugua hawafi?
 
Tabia hizi za kuropoka ropoka zinaendekezwa na watu waliojipendeza kwa Kiongozi mkuu ambaye naye alipenda sana kusifia.
Ilipotolewa Hoja Bungeni ya kufanya Ukaguzi mahususi juu ya Mikopo ya Awamu wa 5, wapo watu walitoa povu wakidai JPM hakukopa. Yupo Mtangazaji wa Star TV alikuwa analaani Hoja hiyo kwenye Kipindi anachoongoza cha Tuongee Asubuhi.
Naamini kuwa hivi sasa anajutia kauli zake, maana sasa imedhihirika kuwa Awamu ya Tano, kwa miaka 5 tu, ilikopa kuliko Awamu ya 4 kwa miaka 10.
Tena mikopo ya Kibiashara, yenye Riba kubwa sana.
Utawala wa Awamu ya 5 uligubikwa na ghilba nyingi sana
Hilo suala nilishalisema hapa na kuweka taarifa zote za BOT na zingine zote, Magufuli hakukopa zaidi ya kikwete.
Magufuli alikopa sana, Ila si zaidi ya kikwete. Tunaweza kumsema aina ya mikopo aliyokopa na pengine kilichofanyika, Ila sio kusema alikopa zaidi ya kikwete.
 
Mimi sifahamu ila ngoja tu nichokoze mada, Since project inahusisha multinational companies hatuoni kwamba yawezekana moja ya vigezo na mashari yake ni ku-hire "mshauri" kutoka nje? kwa maana nyingine yawezekana ni matakwa ya kimkataba.

Na pili je, mkataba hauelekezi kupatikana kwa m-bia kwa upande wa consultancy ambaye ni mzawa?

Anyways, WanaCCM kwenye huu uzi mmenyukana! 😀
 
Alianza na mkataba wa bil takribani 70 ambao Tanesco iliingia mkataba na Mahindra tech ya India kwa ajili ya kukodi software ambayo itafanya shughuli za Tanesco ziwe za kidigitali na kuongeza ufanisi kiutendaji. Mpaka sasa kila Mtanzania anahoji na kujiuliza ni software gani hiyo ambayo watalaamu wa Kitanzania au ni ufanisi gani ambao hawa Wahindi watauleta kwa bil 70. Watalaamu wa Kitanzania hawapo?

Jana tena kaibuka na kulipatia mkataba kampuni la huko Uk la Barker and Bottis mkataba wa kuwa kuwa mshauri juu ya utekelezaji wa mradi wa gasi ya asili ya Lindi. Mradi ambao una gharama zaidi ya tril 70.

Kama taifa tulishindwa kuwa na Government negotiating team? Hii team ingejumuisha watalaamu wa kila aina na kuokoa pesa nyingi za walipa kodi.

Haya mauzauza na dili anazofanya January Makamba yanaonyesha wazi kabisa yana ruhusa na mkono wa mkuu wa nchi maana alipaswa kuyazuia na kumtumbua mapema kabisa.
Kwani hujui kwa njni Samia alimuondoa Kalemani? Maana ya kula kwa urefu wa kamba yako hujui maana yake?
 
We kahaba mbona kabla ya hao wahindi kupewa hiyo kazi kulikuwa hakuna mauzauza ya umeme kukatika hovyo?

Unataka kusema hakuna watanzania wenye uwezo wa kutengeneza software. Pumbavu kabisa.

Unajua huu mradi wa LNG Lindi upo stage gani na ulianza lini? Kulikuwa hakuna Government negotiating team? Kwa sababu ni mradi wa Trilion 70 ndio wapewe was waingereza kimauzauza kufanya transaction negotiation. Weka kando upumbavu wako na kaa kimya kuliko kuhifanya unajua wakati umejaaa kinyesi kichwani.
Uko vizuri mno LNG Lindi ni kitendawili!!!!!
 
Alianza na mkataba wa bil takribani 70 ambao Tanesco iliingia mkataba na Mahindra tech ya India kwa ajili ya kukodi software ambayo itafanya shughuli za Tanesco ziwe za kidigitali na kuongeza ufanisi kiutendaji. Mpaka sasa kila Mtanzania anahoji na kujiuliza ni software gani hiyo ambayo watalaamu wa Kitanzania au ni ufanisi gani ambao hawa Wahindi watauleta kwa bil 70. Watalaamu wa Kitanzania hawapo?

Jana tena kaibuka na kulipatia mkataba kampuni la huko Uk la Barker and Bottis mkataba wa kuwa kuwa mshauri juu ya utekelezaji wa mradi wa gasi ya asili ya Lindi. Mradi ambao una gharama zaidi ya tril 70.

Kama taifa tulishindwa kuwa na Government negotiating team? Hii team ingejumuisha watalaamu wa kila aina na kuokoa pesa nyingi za walipa kodi.

Haya mauzauza na dili anazofanya January Makamba yanaonyesha wazi kabisa yana ruhusa na mkono wa mkuu wa nchi maana alipaswa kuyazuia na kumtumbua mapema kabisa.
Tumeambiwa mzee wa jalalani kazi yake ni ku scan mikataba
 
Tumeambiwa mzee wa jalalani kazi yake ni ku scan mikataba
image_search_1643133836204.jpg
 
Waende kumuona waziri na atawasikiliza?? Sijui hata kama unaelewa, hapo wametangaza tender na ndani yake kunakua na mtu/watu wanaowalenga(10%) na ndio mwisho wanasema wamepata kampuni fulani kutoka sehemu fulani
Ni mtazamo tu.JUST DO IT then uwe na ushahidi ila usidhanie.
 
Mkuu unaelewa maana ya transaction advisor wa mradi wa kiwango cha LNG ?hivi Tanzania kuna firm ipi yenye commercial laywer ?unafikiri miradi hii ukishakuwa mwanasheria inatosha ?tafadhali pitie website ya Baker Botts,ndio utaelewa hali halisi
Sijakuelewa ishu ni kuwa mwanasheria wa Baker and Botts au vipi? Maana nondo za sheria ni zile zile hapa duniani.
 
Alianza na mkataba wa bil takribani 70 ambao Tanesco iliingia mkataba na Mahindra tech ya India kwa ajili ya kukodi software ambayo itafanya shughuli za Tanesco ziwe za kidigitali na kuongeza ufanisi kiutendaji. Mpaka sasa kila Mtanzania anahoji na kujiuliza ni software gani hiyo ambayo watalaamu wa Kitanzania au ni ufanisi gani ambao hawa Wahindi watauleta kwa bil 70. Watalaamu wa Kitanzania hawapo?

Jana tena kaibuka na kulipatia mkataba kampuni la huko Uk la Barker and Bottis mkataba wa kuwa kuwa mshauri juu ya utekelezaji wa mradi wa gasi ya asili ya Lindi. Mradi ambao una gharama zaidi ya tril 70.

Kama taifa tulishindwa kuwa na Government negotiating team? Hii team ingejumuisha watalaamu wa kila aina na kuokoa pesa nyingi za walipa kodi.

Haya mauzauza na dili anazofanya January Makamba yanaonyesha wazi kabisa yana ruhusa na mkono wa mkuu wa nchi maana alipaswa kuyazuia na kumtumbua mapema kabisa.
Ndege yetu ilipokamatwa huko South Afrika wakati huo, ni wanasheria wa kitanzania walioenda kuitetea. Ingekuwa leo, kungekuwa na mkataba wa kampuni fulani la sheria ambao thamani yake ungekuwa ni zaidi ya thamani ya ndege yenyewe !
 
Alianza na mkataba wa bil takribani 70 ambao Tanesco iliingia mkataba na Mahindra tech ya India kwa ajili ya kukodi software ambayo itafanya shughuli za Tanesco ziwe za kidigitali na kuongeza ufanisi kiutendaji. Mpaka sasa kila Mtanzania anahoji na kujiuliza ni software gani hiyo ambayo watalaamu wa Kitanzania au ni ufanisi gani ambao hawa Wahindi watauleta kwa bil 70. Watalaamu wa Kitanzania hawapo?

Jana tena kaibuka na kulipatia mkataba kampuni la huko Uk la Barker and Bottis mkataba wa kuwa kuwa mshauri juu ya utekelezaji wa mradi wa gasi ya asili ya Lindi. Mradi ambao una gharama zaidi ya tril 70.

Kama taifa tulishindwa kuwa na Government negotiating team? Hii team ingejumuisha watalaamu wa kila aina na kuokoa pesa nyingi za walipa kodi.

Haya mauzauza na dili anazofanya January Makamba yanaonyesha wazi kabisa yana ruhusa na mkono wa mkuu wa nchi maana alipaswa kuyazuia na kumtumbua mapema kabisa.
Dili za rada zimerudi. Usihangaike sana. Angalia CV ya Januari ndo utajua kwamba una mtu au kitu wizarani. Inafikia hatua unaelewa ni kwa nini alipewa wizara kama hiyo kwa uelewa mdogo wa sayansi alionao.
 
Back
Top Bottom