Mikataba anayoingia Waziri Makamba ina mkono wa mkuu wa nchi? Kwanini hatusikii akiikemea? Wananchi wanabakia kunung'unika Taifa lao kufisadiwa

Idugunde

JF-Expert Member
May 21, 2020
6,273
6,637
Alianza na mkataba wa bil takribani 70 ambao Tanesco iliingia mkataba na Mahindra tech ya India kwa ajili ya kukodi software ambayo itafanya shughuli za Tanesco ziwe za kidigitali na kuongeza ufanisi kiutendaji. Mpaka sasa kila Mtanzania anahoji na kujiuliza ni software gani hiyo ambayo watalaamu wa Kitanzania au ni ufanisi gani ambao hawa Wahindi watauleta kwa bil 70. Watalaamu wa Kitanzania hawapo?

Jana tena kaibuka na kulipatia mkataba kampuni la huko UK la Barker and Bottis mkataba wa kuwa kuwa mshauri juu ya utekelezaji wa mradi wa gasi ya asili ya Lindi. Mradi ambao una gharama zaidi ya tril 70.

Kama taifa tulishindwa kuwa na Government negotiating team? Hii team ingejumuisha watalaamu wa kila aina na kuokoa pesa nyingi za walipa kodi.

Haya mauzauza na dili anazofanya January Makamba yanaonyesha wazi kabisa yana ruhusa na mkono wa mkuu wa nchi maana alipaswa kuyazuia na kumtumbua mapema kabisa.
 
Mpaka sasa kila mtanzania anahoji na kujiuliza ni software gani hiyo ambayo watalaamu wa kitanzania au ni ufanisi gani ambaao hawa wahindi watauleta kwa bil 70. Watalaamu wa kitanzania hawapo?
kuna mdau alikuja kulalamika hapa aliwapa wabongo project wamyengenezee software, pamoja na kuwalipa pesa nyingi bado iliwachukua mwaka mzima na project ilipokamilika ilionekana kwamba ni copy and paste, usanii mwingi HIVYO SOFTWARE DEVELOPERS WA KIANZANIA NI VILAZA FIRST GRADE.

Kama taifa tulishindwa kuwa na Government negotiating team? Hii team ingejumuisha watalaamu wa kila aina na kuokoa pesa nyingi za walipa kodi.
Kwa akili yako fupi unahisi kuna kampuni gani ya kitanzania inaweza kufanya kazi ya ushauri kwenye mradi srious kama huu? unajua maana ya 70T wewe? au unakurupuka tuu kuja kulalamika hapa sababu tuu unamiliki iphone macho matatu? Kwa kifupi serious business zinahitaji watu serious.
 
kuna mdau alikuja kulalamika hapa aliwapa wabongo project wamyengenezee software, pamoja na kuwalipa pesa nyingi bado iliwachukua mwaka mzima na project ilipokamilika ilionekana kwamba ni copy and paste, usanii mwingi HIVYO SOFTWARE DEVELOPERS WA KIANZANIA NI VILAZA FIRST GRADE.

Kwa akili yako fupi unahisi kuna kampuni gani ya kitanzania inaweza kufanya kazi ya ushauri kwenye mradi srious kama huu? unajua maana ya 70T wewe? au unakurupuka tuu kuja kulalamika hapa sababu tuu unamiliki iphone macho matatu? Kwa kifupi serious business zinahitaji watu serious.
We kahaba mbona kabla ya hao wahindi kupewa hiyo kazi kulikuwa hakuna mauzauza ya umeme kukatika hovyo?

Unataka kusema hakuna watanzania wenye uwezo wa kutengeneza software. Pumbavu kabisa.

Unajua huu mradi wa LNG Lindi upo stage gani na ulianza lini? Kulikuwa hakuna Government negotiating team? Kwa sababu ni mradi wa Trilion 70 ndio wapewe was waingereza kimauzauza kufanya transaction negotiation. Weka kando upumbavu wako na kaa kimya kuliko kuhifanya unajua wakati umejaaa kinyesi kichwani.
 
Unajua huu mradi wa LNG Lindi upo stage gani na ulianza lini? Kulikuwa hakuna Government negotiating team? Kwa sababu ni mradi wa Trilion 70 ndio wapewe was waingereza kimauzauza kufanya transaction negotiation. Weka kando upumbavu wako na kaa kimya kuliko kuhifanya unajua wakati umejaaa kinyesi kichwani.
sawa mimi kahaba ila yakupasa upunguze ujuaji mkuu, UKWELI UTABAKI PALEPALE KUA TZ HAMNA SOFTWARE DEVELOPERS AMBAO NI TALLENTED wanachoweza ni copy na bandika basi. Halafu hii issue ya LNG ni kwamba "SERIKALI IMEINGIA MKATABABA WA HUDUMA YA USHAURI KATIKA MAJADILIANO YA MRADI WA LNG NA BAKER BOTTS YA UK" sasa wewe kilaza hebu soma vizuri nilichokiandika halafu kanunue mihogo unywe chai uendelee kuleta ujinga wako mitandaoni..
 
We kahaba mbona kabla ya hao wahindi kupewa hiyo kazi kulikuwa hakuna mauzauza ya umeme kukatika hovyo?

Unataka kusema hakuna watanzania wenye uwezo wa kutengeneza software. Pumbavu kabisa.

Unajua huu mradi wa LNG Lindi upo stage gani na ulianza lini? Kulikuwa hakuna Government negotiating team? Kwa sababu ni mradi wa Trilion 70 ndio wapewe was waingereza kimauzauza kufanya transaction negotiation. Weka kando upumbavu wako na kaa kimya kuliko kuhifanya unajua wakati umejaaa kinyesi kichwani.
Hata wasingekuwepo watanzania, bado suala hilo lingelazimu competitive tendering ifanyike, je hao wahindi wamepatikana kwa kushindanishwa? Vivyo hivyo kwa hiyo Firm ya Sheria kwenye bodi ya Tanesco si kuna yule mama Majar aliyewahi kuwa balozi wa TZ nchini USA ambaye ni mwanasheria nguli na ana firm kubwa tu ya Lex Attorney, labda ndio kashauri firm hiyo ya UK ipewe dili na wamkatie commission asionekane moja kwa moja huku kama mpigaji.
 
sawa mimi kahaba ila yakupasa upunguze ujuaji mkuu, UKWELI UTABAKI PALEPALE KUA TZ HAMNA SOFTWARE DEVELOPERS AMBAO NI TALLENTED wanachoweza ni copy na bandika basi. Halafu hii issue ya LNG ni kwamba "SERIKALI IMEINGIA MKATABABA WA HUDUMA YA USHAURI KATIKA MAJADILIANO YA MRADI WA LNG NA BAKER BOTTS YA UK" sasa wewe kilaza hebu soma vizuri nilichokiandika halafu kanunue mihogo unywe chai uendelee kuleta ujinga wako mitandaoni..
We fala kaa kimya acha kujifanya unajua. Hakuna software developer talented ndio una maana gani? Wana copy na kupaste nini? Kwani kila software lazima zifanane mpaka wakopy na kupaste. Unajua maana ya software?

Transaction negotiation advisory watanzania hawawezi kufanya? Upuuzi wa kujifanya unajua wakati hujui.
 
Transaction negitiotion watanzania hawawezi kufanya? Upuuzi wa kujifanya unajua wakati hujui.
"SERIKALI IMEINGIA MKATABABA WA HUDUMA YA USHAURI KATIKA MAJADILIANO YA MRADI WA LNG NA BAKER BOTTS YA UK' hebu soma vizuri haya maelezo. Hiyo kampuni wao hawanegotiate, wanaacha nyinyi mjadiliane then wao wanashauri kwa uzoefu wao kwamba ipi ni njia sahihi. Sasa hapa kwetu kuna kampuni gani gani au team ipi ambayo ina uzoefu na LNG project ambayo inaweza kushauri serikali? Watu kama nyinyi ndio Prof. Muhongo alikua anawajibu kunya hadi mnatamani kujiua.
 
"SERIKALI IMEINGIA MKATABABA WA HUDUMA YA USHAURI KATIKA MAJADILIANO YA MRADI WA LNG NA BAKER BOTTS YA UK' hebu soma vizuri haya maelezo. Hiyo kampuni wao hawanegotiate, wanaacha nyinyi mjadiliane then wao wanashauri kwa uzoefu wao kwamba ipi ni njia sahihi. Sasa hapa kwetu kuna kampuni gani gani au team ipi ambayo ina uzoefu na LNG project ambayo inaweza kushauri serikali? Watu kama nyinyi ndio Prof. Muhongo alikua anawajibu kunya hadi mnatamani kujiua.
Nimekuuliza toka hapo awali unajua stage ya huu mradi ilipo? Tpdc haina watalaamu? Nakuuliza tena unajua stage huu mradi ulipofika na unafahamu Tpdc ni chombo gani?

Unafahamu transaction advisor ni ni kitu gani? Je watanzania hawawezi kufanya? Muhongo alitetea ufisadi wake unajua kilichompata?
 
Kama taifa tulishindwa kuwa na Government negotiating team? Hii team ingejumuisha watalaamu wa kila aina na kuokoa pesa nyingi za walipa kodi.
Ukweli mchungu ni kwamba, Watanzania wenzetu ambao ni Wanasheria huko serikalini huwa wanatuangusha, BIG TIME!!

Mikataba ya kipumbavu kabisa kuwahi kuingia nchi hii kwa miaka ya karibuni ni ule wa IPTL na TICTS! Je, unadhani hatukuwa na hao GNT?!

Amini amini nawaambia, kama nakuwa mtoa maamuzi, kwa uchungu mkubwa kwa baadhi ya mambo naweza kutumia foreign management companies hata kama wenyewe tunao watalaamu kwa sababu we're stupid!!

Na hizi foreign management companies nilishuhudia "kwa macho yangu" ambavyo walii-transform NMB kutoka kuitwa Benki ya Walalahoi hadi kuwa moja ya Benki 3 Kubwa zaidi nchini in terms of assets hadi Mkapa, kama ilivyokuwa kawaida yake, akaamua kuiingiza sokoni kwa hoja eti benki ilikuwa ina-survive kwa ruzuku ya serikali... kauli ilimfanya CEO kumwaga manyanga na kurudi kwao US!

Lakini kwa upande mwingine, tusisahau sisi ni wageni kwenye gas industry, na hii industry ni pana mno.

Je, tuna Wataalamu wanaoifahamu hii industry nyuma mbele, mbele nyuma?! Kwa sababu, hata ukisoma michango ya JF kuhusu gas industry unaona kabisa kwamba watu wana limited understanding kuhusu hii indusry!
 
Nimekuuliza toka hapo awali unajua stage ya huu mradi ilipo? Tpdc haina watalaamu? Nakuuliza tena unajua stage huu mradi ulipofika na unafahamu Tpdc ni chombo gani?

Unafahamu transaction advisor ni ni kitu gani? Je watanzania hawawezi kufanya? Muhongo alitetea ufisadi wake unajua kilichompata?
Sema Muhongo aliwapandishia sana mishahara wafanyakazi wa TPDC, akaongeza na posho za kufa mtu. Mtu akitoka ofisini TPDC kwenda Kinyerezi analipwa Tsh. 300,000/= per diem, akienda nje ya mkoa Tsh. 500,000/=
Sijui kama hizi rates bado zina-survive!
 
Ukweli mchungu ni kwamba, Watanzania wenzetu ambao ni Wanasheria huko serikalini huwa wanatuangusha, BIG TIME!!

Mikataba ya kipumbavu kabisa kuwahi kuingia nchi hii kwa miaka ya karibuni ni ule wa IPTL na TICTS! Je, unadhani hatukuwa na hao GNT?!

Amini amini nawaambia, kama nakuwa mtoa maamuzi, kwa uchungu mkubwa kwa baadhi ya mambo naweza kutumia foreign management companies hata kama wenyewe tunao watalaamu kwa sababu we're stupid!!

Na hizi foreign management companies nilishuhudia "kwa macho yangu" ambavyo walii-transform NMB kutoka kuitwa Benki ya Walalahoi hadi kuwa moja ya Benki 3 Kubwa zaidi nchini in terms of assets hadi Mkapa, kama ilivyokuwa kawaida yake, akaamua kuiingiza sokoni kwa hoja eti benki ilikuwa ina-survive kwa ruzuku ya serikali... kauli ilimfanya CEO kumwaga manyanga na kurudi kwao US!

Lakini kwa upande mwingine, tusisahau sisi ni wageni kwenye gas industry, na hii industry ni pana mno.

Je, tuna Wataalamu wanaoifahamu hii industry nyuma mbele, mbele nyuma?! Kwa sababu, hata ukisoma michango ya JF kuhusu gas industry unaona kabisa kwamba watu wana limited understanding kuhusu hii indusry!
Sawa, wanasheria serikalini wanatuangusha - hilo halina ubishi kabisa, je wanasheria wa kujitegemea watanzania hawana weledi huo? Ukiangalia kesi kibao zihusuzo mikataba ya madini au masuala ya kodi za makampuni ya kimataifa yaliyopo hapa Tanzania mbona zinawakilishwa na wanasheria wa kitanzania?

Ukipitia tovuti za Firm mbalimbali za Sheria kama FB Attorneys, Lex Attorneys, IMMMA nk wamejipambanua vyema kuwa wanatoa ushauri kwa mambo ya biashara za kimataifa, mambo ya madini nk hata hao kweli wameshindwa kuwapa kazi?

Mzee Nimrodi Mkono na Firm yake wamekuwa wanasheria wa Tanesco, IPTL nk hata hao wameshindwa kupewa kazi? Basi wangempa hata Ngwilimi, yule aliyekuwa mwanasheria wa Tanesco wakati wa saga ya IPTL akatoa ushauri wa maana halafu ukapuuzwa na Management ya Tanesco pamoja na mwanasheria mkuu wa Serikali.

Itoshe kusema, wanasheria wa kujitegemea wapo wengi tu wenye uchungu na nchi hii na wenye weledi mkubwa wa Sheria, wangepewa hiyo kazi. Na kama hii kazi imetolewa bila ushindani, tayari ni harufu ya rushwa pamoja na uvunjwaji wa sheria ya manunuzi
 
Sawa, wanasheria serikalini wanatuangusha - hilo halina ubishi kabisa, je wanasheria wa kujitegemea watanzania hawana weledi huo? Ukiangalia kesi kibao zihusuzo mikataba ya madini au masuala ya kodi za makampuni ya kimataifa yaliyopo hapa Tanzania mbona zinawakilishwa na wanasheria wa kitanzania??

Ukipitia tovuti za Firm mbalimbali za Sheria kama FB Attorneys, Lex Attorneys, IMMMA nk wamejipambanua vyema kuwa wanatoa ushauri kwa mambo ya biashara za kimataifa, mambo ya madini nk hata hao kweli wameshindwa kuwapa kazi??

Mzee Nimrodi Mkono na Firm yake wamekuwa wanasheria wa Tanesco, IPTL nk hata hao wameshindwa kupewa kazi? Basi wangempa hata Ngwilimi, yule aliyekuwa mwanasheria wa Tanesco wakati wa saga ya IPTL akatoa ushauri wa maana halafu ukapuuzwa na Management ya Tanesco pamoja na mwanasheria mkuu wa Serikali. Itoshe kusema, wanasheria wa kujitegemea wapo wengi tu wenye uchungu na nchi hii na wenye weledi mkubwa wa Sheria, wangepewa hiyo kazi. Na kama hii kazi imetolewa bila ushindani, tayari ni harufu ya rushwa pamoja na uvunjwaji wa sheria ya manunuzi
Mkuu unaelewa maana ya transaction advisor wa mradi wa kiwango cha LNG ?hivi Tanzania kuna firm ipi yenye commercial laywer ?unafikiri miradi hii ukishakuwa mwanasheria inatosha ?tafadhali pitie website ya Baker Botts,ndio utaelewa hali halisi
 
Alianza na mkataba wa bil takribani 70 ambao Tanesco iliingia mkataba na Mahindra tech ya India kwa ajili ya kukodi software ambayo itafanya shughuli za Tanesco ziwe za kidigital na kuongeza ufanisi kiutendaji. Mpaka sasa kila mtanzania anahoji na kujiuliza ni software gani hiyo ambayo watalaamu wa kitanzania au ni ufanisi gani ambaao hawa wahindi watauleta kwa bil 70. Watalaamu wa kitanzania hawapo?


Jana tena kaibuka na kulipatia mkataba kampuni la huko Uk la Barker and Bottis mkataba wa kuwa kuwa mshauri juu ya utekelezaji wa mradi wa gasi ya asili ya Lindi. Mradi ambao una gharama zaidi ya tril 70.

Kama taifa tulishindwa kuwa na Government negotiating team? Hii team ingejumuisha watalaamu wa kila aina na kuokoa pesa nyingi za walipa kodi.

Haya mauzauza na dili anazofanya January Makamba yanaonyesha wazi kabisa yana ruhusa na mkono wa mkuu wa nchi maana alipaswa kuyazuia na kumtumbua mapema kabisa.
Anaruka watu wote anaenda kumsainisha Rais,makamu wa Rais,mpango alimwambia afuate utaratibu na hio mikataba yake bado hasikii
 
We fala kaa kimya acha kujifanya unajua. Hakuna software developer talented ndio una maana gani? Wana copy na kupaste nini? Kwani kila software lazima zifanane mpaka wakopy na kupaste. Unajua maana ya software?

Transaction negotiation advisory watanzania hawawezi kufanya? Upuuzi wa kujifanya unajua wakati hujui.
Bro hii nchi ni ngumu, wengi awawezi kukuelewa.
 
Back
Top Bottom