Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitag kwenye huo uzi tuone #&~&~₩~♤=♡♡==♤♤==♤=^♤Mnajitekenya wenyewe na kucheka wenyewe ,kuna uzi ulikuwepo humu wenzenu wanalalamika kila siku kumchangia jamaa na story mpk abembelezwe sio maneno yangu ya wapigwaji wenzenu
...la kimkakati 🙂🙂Yani tumeacha point za msingi wengi tumeshupaa na shipa, hahaaaaa....
Huyo boss atakuwa shigongo. Mkuu zabron mwenyewe nipo hapaUshauri kwa LwandaMagere we si upo mwanza mzee mtafute basi zabroni mwita akusaidie mtoe kitabu bila shaka wengi wana mjua ana kitabu cha sitoisahau gamboshi Maana ye alishachukuliwa na wachawi na kupelekwa ukogamboshi ila mungu mwema alifanikiwa kurudi duniani mzee kitabu hiki utapga pesa ndefu zabron alishapata mpaka m 100 na machenchi kupitia ushuhuda wake. kwa hicho kitabu chake alafu hapa usiache kusimulia, maliza na ukitoa kitabu utapiga pesa mim nimesoma kitabu chake zabron alinitumia kwa wasap through hard copy lakini pia kuna Chanel ipo YouTube ya davistar mata media story take ipo furu mpka zabron mwenyewe unamuona akisimulia na ameshawai simulia redio free Africa hii sitosahau gamboshi wengi humu wanamjua juzi kati ndio kamalizia story yake. Kwaiyo zabron alisimulia story yake ya maisha na akatoa na kitabu so asikuzie mtu kusimulia eti kisa autauza kitabu waongo, izo pesa sasa ndio utapata kwenye hiki kitabu. NB sija tangaza biashara ya mtu nimetoa ushauri kwa mshkaji maana naweza pokea mapovu kibao kwa watu ambao sio waelewa, ZABRON anafahamika na wengi wana mjua na hii story ya sitosahau GAMBOSHI mpaka boss wa publish jina kapuni ambae anajulikana kwa hadithi nyingi gazetini alitaka kumtapeli ambae saiz ni muheshimiwa mkubwa tu mjiongezee na bila shaka msha elewa ndio ivyo mzee ushauri wangu kwako.
Msamiati Bora kabisa umezaliwa kwenye huu Uzi...
"SHIPA LA KIMKAKATI".
Na mkimlazimisha atawaibuka kwa baby wa kongo na hamuwezi mfanya kituDuh nasikia na huko telegram Napo anapost anapojisikia mwanzo ilikuwa episodes zaidi ya tatu kwa siku ila sasa hivi hata hiyo moja mpk abembelezwe na pesa kachangiwa
Kwaiyo tukusaidieje we guruguja?Wakuu najua haiwahusu ila kisa kule kwenye group kimefikia patamu Sana tuko episode ya 71 saizi full mauza uza malkia anafanya mambo ya ajabu lwanda kashakua doni balaa
NB bila kusahau shipa la kimkakati linapigwa hatari
Samahanini ndugu zangu
Kwaiyo tukusaidieje we guruguja?
kwaiyo tukusaidie niniWakuu najua haiwahusu ila kisa kule kwenye group kimefikia patamu Sana tuko episode ya 71 saizi full mauza uza malkia anafanya mambo ya ajabu lwanda kashakua doni balaa
NB bila kusahau shipa la kimkakati linapigwa hatari
Samahanini ndugu zangu
lipa buku kwanzaNaomba link ya telegram
Daah mkuu pole na hongera kwa ujasiri ulionao wakuelezea yote uliyopitiaHii ndiyo alama ambayo malikia alinitoboa na kuweka irizi iliyokuwa ndogo kama mbegu ya aragwe!View attachment 1656771
unazipataje bila.kuwa na linkTelegram kuna gram tele za simulizi