Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Utajiri wa mganga+kafara ya mama

Ni kama chanda na pete kwanini ndugu mwandishi?
 
Nikisoma historia yako upande mmoja nahisi hutakiwi kupata msamaha kwa watu na kwa MUNGU maana umeumiza watu wasio na hatia, yaani uchukue mkewe na kumuua umuue pamoja na watoto wake.
 
Hivi uko chini ya ziwa Tanganyika ulikuta wazungu wasaka utajiri au waafrica tu? Na huyo malkia ni black au white? cc Lwanda magere
 
MKASA WA PILI -Sehemu ya 38.


Inaendelea.............


Yule binti alipofika nilimwambia dereva aende akanunue mahitaji yote ya ndani maana sasa kutakuwa na mtu ambaye angekuwa anavitumia.Nakumbuka kuna siku alinipigia simu Zainati akaanza kulalamika sana!.

Aliniambia "Sikuhizi umekuwa bize hata hunijulii hali mwenzio".

Nilimwambia "Hapana baby sema kwasababu ya matatizo ya msiba wa mama ndiyo maana nikawa kimya".

Mpaka muda huo mimba yake ilikuwa ikiendelea kuwa kubwa,kwasababu hiyo sikutaka kabisa kumbugudhi maana nilifahamu ningembugudhi halafu ile mimba ikatoka,nisingekuwa na jambo la kujibu mbele ya Malikia.Baada sasa ya mtoto wa shangazi kuhamia pale nyumbani,niliona kama pameanza kuchangamka,maana nilikuwa nikirudi nyumbani kwa kuchelewa nilikuwa nakuta chakula.Basi siku moja nikiwa maeneo ya kirumba nikiwa nimepumzika mahali fulani,kwa mbali nilimuona yule jamaa ambaye wakati nahama geto nilimuachia vitu vyangu vya ndani,nilijaribu kumuita kwa nguvu hakuweza kusikia.Nilimwambia dereva amkimbilie kwa haraka akamuite,ndipo alifanikiwa kuja naye.

Nilimwambia "Aisee mambo vipi?,nimekuona unapita haraka nilijaribu kukuita lakini naona ulikuwa bize ".

Jamaa aliniambia "Kaka siunajua tena pilika pilika za hapa mjini namna zinavyotufanya tunakuwa kama machizi".

Nilimuuliza"Vipi leo hujaenda kazini?".

Alijibu "Yaani hapa unaponiona ndiyo natokea huko ila kuna jamaa yangu nilipta kidogo kumuona maana alikuwa anaumwa".

Aliniuliza"Vipi jamaa mnawasiliana naye?".

Sasa alitaka kufahamu kama yule rafiki yangu ambaye alinipeleka kule Kasulu kama nilikuwa ninawasiliana naye.

Nilimwambia "Hapana,maana toka nimetoka pale geto sijawahi kuongea naye maana kila nikimtafuta hapatikani".

Jamaa aliniambia"Kuna siku nimeongea naye,alinipigia kwa namba mpya,alikuwa akikuulizia sana na haijapita hata wiki toka nimeongea naye,sasa kwakuwa siku na namba yako sikuwa nala kumsaidia".

Nilimwambia "hebu nipe namba yake".

Baada ya kunipa namba ya yule jamaa yangu aliyenipeleka Kasulu,yule jamaa aliniambia inabidi aelekee geto akalale maana alikuwa amechoka sana!.Nilichukua shilingi laki moja nikampatia jamaa nikamwambia itamsaidia!.

Jamaa aliniambia "Daah ahsante sana kaka umenisaidia sana maana huwezi amini ndani sikuwa na kitu kabisa".

Nilimwambia achukue namba yangu kama akiwa na shida yeyote basi awe ananicheki wakati wowote mimi ningemsaidia.Nilimwambia dereva amchukue jamaa ampeleke mpaka geto kwake,kisha angerudi kunichukua hapo aliponiacha tuekekee nyumbani.Baada ya muda kidogo nilimtafuta yule jamaa yangu ambaye alinipeleka Kasulu na bahati nzuri nilimpata hewani.

Jamaa aliniambia"Yaani kaka nimekutafuta sana na samahani niliondoka bila kukuaga maana mambo yaliingiliana".

Nilimwambia "Usijali kaka hayo ni maisha tu,vipi kwani sikuhizi uko wapi?".

Jamaa aliniambia "Kaka nipo kahama,mimi niliona niachane na wale jamaa wa ujenzi nije kutafuta zangu pesa huku kahama".

Jamaa aliendelea kuniuliza "Kaka vipi mambo yako yaliendeleaje?ulifanikiwa kwenda Kongo"

Mpaka muda huo anaongea hakujua kwamba mimi si yule wa zamani bali nilikuwa tajiri.

Nilimwambia "Nilifanikiwa kaka na namshukuru Mungu mambo yameninyookea".

Aliniambia "Hongera sana kaka mimi bado napambana ila naamini nitatoboa tu".

Jamaa alianza kuongea kiunyonge na nikaelewa kwamba mambo yake hayakuwa mazuri!.

Aliendelea kuniambia"Kaka njoo kahama huku kuna fursa nyingi za uwekezaji naamini utapiga hela".

Kamaa aliendelea kuniambia bila kufahamu wakati huo nilikuwa nimezuiliwa kufanya shughuli yeyote ya uwekezaji!.Nilimwambia ningejitahidi ndani ya siku chache kwenda kumcheki huko Kahama.Sasa wakati nikiwa nimeamliza kuongea na jamaa,yule dereva alikuja akiwa kambeba mwanamke mmoja kwenye gari langu,dereva akashuka akaja kuniambia "Samahani bosi wakati narudi nilikutana na huyo mwanamke,ni mke wa bosi wangu wa zamani na aliniomba nimpeleke Nyakato national kuna msiba wa ndugu yake mmoja,hivyo nikaona nije nikwambie kwanza maana kuongelea kwenye simu niliona si vizuri bosi wangu".

Nilimwambia "haina shida wewe mpeleke na ikiwezekana msubiri wakimaliza kuzika mrudishe ulikomtoa".

Wakati huo nilikuwa namuangalia yule mwanamke kwa jicho la wizi,kwakuwa alikuwa amekaa sikuweza kumuona umbo lake vizuri ila kwa muonekano wa haraka haraka alikuwa akifaa kabisa kwa chakula!,alikuwa mzuri sana kwa muonekano wa uso.Basi nilijisemea ngoja kwanza dereva akija nitamdodosa ili ikiwezekana nifanye mambo yangu.Kiukweli mimi wakati huo starehe yangu kubwa ilikuwa ni wanawake wazuri,nilikuwa nataka wanawake wote wazuri niwe nawalala mimi ili kuiridhisha roho yangu!.

Nilikaa hapo kwenye hiyo lounge maana sikuwa na mahali pa kwenda,ilipofika jioni mida ya saa 10 dereva alirejea na nilimwambia tuelekee nyumbani,sikutaka kuwa na haraka ya kumuuliza siku hiyo kuhusu yule mwanamke ilibidi nikaushie kwanza.Asubuhi ya siku iliyofuata niliona niende Kahama kwa yuke jamaa yangu,sikutaka kwenda na dereva wangu wakati huo niliamua kutumia njia ambayo nilikuwa naitumiaga kwenda mikoani,nilijianda kikamilifu na kuna dawa baadhi nilichukua ambazo nilijua zingenisaidia huko endapo jambo lolote lingetokea,nikachukua begi la mgongoni nikaweka milioni 2 nikaondoka zangu,nilimwambia yule mtoto wa shangazi kwamba ningerudi siku iliyokuwa ikifuatia.

Nilielekea Nyegezi kupanda gari za Kahama,kama kawaida sikuweza kulipa nauli na siyo kwamba sikuwa na hela bali ulikuwa ni ujeuri tu kiburi cha zile dawa maana niliona hakuna wakunifanya lolote.Nilimpigia simu jamaa nikamwambia anisubiri maana nilikuwa njiani kuelekea Kahama.Yule jamaa kumbe wakati mimi naongea naye hakuwa Kahama mjini bali alikuwa sehemu moja inaitwa Kakola.Hivyo akaniambia nikifika hapo Kahama nipande gari za Kakola nitamkuta maeneo hayo akinisubiri.Basi nikafanikiwa kufika Kahama muda ulikuwa umeenda maana ilikuwa mida ya saa 8 mchana,nilipofika hapo Kahama mjini niliuliza gari za kwenda Kakola nilielekezwa ndipo niliekea kupanda na safari ikaanza.Nilifika Kakola baada ya masaa 2,wakati huo ilikuwa mida ya saa 11 jioni.Kwakuwa ndiyo ilikuwa mara yangu ya kwanza kufika Kakola kiuweli nilipashangaa sana namna kulivyokuwa na vumbi jekundu sana na hali fulani ya hewa ambayo ilikuwa inapausha sana!.Jamaa alikuja kunichukua na akashangaa sana namna nilivyokuwa nimenawili.

Jamaa aliniambia"kaka umependeza sana ndugu yangu yaelekea una noti si mchezo".

Nilimwambia "nikawaida tu".

Basi alinichukua mpaka alipokuwa anakaa,nilipofika nilimkuta amepanga nyumba yenye chumba na sebule na kulikuwa na mwanamke anapika hapo nje jamaa akanitambulisha "Kaka huyu ndiye shemeji yako".

Alinikaribisha mpaka ndani,ndipo jamaa akaanza kuniambia "Baada ya kutoka kasulu niliona niachane na wale jamaa maana walianza kuzingua".

Ikabidi nimuulize "Kwani wakati tupo kasulu kwa yule mama,wewe ulienda kufata dawa ya nini?mimi nilidhani ulifata utajiri ndugu yangu!".

Aliendelea kuniambia "Hapana kaka mimi nilikuambia toka mwanzo tunakwenda kwamba,nilifata dawa ya kupanda cheo na kinga ili yeyote ambaye angeniletea fyokofyoko pale kazini basi aondoke yeye".

Kilichofanya nimuulize lile swali jamaa ni namna nilivyokuta akiishi maisha ya ufukara,kiukweli nilimuhurumia sana wakati huo.

Nilimuuliza"Kwahiyo hapa Kakola unapiga mishe gani?".

Jamaa akaniambia kuna mgodi upo nje kidogo ya hapo Kakola ndiyo alikuwa anafanya kazi ya uchimbaji kama mchimbaji mdogo mdogo.Kiukweli maisha ya jamaa sikuyapenda na nilipanga nimsaidie,maana nayeye alikuwa amenisaidia kunipeleka Kasulu ambako nilikuwa sipafahamu.Baada ya kumaliza kula nilimwambia akanitafutie hoteli nzuri iliyokuwa na hadhi hapo kakola ili nikapumzike.

Tuliondoka kuelekea lodge,nilimwambia itakapofika asubuhi aje hapo lodge kuna mambo tuyaweke sawa.Nilitaka nimsaidie maana kwa kiasi kikubwa yeye ndiye alifanya mpaka mimi kuwa tajiri,asingekuwa yeye hata huko Kasulu nisingefika.



Itaendelea...........
 
Daah kama namuona huyo mshikaji wako nayeye atakavyo nawili, ama kweli ukifa masikini umejitakia mwenyewe tuu
Anyway hii Dunia ina wenyewe na Heko kuonja maisha ya kitajiri broo
 
MKASA WA PILI - Sehemu ya 39.


Inaendelea.............


Mida ya saa 5 asubuhi yule jamaa alikuja pale lodge,nilimwambia sitokaa sana hapo Kakola kwani ingenipasa nirejee Mwanza mara moja!.Jamaa akawa ananiambia "Kaka kama una hela wekeza migodini utapata pesa nyingi sana na kingine pia fungua hata hoteli hapa Kakola au Kahama utapiga pesa".

Nilimwambia "Haina shida ngoja kwanza nikajipange halafu mambo yakiwa sawa nitakwambia ili tufanye kazi".

Nilimpatia zile pesa zilizokuwa nimebeba kiasi cha milioni 2,nikamwambia azitumie kwa ajili ya matumizi madogo madogo!.

Jamaa aliniambia "Kaka kumbe una hela hivi!,ngoja niweke mambo yangu vizuri halafu nitakuja Mwanza tuongee vizuri!".

Aliendelea kuniambia "Hii pesa nampa mke wangu afanyie biashara maana kuna biashara tuliplani kuifanya ila sema hatukuwa na mtaji".

Nilitaka kumwambia hiyo pesa asiifanyie biashara kwasababu bado nilikuwa sijapewa ruhusa na Malikia kutumia hela zangu kwa matumizi ya uwekezaji,sana sana angeitumia kwenye biashara ilikuwa inakufa yenyewe,niliamua kukaa kimya ili afanye ambacho angeona kinamfaa ili isiwe rahisi yeye kunishitukia kwamba ile hela ilikuwa ya kafara ya damu za watu.Wakati huo sikutaka kabisa kumwambia nilipata mafanikio kwa njia gani,nilipanga nisimwambie chochote,nilitaka yeye afahamu tu kwamba nilikuwa nafanya biashara,japo niliwahi kumwambia adhma yangu ni kuwa Tajiri lakini mpaka wakati huo hakufahamu ule utajiri niliupataje!.Jamaa alifurahi sana baada ya kumpatia ile hela,aliahidi angekuja Mwanza tukae tuzungumze vizuri mambo ya maisha.Nilijianda nikawa nimeondoka zangu kurejea Mwanza.Baada ya kufika Mwanza nilimpigia simu dereva nikamwambia anifuate stendi ili tuelekee Nyegezi ambapo wakati huo alikuwa akikaa dada yangu ili nikawasalimie.

Kwakuwa nilikuwa nina njaa nilisubiri mpaka waivishe chakula nile halafu ndiyo tuondoke.

Dada yangu aliniambia"Mdogo wangu nisaidie basi hata hela ya mafuta maana kesho kuna mahali nataka kuelekea Usagara na shemeji yako hivyo sina hata hela".

Nilikuwaga nikimpenda sana yule dada yangu kwa namna alivyokuwaga mpole,wakati mwingine nilikuwa nikimuonea huruma sana,kwa wakati huo nilifahamu kabisa mimi ndiye nilibaki kuwa kila kitu kwa maana mama yetu hakuwepo,hata mumewe naye hakuwa na uwezo mkubwa bali alikuwa na hela ya kubadili mboga tu!.Basi nilimwambia nikifika nyumbani usiku huo ningempatia dereva ampelekee.Sasa wakati tukiwa njiani tukielekea Igoma,dereva alianza kuniambia kwamba yule mwanamke wa bosi wake wa zamani ambaye alikuja naye siku kadhaa zilizokuwa zimepita pale maeneo ya Kirumba,alikuwa akiomba nimsaidie mkopo wa pesa halafu angenirudishia!.

Dereva aliniambia "Bosi hawa wanawake wewe acha tu!".

Nilimuuliza"Kwanini?".

Aliniambia "Yaani huwezi amini yule mwanamke siku ile tukiwa njiani alianza kunibembeleza kwamba nimuombee mkopo kwako maana unaonekana una pesa sana".

Nilimuuliza"Wewe ulimwambiaje?".

Dereva alinijibu "Mimi ningemwambia nini bosi zaidi ya kumwambia asubiri kwanza niongee na wewe".

Nilimuuliza "Alikwambia anataka bei gani?".

Aliniambia "Kiukweli hakuniambia anataka bei gani!".

Nikamwambia "Basi uje umuulize".

Niliendelea kumuuliza"Lakini si umeniambia kwamba ni mke wa tajiri yako wa zamani,ina maana mumewe hawezi kumpa hiyo pesa anayoitaka?"

Aliniambia "Bosi wewe acha tu,yule mwanamke ni mke wa pili wa huyo bosi wangu wa zamani na wamezaa naye mtoto mmoja tu na jamaa ana hela sana sasa sijajua nini ni tatizo".

Nikamwambia "Ok sawa haina shida wewe utamjulisha kama nilivyokwambia".

Nilifika nyumbani nikiwa nimechoka sana na moja kwa moja nilielekea chumbani kwangu kwa ajili kupumzika,lakini yule binamu,mtoto wa shangazi aliniambia kulikuwa kuna chakula niende nikale.

Nilimwambia"Sidhani kama nitakula maana nimekula kule nyumbani nahisi kushiba".

Basi siku iliyofuata dereva aliingia ndani akawa ananigongea mlango,nilifungua mlango nilipomwona ni dereva nilimwambia anisubiri kidogo.Nilipomaliza kazi niliyokuwa nikiifanya nilitoka kwenda sebuleni kumskiliza.

Dereva aliniambia "Samahani bosi kwa kukusumbua,niliwasiliana na yule mwanamke wa bosi wangu wa zamani alisema anataka aonane na wewe maana pesa anayoitaka si ya kuongelea kwenye simu".

Nilimwambia "Ok sawa wewe muelekeze aje nyumbani mimi nipo tu sitatoka leo".

Haukupita muda nilianza kusikia honi za pikipiki nje ya geti na bila shaka nilijua kutakuwa na mgeni au wageni,mlinzi alifungua geti na muda kidogo nilisikia mlango wa nyumba ukigongwa,nilitoka kwenda kuufungua ndipo nikakutana na sura za wanawake wawili waliokuwa wameongozana na dereva wangu.Niliwakaribisha ndani na kwasababu dereva wangu alikuwa mwenyeji nilimwambia awapeleke sebuleni na awaulize walikuwa wanatumia vinywaji gani,maana vinywaji vya kila aina vilikuwepo kwenye jokofu.Sasa wakati wao wanaelekea sebuleni mimi nilirudi chumbani kuvaa maana wakati huo nilikuwa tu kwenye taulo,nilihakikisha pia nanukia marashi yenye harufu nzuri maana nilitaka niwachanganye wale wanawake.

Niliwaambia "Karibuni sana".

Niliwakaribisha wale wanawake ambao wakati huo walionekana kuchanganyikiwa na ule mjengo,pamoja na maisha ya kifahari niliyokuwa nikiishi.

Waliitikia "Ahsante sana".

Nilimuuliza dereva "Mbona hakuna vinywaji kwa wageni?".

Nilimuuliza dereva ambaye wakati huo nilimpatia majukumu ya muda kwasababu yule mtoto wa shangazi ambaye nilikuwa nikiishi naye alikuwa ameenda shuleni.

Dereva aliniambia "Bosi nimewauliza wanatumia vinywaji gani lakini naona kama wanaona haibu!"

Niliwauliza "Jamani eti mnaona aibu?"

Yule mwanamke wa bosi wa zamani wa dereva wangu alisema "Basi mimi naomba soda yeyote tu iliyopo".

Niliwaambia "kuna soda na Wine,pia kuna vinywaji visivyokuwa na kilevi kama bavaria,kunyweni msinionee aibu!".

Yule rafiki yake waliyeongozana naye yeye akasema "mimi nipe bavaria".

Niliwaambia "Jamani msione humu ndani pako kimya maana binti ninaye kaa naye hapa kaenda shule ndiyo maana mnaona namuagiza dereva kufanya kila kitu,hata hivyo yeye ni mwenyeji hivyo msihofu".

Baada ya muda dereva aliniambia anaondoka kidogo mazingira ya pale nyumbani kuna mahali alikuwa akielekea,nikamwambia asiende mbali sana kwasababu wale wanawake wangetakakuondoka nilitaka awasindikize ili niendelee kujijengea sifa,sikutaka warudi na bodaboda walikotoka maana usafiri wa kifahari ulikuwepo!.

Yule mwanamke wa bosi wake wa zamani na dereva wangu aliniambia "Samahani sana kaka bila shaka wewe ndiye bosi wake na ..........(dereva)".

Nilimjibu "ndiyo".

Aliniambia "Mimi naitwa .......na huyu rafiki yangu anaitwa Scolastica".

Aliendelea kuniambia "Kiukweli kaka mimi nilikuwa naomba utusaidie mkopo wa milioni 5 na utatupa miezi mitatu tutakuwa tumeurudisha".

Niliwauliza "Mimi nina uhakika gani kama kweli mtarudisha?".

Nilijaribu kuwauliza lile swali nikiamini kabisa hata kama wasingerudisha nilikuwa nimeamua tu kuwasaidia maana kama ni pesa nilikuwa nayo ya kutosha wakati huo.Nia yangu ilikuwa ni kumsogeza karibu yule mwanamke wa bosi wake wa zamani dereva wangu ili apagawe kisha baada ya hapo bakora zimtembelee,nisingeweza kuziacha nyama za mwili wake zilizokuwa zimejaa kwa ustadi wakati ndiyo ulikuwa udhaifu wangu.

Aliniambia "Nakuhakikishia nitarudisha maana kabla hujatupa nadhani kutakuwa na mashahidi wa pande zote mbili na mjumbe pia atakuwepo".

Nilifahamu fika kwamba wasingekuwa na uwezo wa kunidhurumu kwa njia yeyote ile ila niliamua kufanya vile kuwatia kiwewe!.Niliingia ndani nikahesabu milioni 5 walizoniomba,kwakuwa zilikuwa mpya hazikuwa nyingi sana,nikaziweka kwenye kimfuko fulani ambacho isingekuwa rahisi kuonekana ili isiwaletee shida.Baada ya kumpatia zile hela alionekana kushangaa sana.

Aliniambia "Ahsante sana kaka Mungu akubariki sana".

Haukupita muda yule mwanamke wa bosi wake wa zamani dereva wangu aliniambia "sisi inapaswa tuondoke maana kuna mahala tunawahi kaka".

Basi muda na siku zilisonga nikiwa kama kawaida naendelea kutoa kafara kila mwisho wa mwezi.Nakumbuka ikiwa imepita miezi mitatu baada ya kumzika mama,yaani mwezi wa 9 ya huo mwaka wa 2014,nilishitushwa usiku wa 6 na sauti ya Malikia iliyokuwa ikiita kule kwenye chumba cha siri.Niliamka na kuelekea huko,nilipoingia ndani nilimsujudia yule Malikia kama kawaida huku uso wangu ukiwa unatazama chini,safari hii alioneka kukaa kwenye kiti lakini kiti alichokalia sikuweza kukiona!.Lilikuwa ni tukio la ajabu sana kuwahi kulishuhudia kipindi hicho.

Malikia aliniambia"Nadhani unakumbuka kwamba nilikwambia kuna mahali nitakutuma".

Nilimjibu"Ndiyo Malikia nakumbuka".

Aliendelea kuniambia "Sasa utatoka hapa kuelekea maeneo utakayoonyeshwa na huko mtakuwa na wenzio,nadhani unaelewa kwamba kila utakayemuona huko au utakacho kiona huko itabaki siri".

Aliendelea kuniambia "Baada ya hiyo kafara lile ombi lako uliloniomba litafanikiwa kwa kiwango kikubwa,hivyo jipe moyo kafanye kazi maana nakupenda kuliko hata wenzio ninavyo wapenda maana umekuwa mtiifu".

Baada ya kimya cha sekunde kadhaa,niliinua macho sikumuona mle ndani tayari alikuwa kesha ondoka!.Nilifunga kile chumba nikaelekea chumbani kwangu kulala,wakati huo nilikuwa nikijiuliza maswali yasiyokuwa na majibu,"Hao wenzangu ni kina nani?".

Kwakuwa nilishazoea kwenda mahali popote nilipokuwa nikiagizwa kwa ajili ya utoaji wa kafara sikuliwazia sana hilo jambo,nililowaza lilikuwa ni hao wenzangu walikuwa akina nani?.


Itaendelea.................
 
MKASA WA PILI - Sehemu ya 39.


Inaendelea.............


Mida ya saa 5 asubuhi yule jamaa alikuja pale lodge,nilimwambia sitokaa sana hapo Kakola kwani ingenipasa nirejee Mwanza mara moja!.Jamaa akawa ananiambia "Kaka kama una hela wekeza migodini utapata pesa nyingi sana na kingine pia fungua hata hoteli hapa Kakola au Kahama utapiga pesa".

Nilimwambia "Haina shida ngoja kwanza nikajipange halafu mambo yakiwa sawa nitakwambia ili tufanye kazi".

Nilimpatia zile pesa zilizokuwa nimebeba kiasi cha milioni 2,nikamwambia azitumie kwa ajili ya matumizi madogo madogo!.

Jamaa aliniambia "Kaka kumbe una hela hivi!,ngoja niweke mambo yangu vizuri halafu nitakuja Mwanza tuongee vizuri!".

Aliendelea kuniambia "Hii pesa nampa mke wangu afanyie biashara maana kuna biashara tuliplani kuifanya ila sema hatukuwa na mtaji".

Nilitaka kumwambia hiyo pesa asiifanyie biashara kwasababu bado nilikuwa sijapewa ruhusa na Malikia kutumia hela zangu kwa matumizi ya uwekezaji,sana sana angeitumia kwenye biashara ilikuwa inakufa yenyewe,niliamua kukaa kimya ili afanye ambacho angeona kinamfaa ili isiwe rahisi yeye kunishitukia kwamba ile hela ilikuwa ya kafara ya damu za watu.Wakati huo sikutaka kabisa kumwambia nilipata mafanikio kwa njia gani,nilipanga nisimwambie chochote,nilitaka yeye afahamu tu kwamba nilikuwa nafanya biashara,japo niliwahi kumwambia adhma yangu ni kuwa Tajiri lakini mpaka wakati huo hakufahamu ule utajiri niliupataje!.Jamaa alifurahi sana baada ya kumpatia ile hela,aliahidi angekuja Mwanza tukae tuzungumze vizuri mambo ya maisha.Nilijianda nikawa nimeondoka zangu kurejea Mwanza.Baada ya kufika Mwanza nilimpigia simu dereva nikamwambia anifuate stendi ili tuelekee Nyegezi ambapo wakati huo alikuwa akikaa dada yangu ili nikawasalimie.

Kwakuwa nilikuwa nina njaa nilisubiri mpaka waivishe chakula nile halafu ndiyo tuondoke.

Dada yangu aliniambia"Mdogo wangu nisaidie basi hata hela ya mafuta maana kesho kuna mahali nataka kuelekea Usagara na shemeji yako hivyo sina hata hela".

Nilikuwaga nikimpenda sana yule dada yangu kwa namna alivyokuwaga mpole,wakati mwingine nilikuwa nikimuonea huruma sana,kwa wakati huo nilifahamu kabisa mimi ndiye nilibaki kuwa kila kitu kwa maana mama yetu hakuwepo,hata mumewe naye hakuwa na uwezo mkubwa bali alikuwa na hela ya kubadili mboga tu!.Basi nilimwambia nikifika nyumbani usiku huo ningempatia dereva ampelekee.Sasa wakati tukiwa njiani tukielekea Igoma,dereva alianza kuniambia kwamba yule mwanamke wa bosi wake wa zamani ambaye alikuja naye siku kadhaa zilizokuwa zimepita pale maeneo ya Kirumba,alikuwa akiomba nimsaidie mkopo wa pesa halafu angenirudishia!.

Dereva aliniambia "Bosi hawa wanawake wewe acha tu!".

Nilimuuliza"Kwanini?".

Aliniambia "Yaani huwezi amini yule mwanamke siku ile tukiwa njiani alianza kunibembeleza kwamba nimuombee mkopo kwako maana unaonekana una pesa sana".

Nilimuuliza"Wewe ulimwambiaje?".

Dereva alinijibu "Mimi ningemwambia nini bosi zaidi ya kumwambia asubiri kwanza niongee na wewe".

Nilimuuliza "Alikwambia anataka bei gani?".

Aliniambia "Kiukweli hakuniambia anataka bei gani!".

Nikamwambia "Basi uje umuulize".

Niliendelea kumuuliza"Lakini si umeniambia kwamba ni mke wa tajiri yako wa zamani,ina maana mumewe hawezi kumpa hiyo pesa anayoitaka?"

Aliniambia "Bosi wewe acha tu,yule mwanamke ni mke wa pili wa huyo bosi wangu wa zamani na wamezaa naye mtoto mmoja tu na jamaa ana hela sana sasa sijajua nini ni tatizo".

Nikamwambia "Ok sawa haina shida wewe utamjulisha kama nilivyokwambia".

Nilifika nyumbani nikiwa nimechoka sana na moja kwa moja nilielekea chumbani kwangu kwa ajili kupumzika,lakini yule binamu,mtoto wa shangazi aliniambia kulikuwa kuna chakula niende nikale.

Nilimwambia"Sidhani kama nitakula maana nimekula kule nyumbani nahisi kushiba".

Basi siku iliyofuata dereva aliingia ndani akawa ananigongea mlango,nilifungua mlango nilipomwona ni dereva nilimwambia anisubiri kidogo.Nilipomaliza kazi niliyokuwa nikiifanya nilitoka kwenda sebuleni kumskiliza.

Dereva aliniambia "Samahani bosi kwa kukusumbua,niliwasiliana na yule mwanamke wa bosi wangu wa zamani alisema anataka aonane na wewe maana pesa anayoitaka si ya kuongelea kwenye simu".

Nilimwambia "Ok sawa wewe muelekeze aje nyumbani mimi nipo tu sitatoka leo".

Haukupita muda nilianza kusikia honi za pikipiki nje ya geti na bila shaka nilijua kutakuwa na mgeni au wageni,mlinzi alifungua geti na muda kidogo nilisikia mlango wa nyumba ukigongwa,nilitoka kwenda kuufungua ndipo nikakutana na sura za wanawake wawili waliokuwa wameongozana na dereva wangu.Niliwakaribisha ndani na kwasababu dereva wangu alikuwa mwenyeji nilimwambia awapeleke sebuleni na awaulize walikuwa wanatumia vinywaji gani,maana vinywaji vya kila aina vilikuwepo kwenye jokofu.Sasa wakati wao wanaelekea sebuleni mimi nilirudi chumbani kuvaa maana wakati huo nilikuwa tu kwenye taulo,nilihakikisha pia nanukia marashi yenye harufu nzuri maana nilitaka niwachanganye wale wanawake.

Niliwaambia "Karibuni sana".

Niliwakaribisha wale wanawake ambao wakati huo walionekana kuchanganyikiwa na ule mjengo,pamoja na maisha ya kifahari niliyokuwa nikiishi.

Waliitikia "Ahsante sana".

Nilimuuliza dereva "Mbona hakuna vinywaji kwa wageni?".

Nilimuuliza dereva ambaye wakati huo nilimpatia majukumu ya muda kwasababu yule mtoto wa shangazi ambaye nilikuwa nikiishi naye alikuwa ameenda shuleni.

Dereva aliniambia "Bosi nimewauliza wanatumia vinywaji gani lakini naona kama wanaona haibu!"

Niliwauliza "Jamani eti mnaona aibu?"

Yule mwanamke wa bosi wa zamani wa dereva wangu alisema "Basi mimi naomba soda yeyote tu iliyopo".

Niliwaambia "kuna soda na Wine,pia kuna vinywaji visivyokuwa na kilevi kama bavaria,kunyweni msinionee aibu!".

Yule rafiki yake waliyeongozana naye yeye akasema "mimi nipe bavaria".

Niliwaambia "Jamani msione humu ndani pako kimya maana binti ninaye kaa naye hapa kaenda shule ndiyo maana mnaona namuagiza dereva kufanya kila kitu,hata hivyo yeye ni mwenyeji hivyo msihofu".

Baada ya muda dereva aliniambia anaondoka kidogo mazingira ya pale nyumbani kuna mahali alikuwa akielekea,nikamwambia asiende mbali sana kwasababu wale wanawake wangetakakuondoka nilitaka awasindikize ili niendelee kujijengea sifa,sikutaka warudi na bodaboda walikotoka maana usafiri wa kifahari ulikuwepo!.

Yule mwanamke wa bosi wake wa zamani na dereva wangu aliniambia "Samahani sana kaka bila shaka wewe ndiye bosi wake na ..........(dereva)".

Nilimjibu "ndiyo".

Aliniambia "Mimi naitwa .......na huyu rafiki yangu anaitwa Scolastica".

Aliendelea kuniambia "Kiukweli kaka mimi nilikuwa naomba utusaidie mkopo wa milioni 5 na utatupa miezi mitatu tutakuwa tumeurudisha".

Niliwauliza "Mimi nina uhakika gani kama kweli mtarudisha?".

Nilijaribu kuwauliza lile swali nikiamini kabisa hata kama wasingerudisha nilikuwa nimeamua tu kuwasaidia maana kama ni pesa nilikuwa nayo ya kutosha wakati huo.Nia yangu ilikuwa ni kumsogeza karibu yule mwanamke wa bosi wake wa zamani dereva wangu ili apagawe kisha baada ya hapo bakora zimtembelee,nisingeweza kuziacha nyama za mwili wake zilizokuwa zimejaa kwa ustadi wakati ndiyo ulikuwa udhaifu wangu.

Aliniambia "Nakuhakikishia nitarudisha maana kabla hujatupa nadhani kutakuwa na mashahidi wa pande zote mbili na mjumbe pia atakuwepo".

Nilifahamu fika kwamba wasingekuwa na uwezo wa kunidhurumu kwa njia yeyote ile ila niliamua kufanya vile kuwatia kiwewe!.Niliingia ndani nikahesabu milioni 5 walizoniomba,kwakuwa zilikuwa mpya hazikuwa nyingi sana,nikaziweka kwenye kimfuko fulani ambacho isingekuwa rahisi kuonekana ili isiwaletee shida.Baada ya kumpatia zile hela alionekana kushangaa sana.

Aliniambia "Ahsante sana kaka Mungu akubariki sana".

Haukupita muda yule mwanamke wa bosi wake wa zamani dereva wangu aliniambia "sisi inapaswa tuondoke maana kuna mahala tunawahi kaka".

Basi muda na siku zilisonga nikiwa kama kawaida naendelea kutoa kafara kila mwisho wa mwezi.Nakumbuka ikiwa imepita miezi mitatu baada ya kumzika mama,yaani mwezi wa 9 ya huo mwaka wa 2014,nilishitushwa usiku wa 6 na sauti ya Malikia iliyokuwa ikiita kule kwenye chumba cha siri.Niliamka na kuelekea huko,nilipoingia ndani nilimsujudia yule Malikia kama kawaida huku uso wangu ukiwa unatazama chini,safari hii alioneka kukaa kwenye kiti lakini kiti alichokalia sikuweza kukiona!.Lilikuwa ni tukio la ajabu sana kuwahi kulishuhudia kipindi hicho.

Malikia aliniambia"Nadhani unakumbuka kwamba nilikwambia kuna mahali nitakutuma".

Nilimjibu"Ndiyo Malikia nakumbuka".

Aliendelea kuniambia "Sasa utatoka hapa kuelekea maeneo utakayoonyeshwa na huko mtakuwa na wenzio,nadhani unaelewa kwamba kila utakayemuona huko au utakacho kiona huko itabaki siri".

Aliendelea kuniambia "Baada ya hiyo kafara lile ombi lako uliloniomba litafanikiwa kwa kiwango kikubwa,hivyo jipe moyo kafanye kazi maana nakupenda kuliko hata wenzio ninavyo wapenda maana umekuwa mtiifu".

Baada ya kimya cha sekunde kadhaa,niliinua macho sikumuona mle ndani tayari alikuwa kesha ondoka!.Nilifunga kile chumba nikaelekea chumbani kwangu kulala,wakati huo nilikuwa nikijiuliza maswali yasiyokuwa na majibu,"Hao wenzangu ni kina nani?".

Kwakuwa nilishazoea kwenda mahali popote nilipokuwa nikiagizwa kwa ajili ya utoaji wa kafara sikuliwazia sana hilo jambo,nililowaza lilikuwa ni hao wenzangu walikuwa akina nani?.


Itaendelea.................
story inogile
 
MKASA WA PILI - Sehemu ya 39.


Inaendelea.............


Mida ya saa 5 asubuhi yule jamaa alikuja pale lodge,nilimwambia sitokaa sana hapo Kakola kwani ingenipasa nirejee Mwanza mara moja!.Jamaa akawa ananiambia "Kaka kama una hela wekeza migodini utapata pesa nyingi sana na kingine pia fungua hata hoteli hapa Kakola au Kahama utapiga pesa".

Nilimwambia "Haina shida ngoja kwanza nikajipange halafu mambo yakiwa sawa nitakwambia ili tufanye kazi".

Nilimpatia zile pesa zilizokuwa nimebeba kiasi cha milioni 2,nikamwambia azitumie kwa ajili ya matumizi madogo madogo!.

Jamaa aliniambia "Kaka kumbe una hela hivi!,ngoja niweke mambo yangu vizuri halafu nitakuja Mwanza tuongee vizuri!".

Aliendelea kuniambia "Hii pesa nampa mke wangu afanyie biashara maana kuna biashara tuliplani kuifanya ila sema hatukuwa na mtaji".

Nilitaka kumwambia hiyo pesa asiifanyie biashara kwasababu bado nilikuwa sijapewa ruhusa na Malikia kutumia hela zangu kwa matumizi ya uwekezaji,sana sana angeitumia kwenye biashara ilikuwa inakufa yenyewe,niliamua kukaa kimya ili afanye ambacho angeona kinamfaa ili isiwe rahisi yeye kunishitukia kwamba ile hela ilikuwa ya kafara ya damu za watu.Wakati huo sikutaka kabisa kumwambia nilipata mafanikio kwa njia gani,nilipanga nisimwambie chochote,nilitaka yeye afahamu tu kwamba nilikuwa nafanya biashara,japo niliwahi kumwambia adhma yangu ni kuwa Tajiri lakini mpaka wakati huo hakufahamu ule utajiri niliupataje!.Jamaa alifurahi sana baada ya kumpatia ile hela,aliahidi angekuja Mwanza tukae tuzungumze vizuri mambo ya maisha.Nilijianda nikawa nimeondoka zangu kurejea Mwanza.Baada ya kufika Mwanza nilimpigia simu dereva nikamwambia anifuate stendi ili tuelekee Nyegezi ambapo wakati huo alikuwa akikaa dada yangu ili nikawasalimie.

Kwakuwa nilikuwa nina njaa nilisubiri mpaka waivishe chakula nile halafu ndiyo tuondoke.

Dada yangu aliniambia"Mdogo wangu nisaidie basi hata hela ya mafuta maana kesho kuna mahali nataka kuelekea Usagara na shemeji yako hivyo sina hata hela".

Nilikuwaga nikimpenda sana yule dada yangu kwa namna alivyokuwaga mpole,wakati mwingine nilikuwa nikimuonea huruma sana,kwa wakati huo nilifahamu kabisa mimi ndiye nilibaki kuwa kila kitu kwa maana mama yetu hakuwepo,hata mumewe naye hakuwa na uwezo mkubwa bali alikuwa na hela ya kubadili mboga tu!.Basi nilimwambia nikifika nyumbani usiku huo ningempatia dereva ampelekee.Sasa wakati tukiwa njiani tukielekea Igoma,dereva alianza kuniambia kwamba yule mwanamke wa bosi wake wa zamani ambaye alikuja naye siku kadhaa zilizokuwa zimepita pale maeneo ya Kirumba,alikuwa akiomba nimsaidie mkopo wa pesa halafu angenirudishia!.

Dereva aliniambia "Bosi hawa wanawake wewe acha tu!".

Nilimuuliza"Kwanini?".

Aliniambia "Yaani huwezi amini yule mwanamke siku ile tukiwa njiani alianza kunibembeleza kwamba nimuombee mkopo kwako maana unaonekana una pesa sana".

Nilimuuliza"Wewe ulimwambiaje?".

Dereva alinijibu "Mimi ningemwambia nini bosi zaidi ya kumwambia asubiri kwanza niongee na wewe".

Nilimuuliza "Alikwambia anataka bei gani?".

Aliniambia "Kiukweli hakuniambia anataka bei gani!".

Nikamwambia "Basi uje umuulize".

Niliendelea kumuuliza"Lakini si umeniambia kwamba ni mke wa tajiri yako wa zamani,ina maana mumewe hawezi kumpa hiyo pesa anayoitaka?"

Aliniambia "Bosi wewe acha tu,yule mwanamke ni mke wa pili wa huyo bosi wangu wa zamani na wamezaa naye mtoto mmoja tu na jamaa ana hela sana sasa sijajua nini ni tatizo".

Nikamwambia "Ok sawa haina shida wewe utamjulisha kama nilivyokwambia".

Nilifika nyumbani nikiwa nimechoka sana na moja kwa moja nilielekea chumbani kwangu kwa ajili kupumzika,lakini yule binamu,mtoto wa shangazi aliniambia kulikuwa kuna chakula niende nikale.

Nilimwambia"Sidhani kama nitakula maana nimekula kule nyumbani nahisi kushiba".

Basi siku iliyofuata dereva aliingia ndani akawa ananigongea mlango,nilifungua mlango nilipomwona ni dereva nilimwambia anisubiri kidogo.Nilipomaliza kazi niliyokuwa nikiifanya nilitoka kwenda sebuleni kumskiliza.

Dereva aliniambia "Samahani bosi kwa kukusumbua,niliwasiliana na yule mwanamke wa bosi wangu wa zamani alisema anataka aonane na wewe maana pesa anayoitaka si ya kuongelea kwenye simu".

Nilimwambia "Ok sawa wewe muelekeze aje nyumbani mimi nipo tu sitatoka leo".

Haukupita muda nilianza kusikia honi za pikipiki nje ya geti na bila shaka nilijua kutakuwa na mgeni au wageni,mlinzi alifungua geti na muda kidogo nilisikia mlango wa nyumba ukigongwa,nilitoka kwenda kuufungua ndipo nikakutana na sura za wanawake wawili waliokuwa wameongozana na dereva wangu.Niliwakaribisha ndani na kwasababu dereva wangu alikuwa mwenyeji nilimwambia awapeleke sebuleni na awaulize walikuwa wanatumia vinywaji gani,maana vinywaji vya kila aina vilikuwepo kwenye jokofu.Sasa wakati wao wanaelekea sebuleni mimi nilirudi chumbani kuvaa maana wakati huo nilikuwa tu kwenye taulo,nilihakikisha pia nanukia marashi yenye harufu nzuri maana nilitaka niwachanganye wale wanawake.

Niliwaambia "Karibuni sana".

Niliwakaribisha wale wanawake ambao wakati huo walionekana kuchanganyikiwa na ule mjengo,pamoja na maisha ya kifahari niliyokuwa nikiishi.

Waliitikia "Ahsante sana".

Nilimuuliza dereva "Mbona hakuna vinywaji kwa wageni?".

Nilimuuliza dereva ambaye wakati huo nilimpatia majukumu ya muda kwasababu yule mtoto wa shangazi ambaye nilikuwa nikiishi naye alikuwa ameenda shuleni.

Dereva aliniambia "Bosi nimewauliza wanatumia vinywaji gani lakini naona kama wanaona haibu!"

Niliwauliza "Jamani eti mnaona aibu?"

Yule mwanamke wa bosi wa zamani wa dereva wangu alisema "Basi mimi naomba soda yeyote tu iliyopo".

Niliwaambia "kuna soda na Wine,pia kuna vinywaji visivyokuwa na kilevi kama bavaria,kunyweni msinionee aibu!".

Yule rafiki yake waliyeongozana naye yeye akasema "mimi nipe bavaria".

Niliwaambia "Jamani msione humu ndani pako kimya maana binti ninaye kaa naye hapa kaenda shule ndiyo maana mnaona namuagiza dereva kufanya kila kitu,hata hivyo yeye ni mwenyeji hivyo msihofu".

Baada ya muda dereva aliniambia anaondoka kidogo mazingira ya pale nyumbani kuna mahali alikuwa akielekea,nikamwambia asiende mbali sana kwasababu wale wanawake wangetakakuondoka nilitaka awasindikize ili niendelee kujijengea sifa,sikutaka warudi na bodaboda walikotoka maana usafiri wa kifahari ulikuwepo!.

Yule mwanamke wa bosi wake wa zamani na dereva wangu aliniambia "Samahani sana kaka bila shaka wewe ndiye bosi wake na ..........(dereva)".

Nilimjibu "ndiyo".

Aliniambia "Mimi naitwa .......na huyu rafiki yangu anaitwa Scolastica".

Aliendelea kuniambia "Kiukweli kaka mimi nilikuwa naomba utusaidie mkopo wa milioni 5 na utatupa miezi mitatu tutakuwa tumeurudisha".

Niliwauliza "Mimi nina uhakika gani kama kweli mtarudisha?".

Nilijaribu kuwauliza lile swali nikiamini kabisa hata kama wasingerudisha nilikuwa nimeamua tu kuwasaidia maana kama ni pesa nilikuwa nayo ya kutosha wakati huo.Nia yangu ilikuwa ni kumsogeza karibu yule mwanamke wa bosi wake wa zamani dereva wangu ili apagawe kisha baada ya hapo bakora zimtembelee,nisingeweza kuziacha nyama za mwili wake zilizokuwa zimejaa kwa ustadi wakati ndiyo ulikuwa udhaifu wangu.

Aliniambia "Nakuhakikishia nitarudisha maana kabla hujatupa nadhani kutakuwa na mashahidi wa pande zote mbili na mjumbe pia atakuwepo".

Nilifahamu fika kwamba wasingekuwa na uwezo wa kunidhurumu kwa njia yeyote ile ila niliamua kufanya vile kuwatia kiwewe!.Niliingia ndani nikahesabu milioni 5 walizoniomba,kwakuwa zilikuwa mpya hazikuwa nyingi sana,nikaziweka kwenye kimfuko fulani ambacho isingekuwa rahisi kuonekana ili isiwaletee shida.Baada ya kumpatia zile hela alionekana kushangaa sana.

Aliniambia "Ahsante sana kaka Mungu akubariki sana".

Haukupita muda yule mwanamke wa bosi wake wa zamani dereva wangu aliniambia "sisi inapaswa tuondoke maana kuna mahala tunawahi kaka".

Basi muda na siku zilisonga nikiwa kama kawaida naendelea kutoa kafara kila mwisho wa mwezi.Nakumbuka ikiwa imepita miezi mitatu baada ya kumzika mama,yaani mwezi wa 9 ya huo mwaka wa 2014,nilishitushwa usiku wa 6 na sauti ya Malikia iliyokuwa ikiita kule kwenye chumba cha siri.Niliamka na kuelekea huko,nilipoingia ndani nilimsujudia yule Malikia kama kawaida huku uso wangu ukiwa unatazama chini,safari hii alioneka kukaa kwenye kiti lakini kiti alichokalia sikuweza kukiona!.Lilikuwa ni tukio la ajabu sana kuwahi kulishuhudia kipindi hicho.

Malikia aliniambia"Nadhani unakumbuka kwamba nilikwambia kuna mahali nitakutuma".

Nilimjibu"Ndiyo Malikia nakumbuka".

Aliendelea kuniambia "Sasa utatoka hapa kuelekea maeneo utakayoonyeshwa na huko mtakuwa na wenzio,nadhani unaelewa kwamba kila utakayemuona huko au utakacho kiona huko itabaki siri".

Aliendelea kuniambia "Baada ya hiyo kafara lile ombi lako uliloniomba litafanikiwa kwa kiwango kikubwa,hivyo jipe moyo kafanye kazi maana nakupenda kuliko hata wenzio ninavyo wapenda maana umekuwa mtiifu".

Baada ya kimya cha sekunde kadhaa,niliinua macho sikumuona mle ndani tayari alikuwa kesha ondoka!.Nilifunga kile chumba nikaelekea chumbani kwangu kulala,wakati huo nilikuwa nikijiuliza maswali yasiyokuwa na majibu,"Hao wenzangu ni kina nani?".

Kwakuwa nilishazoea kwenda mahali popote nilipokuwa nikiagizwa kwa ajili ya utoaji wa kafara sikuliwazia sana hilo jambo,nililowaza lilikuwa ni hao wenzangu walikuwa akina nani?.


Itaendelea.................

Tuendelee mkuu shusha vitu usitubanie
 
MKASA WA PILI - Sehemu ya 39.


Inaendelea.............


Mida ya saa 5 asubuhi yule jamaa alikuja pale lodge,nilimwambia sitokaa sana hapo Kakola kwani ingenipasa nirejee Mwanza mara moja!.Jamaa akawa ananiambia "Kaka kama una hela wekeza migodini utapata pesa nyingi sana na kingine pia fungua hata hoteli hapa Kakola au Kahama utapiga pesa".

Nilimwambia "Haina shida ngoja kwanza nikajipange halafu mambo yakiwa sawa nitakwambia ili tufanye kazi".

Nilimpatia zile pesa zilizokuwa nimebeba kiasi cha milioni 2,nikamwambia azitumie kwa ajili ya matumizi madogo madogo!.

Jamaa aliniambia "Kaka kumbe una hela hivi!,ngoja niweke mambo yangu vizuri halafu nitakuja Mwanza tuongee vizuri!".

Aliendelea kuniambia "Hii pesa nampa mke wangu afanyie biashara maana kuna biashara tuliplani kuifanya ila sema hatukuwa na mtaji".

Nilitaka kumwambia hiyo pesa asiifanyie biashara kwasababu bado nilikuwa sijapewa ruhusa na Malikia kutumia hela zangu kwa matumizi ya uwekezaji,sana sana angeitumia kwenye biashara ilikuwa inakufa yenyewe,niliamua kukaa kimya ili afanye ambacho angeona kinamfaa ili isiwe rahisi yeye kunishitukia kwamba ile hela ilikuwa ya kafara ya damu za watu.Wakati huo sikutaka kabisa kumwambia nilipata mafanikio kwa njia gani,nilipanga nisimwambie chochote,nilitaka yeye afahamu tu kwamba nilikuwa nafanya biashara,japo niliwahi kumwambia adhma yangu ni kuwa Tajiri lakini mpaka wakati huo hakufahamu ule utajiri niliupataje!.Jamaa alifurahi sana baada ya kumpatia ile hela,aliahidi angekuja Mwanza tukae tuzungumze vizuri mambo ya maisha.Nilijianda nikawa nimeondoka zangu kurejea Mwanza.Baada ya kufika Mwanza nilimpigia simu dereva nikamwambia anifuate stendi ili tuelekee Nyegezi ambapo wakati huo alikuwa akikaa dada yangu ili nikawasalimie.

Kwakuwa nilikuwa nina njaa nilisubiri mpaka waivishe chakula nile halafu ndiyo tuondoke.

Dada yangu aliniambia"Mdogo wangu nisaidie basi hata hela ya mafuta maana kesho kuna mahali nataka kuelekea Usagara na shemeji yako hivyo sina hata hela".

Nilikuwaga nikimpenda sana yule dada yangu kwa namna alivyokuwaga mpole,wakati mwingine nilikuwa nikimuonea huruma sana,kwa wakati huo nilifahamu kabisa mimi ndiye nilibaki kuwa kila kitu kwa maana mama yetu hakuwepo,hata mumewe naye hakuwa na uwezo mkubwa bali alikuwa na hela ya kubadili mboga tu!.Basi nilimwambia nikifika nyumbani usiku huo ningempatia dereva ampelekee.Sasa wakati tukiwa njiani tukielekea Igoma,dereva alianza kuniambia kwamba yule mwanamke wa bosi wake wa zamani ambaye alikuja naye siku kadhaa zilizokuwa zimepita pale maeneo ya Kirumba,alikuwa akiomba nimsaidie mkopo wa pesa halafu angenirudishia!.

Dereva aliniambia "Bosi hawa wanawake wewe acha tu!".

Nilimuuliza"Kwanini?".

Aliniambia "Yaani huwezi amini yule mwanamke siku ile tukiwa njiani alianza kunibembeleza kwamba nimuombee mkopo kwako maana unaonekana una pesa sana".

Nilimuuliza"Wewe ulimwambiaje?".

Dereva alinijibu "Mimi ningemwambia nini bosi zaidi ya kumwambia asubiri kwanza niongee na wewe".

Nilimuuliza "Alikwambia anataka bei gani?".

Aliniambia "Kiukweli hakuniambia anataka bei gani!".

Nikamwambia "Basi uje umuulize".

Niliendelea kumuuliza"Lakini si umeniambia kwamba ni mke wa tajiri yako wa zamani,ina maana mumewe hawezi kumpa hiyo pesa anayoitaka?"

Aliniambia "Bosi wewe acha tu,yule mwanamke ni mke wa pili wa huyo bosi wangu wa zamani na wamezaa naye mtoto mmoja tu na jamaa ana hela sana sasa sijajua nini ni tatizo".

Nikamwambia "Ok sawa haina shida wewe utamjulisha kama nilivyokwambia".

Nilifika nyumbani nikiwa nimechoka sana na moja kwa moja nilielekea chumbani kwangu kwa ajili kupumzika,lakini yule binamu,mtoto wa shangazi aliniambia kulikuwa kuna chakula niende nikale.

Nilimwambia"Sidhani kama nitakula maana nimekula kule nyumbani nahisi kushiba".

Basi siku iliyofuata dereva aliingia ndani akawa ananigongea mlango,nilifungua mlango nilipomwona ni dereva nilimwambia anisubiri kidogo.Nilipomaliza kazi niliyokuwa nikiifanya nilitoka kwenda sebuleni kumskiliza.

Dereva aliniambia "Samahani bosi kwa kukusumbua,niliwasiliana na yule mwanamke wa bosi wangu wa zamani alisema anataka aonane na wewe maana pesa anayoitaka si ya kuongelea kwenye simu".

Nilimwambia "Ok sawa wewe muelekeze aje nyumbani mimi nipo tu sitatoka leo".

Haukupita muda nilianza kusikia honi za pikipiki nje ya geti na bila shaka nilijua kutakuwa na mgeni au wageni,mlinzi alifungua geti na muda kidogo nilisikia mlango wa nyumba ukigongwa,nilitoka kwenda kuufungua ndipo nikakutana na sura za wanawake wawili waliokuwa wameongozana na dereva wangu.Niliwakaribisha ndani na kwasababu dereva wangu alikuwa mwenyeji nilimwambia awapeleke sebuleni na awaulize walikuwa wanatumia vinywaji gani,maana vinywaji vya kila aina vilikuwepo kwenye jokofu.Sasa wakati wao wanaelekea sebuleni mimi nilirudi chumbani kuvaa maana wakati huo nilikuwa tu kwenye taulo,nilihakikisha pia nanukia marashi yenye harufu nzuri maana nilitaka niwachanganye wale wanawake.

Niliwaambia "Karibuni sana".

Niliwakaribisha wale wanawake ambao wakati huo walionekana kuchanganyikiwa na ule mjengo,pamoja na maisha ya kifahari niliyokuwa nikiishi.

Waliitikia "Ahsante sana".

Nilimuuliza dereva "Mbona hakuna vinywaji kwa wageni?".

Nilimuuliza dereva ambaye wakati huo nilimpatia majukumu ya muda kwasababu yule mtoto wa shangazi ambaye nilikuwa nikiishi naye alikuwa ameenda shuleni.

Dereva aliniambia "Bosi nimewauliza wanatumia vinywaji gani lakini naona kama wanaona haibu!"

Niliwauliza "Jamani eti mnaona aibu?"

Yule mwanamke wa bosi wa zamani wa dereva wangu alisema "Basi mimi naomba soda yeyote tu iliyopo".

Niliwaambia "kuna soda na Wine,pia kuna vinywaji visivyokuwa na kilevi kama bavaria,kunyweni msinionee aibu!".

Yule rafiki yake waliyeongozana naye yeye akasema "mimi nipe bavaria".

Niliwaambia "Jamani msione humu ndani pako kimya maana binti ninaye kaa naye hapa kaenda shule ndiyo maana mnaona namuagiza dereva kufanya kila kitu,hata hivyo yeye ni mwenyeji hivyo msihofu".

Baada ya muda dereva aliniambia anaondoka kidogo mazingira ya pale nyumbani kuna mahali alikuwa akielekea,nikamwambia asiende mbali sana kwasababu wale wanawake wangetakakuondoka nilitaka awasindikize ili niendelee kujijengea sifa,sikutaka warudi na bodaboda walikotoka maana usafiri wa kifahari ulikuwepo!.

Yule mwanamke wa bosi wake wa zamani na dereva wangu aliniambia "Samahani sana kaka bila shaka wewe ndiye bosi wake na ..........(dereva)".

Nilimjibu "ndiyo".

Aliniambia "Mimi naitwa .......na huyu rafiki yangu anaitwa Scolastica".

Aliendelea kuniambia "Kiukweli kaka mimi nilikuwa naomba utusaidie mkopo wa milioni 5 na utatupa miezi mitatu tutakuwa tumeurudisha".

Niliwauliza "Mimi nina uhakika gani kama kweli mtarudisha?".

Nilijaribu kuwauliza lile swali nikiamini kabisa hata kama wasingerudisha nilikuwa nimeamua tu kuwasaidia maana kama ni pesa nilikuwa nayo ya kutosha wakati huo.Nia yangu ilikuwa ni kumsogeza karibu yule mwanamke wa bosi wake wa zamani dereva wangu ili apagawe kisha baada ya hapo bakora zimtembelee,nisingeweza kuziacha nyama za mwili wake zilizokuwa zimejaa kwa ustadi wakati ndiyo ulikuwa udhaifu wangu.

Aliniambia "Nakuhakikishia nitarudisha maana kabla hujatupa nadhani kutakuwa na mashahidi wa pande zote mbili na mjumbe pia atakuwepo".

Nilifahamu fika kwamba wasingekuwa na uwezo wa kunidhurumu kwa njia yeyote ile ila niliamua kufanya vile kuwatia kiwewe!.Niliingia ndani nikahesabu milioni 5 walizoniomba,kwakuwa zilikuwa mpya hazikuwa nyingi sana,nikaziweka kwenye kimfuko fulani ambacho isingekuwa rahisi kuonekana ili isiwaletee shida.Baada ya kumpatia zile hela alionekana kushangaa sana.

Aliniambia "Ahsante sana kaka Mungu akubariki sana".

Haukupita muda yule mwanamke wa bosi wake wa zamani dereva wangu aliniambia "sisi inapaswa tuondoke maana kuna mahala tunawahi kaka".

Basi muda na siku zilisonga nikiwa kama kawaida naendelea kutoa kafara kila mwisho wa mwezi.Nakumbuka ikiwa imepita miezi mitatu baada ya kumzika mama,yaani mwezi wa 9 ya huo mwaka wa 2014,nilishitushwa usiku wa 6 na sauti ya Malikia iliyokuwa ikiita kule kwenye chumba cha siri.Niliamka na kuelekea huko,nilipoingia ndani nilimsujudia yule Malikia kama kawaida huku uso wangu ukiwa unatazama chini,safari hii alioneka kukaa kwenye kiti lakini kiti alichokalia sikuweza kukiona!.Lilikuwa ni tukio la ajabu sana kuwahi kulishuhudia kipindi hicho.

Malikia aliniambia"Nadhani unakumbuka kwamba nilikwambia kuna mahali nitakutuma".

Nilimjibu"Ndiyo Malikia nakumbuka".

Aliendelea kuniambia "Sasa utatoka hapa kuelekea maeneo utakayoonyeshwa na huko mtakuwa na wenzio,nadhani unaelewa kwamba kila utakayemuona huko au utakacho kiona huko itabaki siri".

Aliendelea kuniambia "Baada ya hiyo kafara lile ombi lako uliloniomba litafanikiwa kwa kiwango kikubwa,hivyo jipe moyo kafanye kazi maana nakupenda kuliko hata wenzio ninavyo wapenda maana umekuwa mtiifu".

Baada ya kimya cha sekunde kadhaa,niliinua macho sikumuona mle ndani tayari alikuwa kesha ondoka!.Nilifunga kile chumba nikaelekea chumbani kwangu kulala,wakati huo nilikuwa nikijiuliza maswali yasiyokuwa na majibu,"Hao wenzangu ni kina nani?".

Kwakuwa nilishazoea kwenda mahali popote nilipokuwa nikiagizwa kwa ajili ya utoaji wa kafara sikuliwazia sana hilo jambo,nililowaza lilikuwa ni hao wenzangu walikuwa akina nani?.


Itaendelea.................
Ungekuwa unatoa 5 episode per day
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom