Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

MKASA WA PILI - Sehemu ya 35



Inaendelea.............




Alipomaliza kuandaa chakula tulianza kula huku tukipiga stori za hapa na pale.

Alianza kuniambia "Najuta sana kwanini sikukufahamu mapema shemu".

Nilimuuliza "kwanini shemu?"

Aliendelea kuniambia " Kama ningekufahamu mapema huyo mwanaume nisingezaa naye maana nimetokea kukupenda wewe shemu,naomba kuanzia leo jina la shemu life nataka uniite mke wako".

Mimi nilijua fika ni ile dawa ndiyo inafanya kazi,sikuwa na hiyana nikaanza kumuita mke wangu kuanzia siku hiyo.Sikujuta kamwe kufanya maamuzi ya kumpata yule shemeji maana niliona ulikuwa ni muda muafaka mimi kuwa naye,japo sikutaka kabisa ndugu zangu waelewe chochote.Baada ya bakora za kim-kakati usiku kucha,nilipitiwa na usingizi,alinishitua tena usiku na nilipoangalia simu ilikuwa mida ya saa 10 usiku!.

Alianza kujisemesha "Mwenzio usingizi umekata".

Nikamuuliza "kwanini mke wangu?".

Akaniambia "Nipe tena kidogo".

Sasa kwasababu ile dawa niliyopewa na mzee nchibaronda ilikuwa na nguvu za ajabu,sikwenda kuinywa tena,bali nilianzia pale nilipoishia!.Nilimshughulikia mpaka mida ya saa 12 asubuhi,ndipo nilipoamuachia maana alianza kulia mpaka nikawa namuhurumia.


Baada ya muda aliniambia "Siku ukiniacha nakunywa sumu".

Nilimwambia "Usijali mama hapa ndiyo umefika hakuachi mtu".

Basi asubuhi hiyo alijiandaa kuelekea kazini kwake,alipokuwa tayari nilimtoa nje akawa anasema "leo sijui kama nitafanya kazi maana nahisi kuchoka".

Alipoondoka nilirudi zangu ndani kulala maana nilihisi uchovu sana.Sasa yale maisha yakaanza kumkolea shemeji na kuna baadhi ya marafiki zake aliyokuwa akifanya nao kazi wakawa wananiita shemeji,nilikuwa nikimwambia bado mapema sana yeye kufanya hivyo lakini aligoma kabisa akawa anasema yeye ndiye kaamua iwe hivyo nisimpangie!.Basi mpaka wakati huo mama yangu na huyo shemeji walikuwa hawapatani kabisa maana ile kauli aliyowahi kuitamka kipindi cha nyuma ilimuudhi sana mama mpaka akawa analia!.

Siku moja dada yangu alinipigia simu akaniomba kama nitaweza kwenda kwake basi nifanye hivyo maana alikuwa na mazungumzo na mimi.Sikuchukua muda sana ilibidi niende,nilipofika wakati tunapiga stori za hapa na pale alianza kuniuliza "Mdogo wangu kwani unatembea na........(shemeji)?".

Nilimwambia "Hapana,kwani kuna nini?".

Dada aliendelea "naomba unieleze ukweli mimi nafahamu kila kitu maana mpaka kukuita hapa naelewa kila kitu".

Niliendelea kumkatalia,lakini ilibidi aniambie kwamba "wifi alinipigia simu toka juzi akanieleza wewe na yeye ni wapenzi na akasema mnakaribia kufunga ndoa".

Dada yangu alikuwa akimuita wifi kwasababu kaka yake alikuwa amemuoa yule dada yetu mwingine ambaye mimi nilikuwa nikimfuatia.Ukiachilia uzuri aliyokuwa nao yule shemeji lakini pia alikuwa na machepere sana,hakuweza kukaa na ile siri ilibidi aimwage hadharani!.Sasa kwasababu alikuwa ameshamwambia dada,sikuwa na namna ilibidi nimwambie dada yangu kwamba,kila alichoambiwa ilikuwa kweli!.

Dada aliniambia "Mbona unatutia aibu?,ina maana kweli umekosa wanawake mpaka ukatembee na shemeji yako? kibaya zaidi ana mume wake,mume wake akijua unadhani itakuwaje?".

Aliendelea kuniambia "Shauri yako maana ushakuwa mtu mzima na kila mtu ana maamuzi yake hofu yangu mdogo wangu ni huyo mumewe akijua unadhani atalichukuliaje?".

Sikuweza kumjibu kitu chochote dada yangu maana niliona aibu mbele yake lakini rohoni mwangu mimi ilikuwa ni safi tu maana nililipanga hili toka zamani!.Sasa kama mjuavyo maneno ambavyo huwa yanasambaa kama moto wa nyika,yale maneno yalimfikia mam na haikuchukua hata wiki dada alinipigia simu akasema "mama yako anakuita anamazungumzo na wewe".

Nilifahamu tayari maneno yalishamfikia mama,nilijua dada yangu asingeweza kumwambia maana alikuwaga mpole sana na hakuwa na maneno ya umbea umbea!.Dereva alinichukua kuelekea kwa mama,sasa wakati tukiwa njiani nilikuwa nikipiga stori na dereva wangu naye akawa ananipa mtazamo wake kuhusu hilo suala.

Dereva alikuwa akiniambia "Bosi wewe miliki ile mashine,kama kakupenda mwenyewe na hujamwibia huyo mume wake,wewe miliki".

Kwakuwa mimi nilikuwa naielewa picha nzima hivyo sikupata taabu sana.Muda si mrefu nilifika Nyegezi kwa mama,nilimkuta pale sebuleni akiwa na dada yangu mkubwa pamoja na yule Shangazi yangu!.Nilipowaona tu nilijua lazima kungekuwa shughuli nzito!.

Baada ya salamu mama aliniuliza"Mwanangu ina maana wanawake wote hapa Mwanza hujawaona mpaka ukatembee na Shemeji yako?".

Mama aliendelea kuniambia "Sasa nimekuita hapa ili uniambie hayo aliyonieleza huyo shemeji yako ni kweli au naota?".

Mama yangu aliendelea kuniambia huku akitetemeka "Alikuja juzi hapa nyumbani akaanza kuniambia kwamba mnapendana na nyie tayari niwapenzi".

Mpaka hapo nikaelewa kwamba yule shemeji ndiye alimwambia mama,kwasababu nilikuwa nikimpenda sana mama yangu ilibidi nimwambie ukweli.


Nilimwambia "Ndiyo mama ni kweli!".

Mama aliniambia "Sasa mwanangu unawezaje kwenda kutembea na shemeji yako na unajua kabisa kaolewa?,basi bora hata angekuwa hajaolewa,pia unaelewa kabisa ambavyo simpendi yule mwanamke kwa namna alivyo tudharirisha".

Shangazi yangu ikabidi aingilie kati "Huyu hana kosa lolote yule ndiye mwenye makosa maana kama unajua umeolewa na una mume wako kwanini usitulie?".

Mama aliendelea kuongea kwa huzuni "Sawa wifi mimi sikupingi ila hii aibu ya mume wake tutaificha wapi?maana sasa hivi si ndugu wala marafiki zake wanafahamu kabisa hawa ni wapenzi".

Basi baada ya mazungumzo ya muda mrefu pale nyumbani shangazi yangu akaaga akaondoka,mimi pia sikumaliza muda mwingi niliwaaga nikaondoka zangu.Niliwaza sana namna nilivyomkosea mama lakini sikuwa na namna maana mimi nilikuwa ninataka mwanamke wa kuzaa naye ili watoto wale wawe kafara,niliyeona angenifaa ni yule shemeji,ukiacha uzuri aliyokuwa nao,pia nilitaka nimkomoe maana alikuwa na dharau sana.

Wakati nipo njiani naelekea nyumbani,dada yangu alinipigia simu akaniambia "Rudi nyumbani haraka mama kaanguka na hawezi hata kufumbua mdomo".

Nilimwambia dereva ageuze gari maana hali ya mama haikuwa nzuri,nilipofika nyumbani nilishuka kwenye gari kama nimechanganyikiwa huku nikikimbilia ndani!.



Itaendelea...............
 
MKASA WA PILI - Sehemu ya 35



Inaendelea.............




Alipomaliza kuandaa chakula tulianza kula huku tukipiga stori za hapa na pale.

Alianza kuniambia "Najuta sana kwanini sikukufahamu mapema shemu".

Nilimuuliza "kwanini shemu?"

Aliendelea kuniambia " Kama ningekufahamu mapema huyo mwanaume nisingezaa naye maana nimetokea kukupenda wewe shemu,naomba kuanzia leo jina la shemu life nataka uniite mke wako".

Mimi nilijua fika ni ile dawa ndiyo inafanya kazi,sikuwa na hiyana nikaanza kumuita mke wangu kuanzia siku hiyo.Sikujuta kamwe kufanya maamuzi ya kumpata yule shemeji maana niliona ulikuwa ni muda muafaka mimi kuwa naye,japo sikutaka kabisa ndugu zangu waelewe chochote.Baada ya bakora za kim-kakati usiku kucha,nilipitiwa na usingizi,alinishitua tena usiku na nilipoangalia simu ilikuwa mida ya saa 10 usiku!.

Alianza kujisemesha "Mwenzio usingizi umekata".

Nikamuuliza "kwanini mke wangu?".

Akaniambia "Nipe tena kidogo".

Sasa kwasababu ile dawa niliyopewa na mzee nchibaronda ilikuwa na nguvu za ajabu,sikwenda kuinywa tena,bali nilianzia pale nilipoishia!.Nilimshughulikia mpaka mida ya saa 12 asubuhi,ndipo nilipoamuachia maana alianza kulia mpaka nikawa namuhurumia.


Baada ya muda aliniambia "Siku ukiniacha nakunywa sumu".

Nilimwambia "Usijali mama hapa ndiyo umefika hakuachi mtu".

Basi asubuhi hiyo alijiandaa kuelekea kazini kwake,alipokuwa tayari nilimtoa nje akawa anasema "leo sijui kama nitafanya kazi maana nahisi kuchoka".

Alipoondoka nilirudi zangu ndani kulala maana nilihisi uchovu sana.Sasa yale maisha yakaanza kumkolea shemeji na kuna baadhi ya marafiki zake aliyokuwa akifanya nao kazi wakawa wananiita shemeji,nilikuwa nikimwambia bado mapema sana yeye kufanya hivyo lakini aligoma kabisa akawa anasema yeye ndiye kaamua iwe hivyo nisimpangie!.Basi mpaka wakati huo mama yangu na huyo shemeji walikuwa hawapatani kabisa maana ile kauli aliyowahi kuitamka kipindi cha nyuma ilimuudhi sana mama mpaka akawa analia!.

Siku moja dada yangu alinipigia simu akaniomba kama nitaweza kwenda kwake basi nifanye hivyo maana alikuwa na mazungumzo na mimi.Sikuchukua muda sana ilibidi niende,nilipofika wakati tunapiga stori za hapa na pale alianza kuniuliza "Mdogo wangu kwani unatembea na........(shemeji)?".

Nilimwambia "Hapana,kwani kuna nini?".

Dada aliendelea "naomba unieleze ukweli mimi nafahamu kila kitu maana mpaka kukuita hapa naelewa kila kitu".

Niliendelea kumkatalia,lakini ilibidi aniambie kwamba "wifi alinipigia simu toka juzi akanieleza wewe na yeye ni wapenzi na akasema mnakaribia kufunga ndoa".

Dada yangu alikuwa akimuita wifi kwasababu kaka yake alikuwa amemuoa yule dada yetu mwingine ambaye mimi nilikuwa nikimfuatia.Ukiachilia uzuri aliyokuwa nao yule shemeji lakini pia alikuwa na machepere sana,hakuweza kukaa na ile siri ilibidi aimwage hadharani!.Sasa kwasababu alikuwa ameshamwambia dada,sikuwa na namna ilibidi nimwambie dada yangu kwamba,kila alichoambiwa ilikuwa kweli!.

Dada aliniambia "Mbona unatutia aibu?,ina maana kweli umekosa wanawake mpaka ukatembee na shemeji yako? kibaya zaidi ana mume wake,mume wake akijua unadhani itakuwaje?".

Aliendelea kuniambia "Shauri yako maana ushakuwa mtu mzima na kila mtu ana maamuzi yake hofu yangu mdogo wangu ni huyo mumewe akijua unadhani atalichukuliaje?".

Sikuweza kumjibu kitu chochote dada yangu maana niliona aibu mbele yake lakini rohoni mwangu mimi ilikuwa ni safi tu maana nililipanga hili toka zamani!.Sasa kama mjuavyo maneno ambavyo huwa yanasambaa kama moto wa nyika,yale maneno yalimfikia mam na haikuchukua hata wiki dada alinipigia simu akasema "mama yako anakuita anamazungumzo na wewe".

Nilifahamu tayari maneno yalishamfikia mama,nilijua dada yangu asingeweza kumwambia maana alikuwaga mpole sana na hakuwa na maneno ya umbea umbea!.Dereva alinichukua kuelekea kwa mama,sasa wakati tukiwa njiani nilikuwa nikipiga stori na dereva wangu naye akawa ananipa mtazamo wake kuhusu hilo suala.

Dereva alikuwa akiniambia "Bosi wewe miliki ile mashine,kama kakupenda mwenyewe na hujamwibia huyo mume wake,wewe miliki".

Kwakuwa mimi nilikuwa naielewa picha nzima hivyo sikupata taabu sana.Muda si mrefu nilifika Nyegezi kwa mama,nilimkuta pale sebuleni akiwa na dada yangu mkubwa pamoja na yule Shangazi yangu!.Nilipowaona tu nilijua lazima kungekuwa shughuli nzito!.

Baada ya salamu mama aliniuliza"Mwanangu ina maana wanawake wote hapa Mwanza hujawaona mpaka ukatembee na Shemeji yako?".

Mama aliendelea kuniambia "Sasa nimekuita hapa ili uniambie hayo aliyonieleza huyo shemeji yako ni kweli au naota?".

Mama yangu aliendelea kuniambia huku akitetemeka "Alikuja juzi hapa nyumbani akaanza kuniambia kwamba mnapendana na nyie tayari niwapenzi".

Mpaka hapo nikaelewa kwamba yule shemeji ndiye alimwambia mama,kwasababu nilikuwa nikimpenda sana mama yangu ilibidi nimwambie ukweli.


Nilimwambia "Ndiyo mama ni kweli!".

Mama aliniambia "Sasa mwanangu unawezaje kwenda kutembea na shemeji yako na unajua kabisa kaolewa?,basi bora hata angekuwa hajaolewa,pia unaelewa kabisa ambavyo simpendi yule mwanamke kwa namna alivyo tudharirisha".

Shangazi yangu ikabidi aingilie kati "Huyu hana kosa lolote yule ndiye mwenye makosa maana kama unajua umeolewa na una mume wako kwanini usitulie?".

Mama aliendelea kuongea kwa huzuni "Sawa wifi mimi sikupingi ila hii aibu ya mume wake tutaificha wapi?maana sasa hivi si ndugu wala marafiki zake wanafahamu kabisa hawa ni wapenzi".

Basi baada ya mazungumzo ya muda mrefu pale nyumbani shangazi yangu akaaga akaondoka,mimi pia sikumaliza muda mwingi niliwaaga nikaondoka zangu.Niliwaza sana namna nilivyomkosea mama lakini sikuwa na namna maana mimi nilikuwa ninataka mwanamke wa kuzaa naye ili watoto wale wawe kafara,niliyeona angenifaa ni yule shemeji,ukiacha uzuri aliyokuwa nao,pia nilitaka nimkomoe maana alikuwa na dharau sana.

Wakati nipo njiani naelekea nyumbani,dada yangu alinipigia simu akaniambia "Rudi nyumbani haraka mama kaanguka na hawezi hata kufumbua mdomo".

Nilimwambia dereva ageuze gari maana hali ya mama haikuwa nzuri,nilipofika nyumbani nilishuka kwenye gari kama nimechanganyikiwa huku nikikimbilia ndani!.



Itaendelea...............

Tuendelee mkuu shusha episodes za kutosha ili tupunguze arosto
 
Aisee..noma,huyu lwanda magele ndo ninaye mfatilia RFA au mwingine?
 
Pole mkuu kwa kumpoteza Maza, pia niseme kitu kimoja unajua mara nyingi wachawi au mtu aliye na maagano ya kichawi wanakuaga hasira sana na hawaoni shida kukupoteza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom