Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

MKASA WA PILI -Sehemu ya 27

Inaendelea.............



Baada ya yale maelekezo nilitoka zangu mle chumbani na nilihakikisha hiko chumba hakuna anayekiingia zaidi yangu!
Nilielekea chumbani kwangu nikabadili nguo nilizokuwa nimevaa na nikaava nguo nyepesi za kushindia.Mpaka wakati huo naweza kusema sikuwahi kuwa na marafiki,namna tulivyokuwa tumelelewa toka wilayani Tarime nilikuwa na marafiki wachache sana na ni wale niliyokuwa nimesoma nao shule ya msingi,Sasa tulipohamia Mwanza ndiyo ilikuwa balaa kabisa labda wale niliosoma nao sekondari,sikupenda kabisa kuwa mtu wa kujichanganya sana na makundi ya vijana,nadhani hiyo ndiyo ilipelekea mimi kutokuwa na marafiki wa kudumu bali wale ambao tulifahamiana kwa muda mchache tu.

Nilipoangalia muda ilikuwa yapata saa 8 mchana, kwakuwa nilikuwa nimeshiba niliingia jikoni kama kawa nikaanda chai niliyokuwa nimechanganya na ile dawa ya mzee nikaanza kunywa.Ile dawa niliyopewa na mzee nchibaronda kule kijijini Kirungu,kama ulikuwa huna afya ya kuweza kuhimili wanawake wawili kwa wakati mmoja,ulikuwa unaenda na maji maana ilikuwa na nguvu zisizo za kawaida,wakati mimi nilipokuwa nikiitumia,kwanza ilikuwa ikikata usingizi wote,pili ilikuwa ikinipa nguvu za ajabu ambazo nilikuwa nikimshika mwanamke yeyote yule kumkung'uta bakora mpaka anachanganyikiwa mithili ya kufa ndiyo namwachia,hivyo kama ulikuwa huna afya ya kutosha ulikuwa unafia kufuani kwa mwanamke.
Nilipomaliza kuinywa ile dawa nilirudi chumbani kwa Zainati na bakora zilianza kumtembelea kama kawaida.Nilimkung'uta bakora mpaka saa 2 usiku na hakuweza tena kuendelea maana aliniambia kisima kilikuwa kinawaka moto!.
Sikumwacha mpaka nilipohakikisha nimefika mlima kilimanjaro ndiyo nikamwacha.

Alikuwa akiniangalia anatikisa kichwa tu kama mwendawazimu.Asubuhi nilimuamsha ili aondoke maana nilifahamu kama angeendelea kukaa hapo nyumbani basi ningemuua kwa bakora.Ilipofika mida ya saa 2 asubuhi nilimpigia simu yule dereva taxi akaja kumchukua pale nyumbani,yeye pia nilimpa laki mbili kama Yusta lakini akagoma kuzipokea.Aliniambia yeye hakuja hapo nyumbani kwa ajili ya pesa bali bakora ndiyo ilimleta, aligoma katakata kuichukua ile hela.Alipoingia kwenye taxi kabla ya kuondoka aliinita akaniambia "Nitakapokuja kufahamu kwamba una mwanamke mwingine,nitakuua".

Nilimwambia aondoe shaka kwani yupo peke yake!,nilifahamu fika Zainati alikuwa kapagawa na bakora ndiyo maana alikuwa anasisitiza hivyo.Alipoondoka nilirudi zangu ndani nikawa nawaza namna safari ya Pwani itakavyokuwa.Asubuhi hiyo kwakuwa ilikuwa mida ya saa 2 asubuhi nilijianda kuelekea kule shuleni kuzuga kama kawaida.Baada ya kumaliza vipindi pale shuleni ile mida ya jioni, nilipitia mjini kwenye kampuni moja ya ulinzi,nilitaka waje pale nyumbani wanifungie system ya ulinzi na nilihitaji pia na mlinzi ili nikiwa kwenye mishe zangu,hapo nyumbani kuwe na mtu ambaye angekuwa anaangalia usalama wa nyumba.

Siku zilipofika za mimi kueleka mkoani Pwani nilijiandaa kikamilifu, nilielekea mle chumbani kuchukua kile kibuyu na dawa ambazo zingenisaidia mimi kufanikisha ile kafara,baada ya kumaliza kila kitu mle ndani,niliukamata mkono wangu uliyokuwa na irizi ya ajabu na kuanza kutamka ya kwamba "Ninataka nifike pwani eneo lililokusudiwa".

Kilikuwa ni kitendo cha kufumba na kufumbua nilijikuta nipo maeneo hayo ya Bungu,Pia nilisikia sauti ikiniambia nisogee nikae katikati ya Bungu na Kibiti,kama kawaida nilitii yale maagizo,nilitumia uwezo niliyokuwa nao wakati huo kuangalia nani aliyekuwa mtu mbaya yale maeneo na kiukweli wote niliwaona ni weupe tu hawakuwa na lolote la kufanya nishindwe kutoa kafara.Mahali nilipokuwa nimetega kulikuwa na kona pamoja na mteremko,baada ya muda kupita,kwa mbali niliiona ile Costa inakuja ikitokea upande wa kibiti na kuna lori pia lilikuwa linakuja kwa kasi likitokea Dar es salaam.Nilipopiga darubini zangu za kishirikina kwa wakati ule kuiangalia ile costa sikuona mtu yeyote mwenye uwezo wa kunikwamisha,hivyo nilisogea katikati ya barabara nikaweka dawa,baada ya kumaliza nilisogea pembeni kushuhudia ile ajali itakavyokuwa.

Lile lori likawa linakaribia na ile costa nayo ikawa inasogea,kwa sababu lile lori lilikuwa spidi, ilipofika pale nilipoweka dawa liliacha njia na kwenda kuivagaa ile costa,muda huo huo watu waliokuwa humo kwenye costa walikuwa nyang'a nyang'a, kuna watu walivunjika na wengine walikufa pale pale!.

Nilisogea sasa kwa ajili ya kufanya kilichonipeleka hapo,nilianza kuzichukua zile damu za maiti na kuhakikisha nakausha kabisa ili asipone mtu.Niliwasogelea wale waliyokuwa wamevunjika miguu, kuna mama mmoja alikuwa kabeba mtoto lakini mtoto yeye alikuwa mzima kabisa bila hata mchubuko!,nilipomtazama yule mama kiukweli nilimuhurumia sana lakini sikuwa na namna maana mimi nilifuata maelekezo na masharti yalivyotaka!.Yule mama nilimkausha kama samaki nikachukua damu yake,yule mtoto mchanga aliyekuwa amembeba nilimuacha sikumgusa hata kidogo!, kale katoto kalikuwa hata hakaelewi kitu!.

Ndugu zangu niliyoyafanya ni mabaya sana na ndiyo maana naandika ili muone namna dunia ilivyo na wala si mambo ya kufurahisha hata kidogo!,baada ya kutubu na kumrudia Muumbaji wangu nikaona ngoja niandike haya masuala ili wengine mjifunze kitu.

Pia niseme kwamba ajali nyingi zinazosababishwa na wachawi huwa zina dalili kuu mbili,ukifika hayo maeneo na ukaona yafuatayo basi tambua fika wachawi ndiyo wanahusika!.

Moja,Mara nyingi ukifika eneo la tukio na ukakuta gari imeharibika sana na haitamaniki lakini tenki la mafuta bado zima na mafuta hayaja churuzika,tambua wachawi wamefanya yao.
Pili,ukifika eneo la tukio na ukakuta kuna joto kali au mgandamizo wa hewa umekuwa mzito kiasi kwamba hata kupumua ni shida tambua wachawi wamefanya yao!.

Hivyo ni viashiria tu ambavyo mara zote ajali za namna hiyo unakuta mchawi kahusika,huwezi kukuta mchawi kasababisha ajali na matenki ya mafuta yanapasuka!,sijajua kwa waliyokuwa wachawi sugu lakini kwa uwezo niliyokuwa nao mimi nilifahamu hivyo.
Pia huwa kuna damu kadhaa wanazipakaa yale maeneo ya ajali ili ionekane kama kweli watu wamekufa kwa kuvuja damu lakini huwa si kweli kwa maana unaweza kuta kuna ajali imetokea ya kawaida tu ambayo wamesababisha wao na watu hawajatoka damu lakini wamekufa.Ndugu zangu damu ndiyo uhai wa mwanadamu,sasa ukikuta mtu kapata ajali na hakuna damu yeyote iliyovuja na kafa,fahamu kabisa wachawi walishafanya ya kwao,japo pia wapo wanaokufa kwa kawaida lakini wengi wa namna hiyo wachawi huwa wanahusika.Nayazungumza haya kwasababu nilishiriki moja kwa moja.

Basi baada ya lile tukio niliondoka hayo maeneo na nilihakikisha hata wale watakaochukuliwa kupelekwa hospitali hawatomaliza siku maana wote niliwakausha damu ili wakiwa wanapelekwa hospitali wafie njiani.Niliinua mkono wangu wa kushoto uliyokuwa na irizi kama kawaida na nikatamka ya kwamba"Nahitaji niwe Mwanza kwenye chumba changu cha siri muda huu".

Kilikuwa ni kitendo cha kufumba na kufumbua nilijikuta nimo mle ndani,nilikiweka kile kibuyu katikati ya kile chumba na bahada ya kuhakikisha nimekamilisha kila kitu niliondoka mle ndani.

Ilipofika usiku mida ya saa 6,nilisikia sauti ya yule Malikia niliyemkuta kule chini ya ziwa Tanganyika ambaye ndiye alinipatia masharti ya namna ya kutoa kafara,huyu Malikia ndiye pia aliyeniwekea irizi mkononi,ile sauti ilikuwa ikiniita kutokea kwenye kile chumba cha siri kulimo kuwa kunakaa kibuyu na vifaa vingine vya kazi ya utoaji wa kafara.

Niliamka kitandani usiku huo kuelekea kule kwenye kile chumba,niliufungua ule mlango na ndipo sikuamini nilipokutana na yule Malikia macho kwa macho.




Itaendelea......................
 
MKASA WA PILI- Sehemu ya 28


Inaendelea.............


Nilipofungua kile chumba na kuingia ndani sikuamini macho yangu nilikutana uso kwa uso na yule Malikia aliyenipa yale masharti chini ya maji.

Baada ya kumsujudia aliniuliza "Inaelekea wewe unaufahamu sana kuliko sisi,si ndiyo?".

Nilimjibu "Hapana Malikia"

Akaendelea kuniuliza "wewe ulitumwa nini na ulichoenda kufanya ni nini?"

Kiukweli wakati huo nilikuwa naogopa na kutetemeka sana maana sikutegemea kumuona yule Malikia humo ndani,alikuja akiwa ndani ya vazi refu jeusi na nywele zake zilishuka mpaka chini ya lile zulia jekundu na kutokana na rangi yake kuwa nyeupe sana,yale mavazi yalimpendeza sana lakini alikuwa na hali ambayo nilipomuona tu nilianza kutetemeka kama nimewekwa kwenye baridi kali.Aliniambia itabidi nilipe gharama ya nilichokifanya na akasema hiyo gharama isichukue muda mrefu,aliniambia mtu ambaye inapaswa awe mbadala wa kile nilichokifanya ni yule mwalimu ambaye alikuwa mpenzi wangu.

Ndugu zangu kama mnakumbuka nilipoenda kutoa kafara kule Bungu niliwaambia kuna mama alikuwa kabeba mtoto,yule mama yeye nilimkausha na yule mtoto nilimwacha maana iliniingia huruma.Sasa kumbe lile lilikuwa ni kosa kubwa sana ambalo lingepelekea mimi kupoteza uhai,nilipaswa yule mtoto mchanga nimuue na nilikuwa nikifahamu kabisa lakini sasa kutokana na huruma kuniingia nilijikuta namwacha.Hivyo nilipaswa kulipa gharama ya kumuacha yule mtoto kuwa hai,hivyo kwa nilichokuwa nimefanya,yule Malikia aliniambia yule mwalimu niliyekuwa natembea naye inabidi nimtoe kafara mara moja.

Kiukweli niliumia sana na nilikuwa nina mawazo sana maana yule mwanamke tayari alishaanza kuniingia akilini,Sikuwa na namna ilibidi nitii yale maagizo ya Malikia.Baada ya dakika chache yule Malikia alipotea mle ndani na sikuweza kumuona tena.Mwaka huo ilikuwa mwanzoni mwa mwaka wa 2014 ambapo mambo haya yanatokea.Niliwaza sana namna itakavyokuwa bila yule mwalimu maana nilishaanza kumzoea,nilijipa moyo maana sikuwa na namna.

Asubuhi ya siku iliyofuata nilienda kule shuleni kama kawaida kuendelea na kazi yangu,baada ya vipindi tulionana na yule mwalimu.

Nilimwambia "Hivi unafahamu kwamba nimehamia kwenye ile nyumba yangu mpya?".

Alinijibu"Nitajulia wapi mimi wakati wapo unao wapenda ndiyo unaowambia!".

Kiukweli lile jibu liliniumiza sana hasa ukizingatia namna nilivyokuwa nampenda.

Nilimwambia "kesho jitahidi uje Igoma mpenzi wangu,uje uone mpenzi wako ninapokaa"

Yule mtoto wa watu hakuwa na hiyana alikubali bila kufahamu ndiyo ulikuwa mwisho wa maisha yake hapa duniani.Kwakuwa siku hiyo nilikuwa nimechefukwa na mawazo yangu kichwani yakutosha,ndipo nilichukua simu nikaanza kutafuta namba ya yule shemeji,nilipoipata nilianza kumpigia maana tangu dada yangu aliponipatia sikuwahi kumpigia.

"Hallooo nani mwenzangu" Yule shemeji alikuwa akiniuliza.

Nilimwambia "Mimi ni........"

Aliendelea "Ooh,Shem za siku?"

Nilimjibu "Nzuri,mbona upo kimya sana shem".

Aliniambia "nakwambia shem nimebanana sana,siunajua tena kazi zetu hizi"

Aliniuliza "Shem nasikia umeshusha bonge la mjengo,yaani shem mpaka unajenga hatuambiani!,nimewakosea nini jamani,Wikiendi hii nakuja kwako na watoto shemu,hivyo andaa wine na msosi wa kutosha".

Sikutaka kumuonyeshea dharau maana pamoja na yote aliyoyafanya mpaka kusababisha mimi kuingia kwenye utajiri wa ushirikina,lakini niliamua kuwa mtulivu.Nilimwambia kwamba hapo nyumbani nakaa peke yangu labda nitamwambia dada yangu mkubwa aje awaandalie chakula kwa ajili ya ugeni wao.Nilikuwa natengeneza mazingira ili iwe rahisi kumtia kwenye himaya yangu na niliapa atakapo kuja hiyo wikiendi basi nitafanya niwezalo aingie kwenye kumi na nane.

Siku iliyofuata,kweli yule mwalimu alikuja pale nyumbani na alikuwa akishangaa sana namna ile nyumba ilivyokuwa nzuri.

Aliniuliza "Mwenzetu kumbe uko vizuri eenh!"

Yeye hakuwa akishangaa sana maana toka mwanzo niliwahi kumdanganya kwamba kazi ya pale shuleni mimi naifanya tu kama kuzugia ila nina biashara zangu nyingine,siku hiyo sikuwa na hamu kabisa ya kumkung'uta bakora kwasababu niliona muda si mrefu angepoteza uhai.

Nilimshika mkono kama geresha na nikamwambia "Nilikuwa nimekumiss sana mama".

Nilimwambia "nisubiri nakuja!".

Niliingia kwenye kile chumba cha siri nikaanza kutengeneza dawa na nilihakikisha namnyonya damu yote,kiukweli nilikuwa namuonea huruma sana lakini sikuwa na namna kwa maana asingekufa yeye ningekufa mimi na mimi wakati huo naogopa kufa!.Kuua wenzangu nilikuwa napenda ila mimi kufa nilikuwa sitaki kabisa kusikia.Nilipomaliza lile zoezi nilitoka mle chumbani na nilimwambia nataka kwenda kwa mama kule Nyegezi, hivyo twende tuondoke wote.Wakati tukiwa ndani ya taxi alianza kuvuja damu puani na nilielewa fika hatochukua muda atakuwa kapoteza uhai.

Nilitoa kitambaa nikaanza kumfuta zile damu na nikawa namuuliza "Unaumwa mama?".

Aliniambia "Nahisi kichwa kinauma".

Nilimuuliza "nikupeleke hospitali?".

Akaniambia "hapana,naelekea nyumbani kupumzika naamini kitapona"

Tulipofika maeneo ya Sahara,mimi nilishuka, nilimwambia dereva ampeleke mpaka nyumbani kwake na kisha atakuja kunichukua hapo aliponiacha anipeleke Nyegezi,niliamini hatomaliza siku akiwa hai maana nilikuwa tayari nishanyonya damu yake na kuitia kwenye kibuyu.

Nilipofika kwa mama kiukweli sikuwa na raha.Basi jioni nilimwambia mama kwamba shemeji kasema atakuja na familia yake kunitembelea jumamosi hivyo amwambie dada yangu mkubwa aje Igoma awaandalie chakula.Mama alishangaa sana lakini nilimwambia dawa ya yule shemeji ni kuja aangalie mafanikio yetu ili akawasimulie ndugu zake!.Kumbe mimi wakati huo nilikuwa nina langu moyoni,sikutaka kabisa ndugu zangu waelewe ni nini nilichokuwa nimekipanga kwa wakati huo.Baada ya usiku kuingia na kupata chakula niliondoka kurudi kwangu.Asubuhi ya siku iliyofuatia nilipigiwa simu na jamaa mmoja ambaye naye alikuwa mwalimu kwenye ile shule niliyokuwa nikifundisha, akawa ananiambia habari za msiba wa yule mwalimu ambaye alikuwa mpenzi wangu,sikushangaa sana maana nilifahamu tukio zima tangia mwanzo.Tulikubaliana na jamaa tuelekee msibani siku hiyo.

Baada ya siku mbili kumalizika toka tumzike yule mwalimu,kabla ya jumamosi alinipigia simu Zainati na alitaka nikaonane naye kule dukani kwao.Niliondoka mpaka dukani kwao na nilipofika nilimkuta,nilimuuliza kulikuwa kuna shida gani?.

Aliniambia "Nilitaka tu kukuona maana nimekumiss mpenzi".

Aliendelea kuniambia kwamba usiku wa siku hiyo angekuja nyumbani kulala maana kamiss bakora.Basi baada ya maongezi na kutaniana kwingi,mimi niliondoka zangu kuelekea nyumbani maana nilikuwa nimechoka sana.Mida ya jioni nilisikia gari ikipiga honi getini,mlinzi alifungua geti na safari hii Zainati alikuwa kaja na gari aina ya Prado.Baadae nilimuuliza lile gari lilikuwa la nani akaniambia lilikuwa la mama yake ambaye kwa wakati huo hakuwepo.

Nilikuwa najisemea ya kwamba "Shida ya huyu huwa ni king'ang'anizi,naweza kumcharaza bakora kesho asiondoke".

Lengo langu sikutaka kabisa yule shemeji atakapokuja amkute pale mwanamke mwingine.

Ila nilijisemea "kwakuwa nina uwezo wote nitajua la kufanya"



Itaendelea...............
 
MKASA WA PILI -Sehemu ya 26

Inaendelea.............


Ilikuwa yapata mida ya saa 10 usiku lakini hata na lepe la usingizi,nilianza tena kumshughulikia Yusta mpaka mida ya saa 11 alfajiri, kiukweli nilimshughulikia kisawasawa!,safari hii nilijua uenda nimemuua mtoto wa watu maana kila nilipompeleka alienda kama mzigo na akaanza kuyakunja macho kama mtu mwenye makengeza, ilibidi nimuache maana ningeendeleza bakora nilikuwa nampoteza.Basi nilimuachia mtoto wa watu akiwa hoi,nikatoka kuelekea chumbani kwangu, kwakuwa sikuwa na usingizi,nilienda tena kuchukua ile chai ili nielekee kwa Zainati.

Lengo langu mpaka wakati huo ni kwamba nilitaka niwashikishe adabu maana walinisumbua sana hasa huyo Yusta.Zainati yeye nyodo ndiyo zilimzidi na nilitaka kumfunza adabu kupitia bakora hizo za kim-kakati.Nilipomaliza kupiga kikombe cha chai ilikuwa kama mida ya saa 12 asubuhi,nielekea chumbani kwa Zainati,sikutaka kwenda kumsumbua Yusta maana nilifahamu fika kwa bakora zile asingekuwa na nguvu ya kuamka wakati huo.


Tuliuanza mchakamchaka toka saa 12 asubuhi tulipepea mpaka saa 3 asubuhi,Zainati alikuwa akiniangalia anaishia tu kuguna,hakuamini kama ningeweza kumfanya akasahau shida za dunia kwa muda ule.Ilipofika mida ya saa 4 asubuhi niliekea chumbani kwangu kuoga na kuvaa,nilirudi chumbani kwa Yusta nikamwamsha ajiandae twende nimsindikize arudi sasa nyumbani kwao.

Alijivuta hivyo hivyo kwa uchovu kuelekea bafuni ingawa alikuwa amechoka sana,nilienda chumbani kwa Zainati kumchungulia kama atakuwa ameamka,kiukweli alikuwa hata hajitingishi!.Yusta alipomaliza kuvaa nilimchukua tukaondoka zetu,tulitoka kwa nje nikampigia yule dereva taxi aje yale maeneo ya nyumbani kwangu kumchukua.Nilimpa Yusta laki moja kwa ajili ya matumizi yake.

Alniambia "Tafadhali usije kuniacha,mwenzio nakupenda ujue!".

Nilimwambia "Ondoa shaka mama,mimi pia nakupenda"

Yule dereva alipo ondoka nilirudi ndani kumwamsha Zainati ili ajiandae aende kazini,Zainati alinijibu kwamba hatoondoka siku hiyo maana bado alikuwa na hamu ya bakora.

Nilimwambia "Sawa wewe endelea kulala,ngoja kwanza nakuja".

Mpaka muda huo Zainati alikuwa akifahamu kwamba kile chumba ndicho huwa nalala maana kulikuwa na kila kitu,kumbe kile kilikuwa tu sehemu ya vyumba vyangu vya kawaida ndani ya ile nyumba.Chumbani kwangu sikutaka kumuingiza mtu yeyote ila yule ambaye niliambiwa atakuwa mke wangu kwa siku za baadae na ambaye atanizalia watoto,na mimi pia sikutaka kuharibu masharti nikapotezwa maana niliogopa sana kufa!.
Nilitoka nikaelekea supermaket kwenda kununua mahitaji na vyakula ili Zainati asishinde na njaa siku hiyo,niliporudi nilimkuta bado amelala,nilimwamsha nikamwambia akaandae chakula ale ili uchovu uishe.

Alinijibu "Ngoja kwanza nilale kidogo maana nimechoka sana nitakula baadae".

Basi mimi nilielekea chumbani kwangu kupumzika maana nilikuwa nimechoka sana kutokana na shughuli ya usiku,wakati nikiwa nimepitiwa na usingizi ndipo nilionyeshwa ndoto ya Kwamba inapaswa mwisho wa mwezi huo nielekee mkoani Pwani sehemu moja inaitwa Bungu, pale Bungu niliambiwa kulikuwa kuna Costa ambayo ilikuwa inatokea Kibiti,kabla ya kufika hapo Bungu ilipaswa niishughulikie na asibaki mtu yeyote.

Nilishtuka kutoka usingizini na nikaondoka kuelekea chumbani kwa Zainati,alikuwa amekwisha amka,nilimuonyesha jiko lililokuwa la kisasa kwa ajili ya kuandaa chakula.Haukupita muda alinipigia simu Yusta na kuniambia kwamba ndiyo anafika nyumbani!.

Nilimuuliza "Mbona kama umechukua muda mrefu kufika nyumbani?"

Aliniambia"Nilipitia kwanza Pasiansi kwa rafiki yangu ili isije ikaonekana nimewahi nyumbani,pia kuna nguo nilipita hapo mjini kuichukua nilikuwa naipenda"

Nikamwambia "Ok sawa"

Baada ya kumaliza kula nilimuaga Zainati nikamwambia naelekea mjini mara moja maana kuna jambo ninakwenda kulifanya mara moja,aliniambia nisichelewe maana bado hajaridhika na zile bakora.Niliondoka hapo nyumbani kuelekea Yale maeneo ya yule jamaa mwenye Yadi ya magari kumuulizia kuhusu ile gari yangu niliyokuwa nimemuagizia ingefika lini maana nilikuwa nishachoka kutembea kwa gari za kukodi!.

Jamaa aliniambia "Unajua bosi gari lako liko tayari ila sema kuna vitu vidogo walikuwa wanavikamilisha,ila nakuahidi halitachukua muda mrefu litakuwa limefika".

Wakati nikiwa njiani narudi nyumbani kwangu,Mama alinipigia simu na kuniambia yule shemeji yetu mwenye nyodo na dharau alikuwa amekuja pale nyumbani,alipofika alibaki kushangaa namna ile nyumba yetu ilivyokuwa imebadilika na namna ambavyo hapo nyumbani walivyokuwa wakiishi maisha mazuri.

Katika vitu ambavyo nilikuwa sitaki kunyooshewa vidole ni hali ya nyumbani kwa mama yangu kuwa mbaya kifedha na kimuonekano,nilijiapiza ya kwamba ni heri mimi nikose mahali pa kukaa lakini mama yangu aishi maisha ya kitajiri.


Nilimuuliza mama "Alikuwa amefuata nini?".

Mama akasema "Alikuwa kaja kuomba msamaha maana anasema yeye hakusema yale maneno bali yule mtoto alimnukuu tu vibaya".

Nikamuuliza mama "Wewe umemwambia nini?".


Mama akajibu "Mimi sikutaka kuongea naye niliingia ndani maana sitaki hata kumuona kwenye macho yangu,aliongea na dada yako".

Nilimwambia "Usijali mama,mpe simu dada niongee naye".

Baada ya kuwa nimeongea na dada nilimwambia anitumie namba ya shemeji,lakini dada yangu alisisitiza kwamba nisije kumjibu vibaya.

Nilimwambia "wala usijali dada wewe nitumie namba yake"

Dada yangu yeye alijua labda nataka nimtukane wakati kumbe mimi nilikuwa nina jambo langu tangu zamani,nilitaka na yeye nimshikishe adabu ya bakora za kim-kakati na pia awe kama mke wangu, japo yeye alikuwa kanizidi miaka kama miwili lakini kutokana na uzuri na umbo alilokuwa nalo,sikutaka kabisa kumuachia anipite hivi hivi!.Muda kidogo kupita,dada alinitumia namba yake,sikutaka kumpigia simu muda ule bali niliisevu namba yake.Nilirejea nyumbani kwangu na nilipofika nilimkuta Zainati amelala,nilitambua ya kwamba kulala kule alikuwa kachoka sana.

Nilipoona amelala,nilienda kukifungua kile chumba cha siri maana nilikuwa nimesikia sauti ikiniita kule ndani muda mrefu.Nilipoingia sikumkuta mtu yeyote ila nilikuwa nikisikia tu sauti.

Niliposogea karibu na kile kibuyu nilisikia sauti ikiniambia "umeyapata maelekezo?".

Nilijibu"hapana".

Basi ile sauti ikaniambia ya kwamba ile niliyoiona usingizni haikuwa ndoto bali ni uhalisia na inapaswa nitekeleze hilo agizo siku si nyingi zilizokuwa mbele yangu.


Itaendelea..................
Mkuu nakukubari sana bigup kwa kuwa na moyo huo
 
MKASA WA PILI -Sehemu ya 26

Inaendelea.............


Ilikuwa yapata mida ya saa 10 usiku lakini hata na lepe la usingizi,nilianza tena kumshughulikia Yusta mpaka mida ya saa 11 alfajiri, kiukweli nilimshughulikia kisawasawa!,safari hii nilijua uenda nimemuua mtoto wa watu maana kila nilipompeleka alienda kama mzigo na akaanza kuyakunja macho kama mtu mwenye makengeza, ilibidi nimuache maana ningeendeleza bakora nilikuwa nampoteza.Basi nilimuachia mtoto wa watu akiwa hoi,nikatoka kuelekea chumbani kwangu, kwakuwa sikuwa na usingizi,nilienda tena kuchukua ile chai ili nielekee kwa Zainati.

Lengo langu mpaka wakati huo ni kwamba nilitaka niwashikishe adabu maana walinisumbua sana hasa huyo Yusta.Zainati yeye nyodo ndiyo zilimzidi na nilitaka kumfunza adabu kupitia bakora hizo za kim-kakati.Nilipomaliza kupiga kikombe cha chai ilikuwa kama mida ya saa 12 asubuhi,nielekea chumbani kwa Zainati,sikutaka kwenda kumsumbua Yusta maana nilifahamu fika kwa bakora zile asingekuwa na nguvu ya kuamka wakati huo.


Tuliuanza mchakamchaka toka saa 12 asubuhi tulipepea mpaka saa 3 asubuhi,Zainati alikuwa akiniangalia anaishia tu kuguna,hakuamini kama ningeweza kumfanya akasahau shida za dunia kwa muda ule.Ilipofika mida ya saa 4 asubuhi niliekea chumbani kwangu kuoga na kuvaa,nilirudi chumbani kwa Yusta nikamwamsha ajiandae twende nimsindikize arudi sasa nyumbani kwao.

Alijivuta hivyo hivyo kwa uchovu kuelekea bafuni ingawa alikuwa amechoka sana,nilienda chumbani kwa Zainati kumchungulia kama atakuwa ameamka,kiukweli alikuwa hata hajitingishi!.Yusta alipomaliza kuvaa nilimchukua tukaondoka zetu,tulitoka kwa nje nikampigia yule dereva taxi aje yale maeneo ya nyumbani kwangu kumchukua.Nilimpa Yusta laki moja kwa ajili ya matumizi yake.

Alniambia "Tafadhali usije kuniacha,mwenzio nakupenda ujue!".

Nilimwambia "Ondoa shaka mama,mimi pia nakupenda"

Yule dereva alipo ondoka nilirudi ndani kumwamsha Zainati ili ajiandae aende kazini,Zainati alinijibu kwamba hatoondoka siku hiyo maana bado alikuwa na hamu ya bakora.

Nilimwambia "Sawa wewe endelea kulala,ngoja kwanza nakuja".

Mpaka muda huo Zainati alikuwa akifahamu kwamba kile chumba ndicho huwa nalala maana kulikuwa na kila kitu,kumbe kile kilikuwa tu sehemu ya vyumba vyangu vya kawaida ndani ya ile nyumba.Chumbani kwangu sikutaka kumuingiza mtu yeyote ila yule ambaye niliambiwa atakuwa mke wangu kwa siku za baadae na ambaye atanizalia watoto,na mimi pia sikutaka kuharibu masharti nikapotezwa maana niliogopa sana kufa!.
Nilitoka nikaelekea supermaket kwenda kununua mahitaji na vyakula ili Zainati asishinde na njaa siku hiyo,niliporudi nilimkuta bado amelala,nilimwamsha nikamwambia akaandae chakula ale ili uchovu uishe.

Alinijibu "Ngoja kwanza nilale kidogo maana nimechoka sana nitakula baadae".

Basi mimi nilielekea chumbani kwangu kupumzika maana nilikuwa nimechoka sana kutokana na shughuli ya usiku,wakati nikiwa nimepitiwa na usingizi ndipo nilionyeshwa ndoto ya Kwamba inapaswa mwisho wa mwezi huo nielekee mkoani Pwani sehemu moja inaitwa Bungu, pale Bungu niliambiwa kulikuwa kuna Costa ambayo ilikuwa inatokea Kibiti,kabla ya kufika hapo Bungu ilipaswa niishughulikie na asibaki mtu yeyote.

Nilishtuka kutoka usingizini na nikaondoka kuelekea chumbani kwa Zainati,alikuwa amekwisha amka,nilimuonyesha jiko lililokuwa la kisasa kwa ajili ya kuandaa chakula.Haukupita muda alinipigia simu Yusta na kuniambia kwamba ndiyo anafika nyumbani!.

Nilimuuliza "Mbona kama umechukua muda mrefu kufika nyumbani?"

Aliniambia"Nilipitia kwanza Pasiansi kwa rafiki yangu ili isije ikaonekana nimewahi nyumbani,pia kuna nguo nilipita hapo mjini kuichukua nilikuwa naipenda"

Nikamwambia "Ok sawa"

Baada ya kumaliza kula nilimuaga Zainati nikamwambia naelekea mjini mara moja maana kuna jambo ninakwenda kulifanya mara moja,aliniambia nisichelewe maana bado hajaridhika na zile bakora.Niliondoka hapo nyumbani kuelekea Yale maeneo ya yule jamaa mwenye Yadi ya magari kumuulizia kuhusu ile gari yangu niliyokuwa nimemuagizia ingefika lini maana nilikuwa nishachoka kutembea kwa gari za kukodi!.

Jamaa aliniambia "Unajua bosi gari lako liko tayari ila sema kuna vitu vidogo walikuwa wanavikamilisha,ila nakuahidi halitachukua muda mrefu litakuwa limefika".

Wakati nikiwa njiani narudi nyumbani kwangu,Mama alinipigia simu na kuniambia yule shemeji yetu mwenye nyodo na dharau alikuwa amekuja pale nyumbani,alipofika alibaki kushangaa namna ile nyumba yetu ilivyokuwa imebadilika na namna ambavyo hapo nyumbani walivyokuwa wakiishi maisha mazuri.

Katika vitu ambavyo nilikuwa sitaki kunyooshewa vidole ni hali ya nyumbani kwa mama yangu kuwa mbaya kifedha na kimuonekano,nilijiapiza ya kwamba ni heri mimi nikose mahali pa kukaa lakini mama yangu aishi maisha ya kitajiri.


Nilimuuliza mama "Alikuwa amefuata nini?".

Mama akasema "Alikuwa kaja kuomba msamaha maana anasema yeye hakusema yale maneno bali yule mtoto alimnukuu tu vibaya".

Nikamuuliza mama "Wewe umemwambia nini?".


Mama akajibu "Mimi sikutaka kuongea naye niliingia ndani maana sitaki hata kumuona kwenye macho yangu,aliongea na dada yako".

Nilimwambia "Usijali mama,mpe simu dada niongee naye".

Baada ya kuwa nimeongea na dada nilimwambia anitumie namba ya shemeji,lakini dada yangu alisisitiza kwamba nisije kumjibu vibaya.

Nilimwambia "wala usijali dada wewe nitumie namba yake"

Dada yangu yeye alijua labda nataka nimtukane wakati kumbe mimi nilikuwa nina jambo langu tangu zamani,nilitaka na yeye nimshikishe adabu ya bakora za kim-kakati na pia awe kama mke wangu, japo yeye alikuwa kanizidi miaka kama miwili lakini kutokana na uzuri na umbo alilokuwa nalo,sikutaka kabisa kumuachia anipite hivi hivi!.Muda kidogo kupita,dada alinitumia namba yake,sikutaka kumpigia simu muda ule bali niliisevu namba yake.Nilirejea nyumbani kwangu na nilipofika nilimkuta Zainati amelala,nilitambua ya kwamba kulala kule alikuwa kachoka sana.

Nilipoona amelala,nilienda kukifungua kile chumba cha siri maana nilikuwa nimesikia sauti ikiniita kule ndani muda mrefu.Nilipoingia sikumkuta mtu yeyote ila nilikuwa nikisikia tu sauti.

Niliposogea karibu na kile kibuyu nilisikia sauti ikiniambia "umeyapata maelekezo?".

Nilijibu"hapana".

Basi ile sauti ikaniambia ya kwamba ile niliyoiona usingizni haikuwa ndoto bali ni uhalisia na inapaswa nitekeleze hilo agizo siku si nyingi zilizokuwa mbele yangu.


Itaendelea..................
Mkuu nakukubari sana bigup kwa kuwa na moyo huo
 
MKASA WA PILI - Sehemu 29


Inaendelea.............


Siku hiyo kiuweli nilikuwa nimechoka sana,tulilala mpaka asubuhi, mimi ndiye nilikuwa wa kwanza kabisa kuamka asubuhi hiyo ya ijumaa,nilienda chumbani kwangu kuoga wakati yeye akiwa bado amelala.Nilipomaliza nilirudi kile chumba alichokuwa amelala yeye kumuamsha,nikamwambia ajiandae aende dukani kwao,kwa bahati nzuri siku hiyo hakukataa,aliamka akajiandaa na alipomaliza niliondoka kumsindikiza.Aliniomba nimsindikize mpaka mjini halafu mimi ningerudi.Nilipofika mjini kuna mahala nilimwambia anishushe,akaniacha hapo yeye akaondoka na mimi nikaendelea na mambo yangu.

Kuna mahali pale mjini nilingia kupumzika kidogo,kisha nikampigia simu yule jamaa wa yadi ya magari,nilihitaji kumkumbusha kuhusu ile gari yangu niliyokuwa nimeagiza maana sikutaka yule shemeji aje pale nyumbani kwangu akute hiyo gari bado haijafika.

Nilimwambia "kesho jumamosi nina wageni na nilitaka niwe na hiyo gari,sasa toka mliponiambia mngeileta ni siku nyingi zimepita,shida ni nini?".

Jamaa aliniambia "Yaani mpaka muda huu tunavyoongea bosi gari ipo maeneo ya Nzega inakuja bosi wangu"

Nilimuuliza "Kwanini sasa hukuniambia mapema? Kwahiyo hapa mjini inafika mida gani maana kesho nahitaji niwe na hiyo gari"

Jamaa aliniambia "mida ya saa 8 mchana chombo itakuwa inaingia mjini!".

Nilimwmbia "mimi siko mbali sana na hapo kwenye yadi yako,ikishafika nipigie simu"

Kweli!,ilipofika mida ya saa 10 alasiri,jamaa ainipigia simu na akanitaka niende kwenye hiyo Yadi yake ya magatu kwani gari yangu ilikuwa ishafika.Nilifurahi sana maana niliona kila nililopanga linakwenda kama nilivyotaka!.
Nilivyofika hapo ofisini kwake niliikuta ile gari ikiwa mpya na upya wake!,kiukweli nilijiona mwenye bahati sana hapa duniani kushinda wanadamu wote.Kwakuwa yule jamaa mwenye ile Yadi nilikubaliana naye milioni 60,nilimwambia twende nyumbani akachukue hela yake iliyokuwa imebakia maana tayari nilishampatia milioni 30 ya kwanza,Kwakuwa pia alikuwa aniamini aliondoka pale na vijana wake na yeye mwenyewe akiwa na bastola kaiweka chini ya shati.Sikufahamu sababu ya yeye kufanya hivi ni nini maana tayari pesa ya kwanza nishampatia,labda alidhani angefika kwangu ningemdhulumu,kumbe hilo wazo hata sikuwa nalo kichwani mwangu.

Bila shaka akili yake ilimtuma kwamba labda mimi sikuwa na uwezo wa kumiliki VX V8 Amazon!.Tulipofika nyumbani kwangu ilipigwa honi na mlinzi akafungua geti,walianza kushangaa ile nyumba,jamaa hakuamini kama pale ni kwangu.

Jamaa aliniuliza "Bosi huu mjengo ulikugharimu kiasi gani?".

Sasa kwakuwa tangu mwanzo nilikuwa namuona kama anamashaka na mimi nilimwambia "Ulikula pesa ndogo tu kama milioni 200".

Yule jamaa alikuwa akiniangalia lakini hanimalizi,niliamua tu kumdanganya kwamba ile nyumba ilinigharimu milioni 200 ili kumuweka sawa kiakili ili asinichukulie poa,japo ile nyumba nilikuwa nimeinunua Tsh milioni 60.Niliingia chumbani kwangu na kutoa hicho kiasi cha pesa alichokuwa akinidai yule jamaa,nilianza kuzihesabu zile hela mpaka nilipofika milioni 30 nikampelekea na jamaa,kama kawaida alikuwa akinishangaa sana!.

Nilimwambia "mimi sina begi nyie jueni mtakavyobeba hizo hela"

Jamaa alimpigia simu mtu ambaye nadhani alikuwa pale ofisini kwake akamwelekeza kwamba alete begi kubwa aje na gari.Baada ya dakika kama 20 yule jamaa alifika na begi kubwa wakaanza kuzipanga zile hela na walipomaliza kuzihesabu na kupanga waliondoka zao,haikuwa kazi nyepesi lakini tulimaliza salama.Pesa zote ambazo nilikuwa nikiingia kwenye kile chumba na kuzitoa zilikuwa mpya na upya wake!,yaani mimi ndiye nilikuwa naanza kuzitumia kwa mara ya kwanza.Yule jamaa baada ya kuona na kutambua mimi ni tajiri,ndipo akaanza mazoea ya kuwa ananitafuta na kunimwagia sifa kedekede alimradi tu ajipendekeze kwangu.Tulifanikiwa kuwa marafiki wakubwa maana kuna magari mengine aliniuzia.

Basi niliwaza kwamba nimchukue yule dereva taxi ambaye amekuwa akinipeleka maeneo mbali mbali ya jiji la Mwanza na nimwachishe ile kazi aliyokuwa akifanya ili nimuajiri mimi awe ananiendesha niwe namlipa mwisho wa mwezi.

Nilimpigia simu na kumueleza akasema "wewe bosi utakuwa unanilipa kiasi gani?"

Nilimwambia ataje kiasi chochote atakachoona kwake kinamfaa kuendesha maisha yake.

Aliniambia "bosi utakuwa unanilipa laki tatu tu"


Mimi nilimwambia ningekuwa namlipa laki tano kila mwezi na ahakikishe anaachana na ile kazi ya udereva taxi ili aje nyumbani kwa ajili ya kuanza kazi.Jumamosi ilifika,mida ya saa 3 asubuhi yule dereva akawa kafika pale nyumbani na nikamkabidhi funguo ya lile gari kwa ajili ya kuanza kazi.Muda hakupita sana dada yangu yule mkubwa naye akawa kafika pale nyumbani kwa ajili ya maandalizi ya wageni.Nilimpatia hela nikamwambia aende sokoni akafanye mahemezi ya mahitaji yote ya siku hiyo kwa ajili ya wageni,yule dereva nilimwambia ampeleke dada mjini kwa ajili ya hayo mahitaji.

Dada yangu baada ya kuiona ile gari aliniuliza "Mdogo wangu hii ndiyo ile gari uliyotuambia unaileta?".

Nilimjibu "ndiyo dada ila nina mpango na wewe nikununulie gari"

Niliendelea kumwambia "Ngoja kwanza biashara zangu zikikaa sawa nitakwambia".

Nilikuwa nazuga tu maana nilitaka watu wa nyumbani waelewe kuwa ninafanya biashara kumbe mimi ni muuaji sugu!.Baada ya kuwa ameondoka niliingia ndani fasta mpaka kwenye kile chumba cha siri,niliushika mkono wangu uliyokuwa na ile irizi nikaanza kutamka kwamba "mtu yeyote asiwe na mawazo ya kutaka kuingia humu ndani wala kuuliza kuhusu hiki chumba".

Nilipomaliza kutamka hayo maneno niliondoka zangu na nikakifunga halafu funguo nikazipeleka chumbani kwangu.


Itaendelea.................
 
MKASA WA PILI - Sehemu 29


Inaendelea.............


Siku hiyo kiuweli nilikuwa nimechoka sana,tulilala mpaka asubuhi, mimi ndiye nilikuwa wa kwanza kabisa kuamka asubuhi hiyo ya ijumaa,nilienda chumbani kwangu kuoga wakati yeye akiwa bado amelala.Nilipomaliza nilirudi kile chumba alichokuwa amelala yeye kumuamsha,nikamwambia ajiandae aende dukani kwao,kwa bahati nzuri siku hiyo hakukataa,aliamka akajiandaa na alipomaliza niliondoka kumsindikiza.Aliniomba nimsindikize mpaka mjini halafu mimi ningerudi.Nilipofika mjini kuna mahala nilimwambia anishushe,akaniacha hapo yeye akaondoka na mimi nikaendelea na mambo yangu.

Kuna mahali pale mjini nilingia kupumzika kidogo,kisha nikampigia simu yule jamaa wa yadi ya magari,nilihitaji kumkumbusha kuhusu ile gari yangu niliyokuwa nimeagiza maana sikutaka yule shemeji aje pale nyumbani kwangu akute hiyo gari bado haijafika.

Nilimwambia "kesho jumamosi nina wageni na nilitaka niwe na hiyo gari,sasa toka mliponiambia mngeileta ni siku nyingi zimepita,shida ni nini?".

Jamaa aliniambia "Yaani mpaka muda huu tunavyoongea bosi gari ipo maeneo ya Nzega inakuja bosi wangu"

Nilimuuliza "Kwanini sasa hukuniambia mapema? Kwahiyo hapa mjini inafika mida gani maana kesho nahitaji niwe na hiyo gari"

Jamaa aliniambia "mida ya saa 8 mchana chombo itakuwa inaingia mjini!".

Nilimwmbia "mimi siko mbali sana na hapo kwenye yadi yako,ikishafika nipigie simu"

Kweli!,ilipofika mida ya saa 10 alasiri,jamaa ainipigia simu na akanitaka niende kwenye hiyo Yadi yake ya magatu kwani gari yangu ilikuwa ishafika.Nilifurahi sana maana niliona kila nililopanga linakwenda kama nilivyotaka!.
Nilivyofika hapo ofisini kwake niliikuta ile gari ikiwa mpya na upya wake!,kiukweli nilijiona mwenye bahati sana hapa duniani kushinda wanadamu wote.Kwakuwa yule jamaa mwenye ile Yadi nilikubaliana naye milioni 60,nilimwambia twende nyumbani akachukue hela yake iliyokuwa imebakia maana tayari nilishampatia milioni 30 ya kwanza,Kwakuwa pia alikuwa aniamini aliondoka pale na vijana wake na yeye mwenyewe akiwa na bastola kaiweka chini ya shati.Sikufahamu sababu ya yeye kufanya hivi ni nini maana tayari pesa ya kwanza nishampatia,labda alidhani angefika kwangu ningemdhulumu,kumbe hilo wazo hata sikuwa nalo kichwani mwangu.

Bila shaka akili yake ilimtuma kwamba labda mimi sikuwa na uwezo wa kumiliki VX V8 Amazon!.Tulipofika nyumbani kwangu ilipigwa honi na mlinzi akafungua geti,walianza kushangaa ile nyumba,jamaa hakuamini kama pale ni kwangu.

Jamaa aliniuliza "Bosi huu mjengo ulikugharimu kiasi gani?".

Sasa kwakuwa tangu mwanzo nilikuwa namuona kama anamashaka na mimi nilimwambia "Ulikula pesa ndogo tu kama milioni 200".

Yule jamaa alikuwa akiniangalia lakini hanimalizi,niliamua tu kumdanganya kwamba ile nyumba ilinigharimu milioni 200 ili kumuweka sawa kiakili ili asinichukulie poa,japo ile nyumba nilikuwa nimeinunua Tsh milioni 60.Niliingia chumbani kwangu na kutoa hicho kiasi cha pesa alichokuwa akinidai yule jamaa,nilianza kuzihesabu zile hela mpaka nilipofika milioni 30 nikampelekea na jamaa,kama kawaida alikuwa akinishangaa sana!.

Nilimwambia "mimi sina begi nyie jueni mtakavyobeba hizo hela"

Jamaa alimpigia simu mtu ambaye nadhani alikuwa pale ofisini kwake akamwelekeza kwamba alete begi kubwa aje na gari.Baada ya dakika kama 20 yule jamaa alifika na begi kubwa wakaanza kuzipanga zile hela na walipomaliza kuzihesabu na kupanga waliondoka zao,haikuwa kazi nyepesi lakini tulimaliza salama.Pesa zote ambazo nilikuwa nikiingia kwenye kile chumba na kuzitoa zilikuwa mpya na upya wake!,yaani mimi ndiye nilikuwa naanza kuzitumia kwa mara ya kwanza.Yule jamaa baada ya kuona na kutambua mimi ni tajiri,ndipo akaanza mazoea ya kuwa ananitafuta na kunimwagia sifa kedekede alimradi tu ajipendekeze kwangu.Tulifanikiwa kuwa marafiki wakubwa maana kuna magari mengine aliniuzia.

Basi niliwaza kwamba nimchukue yule dereva taxi ambaye amekuwa akinipeleka maeneo mbali mbali ya jiji la Mwanza na nimwachishe ile kazi aliyokuwa akifanya ili nimuajiri mimi awe ananiendesha niwe namlipa mwisho wa mwezi.

Nilimpigia simu na kumueleza akasema "wewe bosi utakuwa unanilipa kiasi gani?"

Nilimwambia ataje kiasi chochote atakachoona kwake kinamfaa kuendesha maisha yake.

Aliniambia "bosi utakuwa unanilipa laki tatu tu"


Mimi nilimwambia ningekuwa namlipa laki tano kila mwezi na ahakikishe anaachana na ile kazi ya udereva taxi ili aje nyumbani kwa ajili ya kuanza kazi.Jumamosi ilifika,mida ya saa 3 asubuhi yule dereva akawa kafika pale nyumbani na nikamkabidhi funguo ya lile gari kwa ajili ya kuanza kazi.Muda hakupita sana dada yangu yule mkubwa naye akawa kafika pale nyumbani kwa ajili ya maandalizi ya wageni.Nilimpatia hela nikamwambia aende sokoni akafanye mahemezi ya mahitaji yote ya siku hiyo kwa ajili ya wageni,yule dereva nilimwambia ampeleke dada mjini kwa ajili ya hayo mahitaji.

Dada yangu baada ya kuiona ile gari aliniuliza "Mdogo wangu hii ndiyo ile gari uliyotuambia unaileta?".

Nilimjibu "ndiyo dada ila nina mpango na wewe nikununulie gari"

Niliendelea kumwambia "Ngoja kwanza biashara zangu zikikaa sawa nitakwambia".

Nilikuwa nazuga tu maana nilitaka watu wa nyumbani waelewe kuwa ninafanya biashara kumbe mimi ni muuaji sugu!.Baada ya kuwa ameondoka niliingia ndani fasta mpaka kwenye kile chumba cha siri,niliushika mkono wangu uliyokuwa na ile irizi nikaanza kutamka kwamba "mtu yeyote asiwe na mawazo ya kutaka kuingia humu ndani wala kuuliza kuhusu hiki chumba".

Nilipomaliza kutamka hayo maneno niliondoka zangu na nikakifunga halafu funguo nikazipeleka chumbani kwangu.


Itaendelea.................

Endelea endelea tupo pamoja
 
wapi huko mumy nije fasta

Umebaki unalia lia baada ya uje kupoteza mawazo ila kuna arosto story kila weekend
 
MKASA WA PILI -Sehemu ya 30


Inaendelea.............


Sista alirudi akiwa kafungasha mahitaji kwa ajili ya maandalizi ya wageni,ilipofika mida ya saa 6 mchana yule shemeji alinipigia simu akitaka nimuelekeze nyumba yangu ilikuwa Igoma maeneo gani.Haikuchukua muda akawa kafika nje ya geti la nyumba yangu,nilisikia honi za gari zilikuwa zikipigwa.Mlinzi aliwafungulia geti,alikuja akiwa na rafiki zake wawili ambao aliniambia walikuwa wafanyakazi wenzie pamoja na watoto wake wawili.Alipofika hapo nyumbani alianza kushangaa,naweza kusema alipagawa kwa ukubwa na uzuri wa ile nyumba,japo alikuwaga na dharau lakini kwa ufahari na maisha niliyokuwa nayo wakati huo,yeye mwenyewe kwa kinywa chake ilifikia wakati akasema "haya ni zaidi ya maisha shemu".

Japo alikuwa na gari ambalo yeye
aliona kama nila kifahari lakini mimi kwangu niliona kama ya kawaida sana,enzi hizo alikuwa akiendesha Jipsum ambayo aliona ni gari la kifahari lakini mimi niliona lilikuwa la kawaida kabisa.Basi tukiwa ndani aliendelea kunitambulisha kwa hao marafiki zake na wao pia walikuwa wazuri lakini kwa kuwa mawazo yangu yote yalikuwa kwake niliona yeye ni mzuri kuliko wao!.

Aliniambia "Shemeji hawa ni marafiki zangu ninafanya nao kazi".

"Karibuni sana" niliendelea kuwakaribisha kwa bashasha.

Huyu shemeji yangu kama nilivyowahi kusema hapo awali,yeye alikuwa akifanya kazi benki moja hapo mjini na kwa wakati huo mwanaume waliyezaa naye yaani mume wake yeye alikuwa akifanya kazi mkoani Dar es salaam,hivyo alikuwa ni mtu wa kuja Mwanza mara kadhaa na kuondoka.Mumewe alikuwa jamaa mmoja mstaarabu sana lakini mke aliyekuwa naye alikuwa matatizo matupu.(nyodo,dharau na machepele).

Yule shemeji kwakuwa alikuwa akijinasibu kwamba amekaa sana Afrika Kusini,yeye kuvaa kiajabu ajabu kwake halikuwa jambo la kushangaza maana hata walivyokuja alikuwa amevaa mini sketi iliyokuwa imelichora umbo lake,sasa kwa jinsi alivyokuwa kajaaliwa na mwenyezi Mungu,kiukweli ilinipatia wakati mgumu kumtazama.Lengo langu kubwa wakati huo nilitaka nimshikishe adabu ili anyooke maana alikuwa na dharau sana,bila kusahau ya kwamba yeye ndiye chanzo cha mimi kwenda kuutafuta utajiri huo wa nguvu za giza.Nilimwambia mle ndani ya friji kulikuwa na pombe pamoja na wine,hivyo wajipimie kadri ya uwezo wao.Kwakuwa mimi sikuwa mnywaji wa pombe,hizo pombe nilizinunua kwa ajili yao maana toka nawasiliana naye siku ya kwanza aliniambia akute wine za kutosha!.Namna alivyokuwa akipenda wine haikuchukua muda yeye kufika kwenye friji na kuanza kujisevia!.

Wale rafiki zake nao inavyoonekana walikuwa wanywaji sugu maana walikunywa sana lakini nilikuwa naona wana macho makavu kweli,sasa na mimi kwakuwa pesa ilikuwepo wakati huo, nilitaka wanywe mpaka wachanganyikiwe na endapo wangeshindwa kutembea wangelala hapo nyumbani kwangu maana kulikuwa na vyumba vya kutosha.Shemeji pombe ilipoanza kumkolea niliona kaanza kuchangamka kisawasawa,alianza kukaa kwa mitego,Kiukweli yule shemeji alijaaliwa kuwa na wowowo, hili ndilo lilimfanya azidi kuwa na dharau maana aliona wanawake wenzie kama si lolote si chochote kisa tu yeye kajaaliwa umbo zuri.Basi mimi nilipoona kama mazingira yale hayanihusu niliingia zangu chumbani nikawaacha wao hapo sebuleni wakishindana nguvu na pombe.

Nilipokuwa chumbani kwangu kiukweli nilikuwa ninamvutia picha namna ambavyo siku si nyingi ningemtia mikononi,nilichukua dawa moja hivi ambayo nilieleza hapo mwanzo kwamba,endapo ulikuwa ukimuhitaji mwanamke yeyote hapa duniani na ukaitumia hiyo dawa,hakuna ambaye angeweza kukataa maana ilikuwa na nguvu za ajabu kama sumaku,niliichanganya na losheni niliyokuwa napakaa mwilini na ilipochanganyika vizuri nilijipaka mikononi pamoja na usoni kidogo kisha kuna dawa fulani ambayo ilikuwa ni ndogo kama kijiti nikakitia kwenye mfuko wa suruali.Huu mchanganyiko ulikuwa ni hatari sana na kwa yeye ilibidi niongeze dawa maana nilijua isingekuwa rahisi kumpata.
Wakati bado nipo chumbani kwangu,dada yangu alikuja kunigongea akisema chakula kipo tayari hivyo niende nikale.

Basi nilitoka zangu chumbani kuelekea sebuleni huku nikiwa nimejipulizia marashi yenye harufu nzuri.Wao niliwakuta tayari walishaanza kula huku wakiendelea na stori za hapa na pale.

Baada ya muda kidogo shem aliniambia "Shem nikimaliza kula kuna kitu nataka tuongee".

Kweli baada ya chakula aliniambia alikuwa na mazungumzo na mimi,

Nilimwambia "tuongee hapa hapa au tutoke nje?"

Alinambia "nje ingekuwa vyema sana".

Basi tulitoka nje kuelekea kukaa maeneo ya kupumzikia huku mkononi akiwa kabeba glasi ya wine akiendelea kunywa.

Aliniambia "Shemu wangu naomba unisaidie milioni 1 nitakurudishia mwezi ujao maana nilikuwa ninashida sana".

Nilimuuliza "Shemu ni hilo tu au kuna lingine?".

Alinijibu "ni hilo tu shemeji".

Nilimwambia kama ni hilo la pesa aondoe shaka maana ningempatia;Basi na mimi nilifahamu ule ndiyo ulikuwa wakati mzuri wa kumchombeza na sikuwa na wasiwasi maana nilikuwa nina dawa ambayo niliamini kwa asilimia mia moja hatochomoka!.

Nilimwambia "Hivi unajua shem kama ni upendeleo basi wewe umependelewa".

Nilianza kwanza kumpamba kwa sifa za kijinga maana nilifahamu alikuwa akipenda sifa za kijinga!.

Aliniuliza "kwanini shem?"

Ilibidi sasa niondoe uoga na aibu,ndipo nilimwambia "wewe ni mzuri sana na mumeo anafaidi sana hizo nyama ulizojaaliwa".

Bila aibu na kwasababu pombe zilianza kupanda kichwani akaniambia "hizi ni nyama tu shem hazina lolote".

Nilimwambia "Unaonaje hizo nyama shemu nami ukinipa fursa ya kuzitafuna siku moja?".

Alianza kujichekesha kama mwendawazimu kaona mkate jalalani huku akisema "hebu acha utani shemu".

Nilimwambia "Kweli shemu si utani mimi nakupenda sana ila leo kwa kuwa nimepata fursa ya kuongea na wewe imenibidi niondoe dukuduku langu".

Aliniambia "Usijali shemu ila iwe siri kati yangu mimi na wewe".

Sikutegemea kama angenipa hilo jibu maana lilinipatia faraja sana na nilifahamu fika ile dawa ilikuwa ishafanya kazi yake.Pia kwa maisha niliyokuwa nayo wakati huo,hakuna mwanamke mwenye akili timamu ambaye ningemtongoza hata pasipo dawa ambaye angenikataa,hao wanawake nilikuwa natumia dawa kuwatongoza ingawa si wote kwasababu wakati huo sikutaka kabisa usumbufu wa kipumbavu,pia nilikuwa nina roho mbaya sana na katili,hivyo nilikuwa nataka niwakomoe tu wanawake waliokuwa na nyodo na dharau za kijinga ili kuwashikisha adabu.

Basi baada ya yale mazungumzo tuliondoka kuelekea ndani,wao walikaa mpaka mida ya saa 12 jioni wakaaga wakasema wanataka kuondoka,niliingia ndani nikachukua Tsh milioni 2 nikamletea yule shemeji,yeye hakuelewa kama nimempa milioni 2 maana hakuhesabu kwa wakati huo.Sasa kwakuwa pombe zilikuwa zimewafika maji ya shingo nilimshauri ya kwamba dereva wangu awapeleke halafu lile gari lake aliache pale angelifata kesho yake pindi pombe zitakapoisha kichwani!l,na hivyo ndivyo ilivyokuwa.

Nilimwambia dereva awapeleke kwanza wao nyumbani halafu ndipo atampeleka na dada yangu nyumbani kwake.Walipoondoka pale nyumbani mimi akili yangu ilikuwa kwa yule shemeji tu,nilipanga angerudi kesho yake kuja kuchukua ile gari yake angenitambua vizuri mimi ni nani maana nilikuwa nimempania sana.

Haya mambo yote niliyafanya kipindi cha zama za giza la Ibilisi, ningekuwa na akili nilizonazo leo isingekuwa rahisi kufanya mambo ya hovyo namna hiyo.

Ilipofika mida ya saa 3 usiku yule shemeji alinipigia simu akaanza kuniambia "Ahsante sana shem,kumbe ulinipa milioni 2?".

Nilimwambia "hizo pesa usinirudishie nimekupa tu"

Aliendelea kuniambia kwamba "kesho nakuja kuchukua gari yangu naomba nikukute please!".

Tayari nilitambua alikuwa amejaa kwenye kumi na nane za mipango yangu ile miovu.Baada ya yale mazungumzo niliongia kulala, mida ya saa 4 usiku nilishitushwa na simu ya zainati.Niliamua kuipokea ile simu,ndipo alikuwa na furaha ya ajabu!,nilimuuliza "mbona una furaha sana mama?".

Akaniambia alienda kupima akaambiwa ni mjamzito na ujauzito ule ni mimi ndiye niliyempatia.

Nilimwambia "hongera sana mama"

Mimi kiukweli sikufurahi maana nilijua pamoja na furaha yake aliyokuwa nayo lakini mtoto ambaye angezaliwa ilikuwa si mali yake,bali ilikuwa mali ya wenye mali!.


Itaendelea...................
 
Ningekuwa Mimi hata maswali nisingejibu...yani unatufanyia msaada wa kutupatia mkasa na bado tunakuvimbia...kudadekii!!.ona sasa mwisho ulivyodorora.
Binamu zake ashura humu wanamatatizo Sana.
Hujui wanao zingua ndio majini hawataki Siri zao ziweke hadharani
 

Umebaki unalia lia baada ya uje kupoteza mawazo ila kuna arosto story kila weekend

asante shoga angu ngoja nianze kuupitia
 
MKASA WA PILI -Sehemu ya 30


Inaendelea.............


Sista alirudi akiwa kafungasha mahitaji kwa ajili ya maandalizi ya wageni,ilipofika mida ya saa 6 mchana yule shemeji alinipigia simu akitaka nimuelekeze nyumba yangu ilikuwa Igoma maneno gani.Haikuchukua muda akawa kafika nje ya geti la nyumba yangu,nilisikia honi za gari zilikuwa zikipigwa.

Mlinzi aliwafungulia geti,alikuja akiwa na rafiki zake wawili ambao aliniambia walikuwa wafanyakazi wenzie pamoja na watoto wake wawili.Alipofika hapo nyumbani alianza kushangaa,naweza kusema alipagawa kwa ukubwa na uzuri wa ile nyumba,japo alikuwaga na dharau lakini kwa ufahari na maisha niliyokuwa nayo wakati huo,yeye mwenyewe kwa kinywa chake ilifikia wakati akasema "haya ni zaidi ya maisha shemu".

Japo alikuwa na gari ambalo yeye
aliona kama nila kifahari lakini mimi kwangu niliona kama ya kawaida sana,enzi hizo alikuwa akiendesha Jipsum ambayo aliona ni gari la kifahari lakini mimi niliona lilikuwa la kawaida kabisa.Basi tukiwa ndani aliendelea kunitambulisha kwa hao marafiki zake na wao pia walikuwa wazuri lakini kwa kuwa mawazo yangu yote yalikuwa kwake niliona yeye ni mzuri kuliko wao!.

Aliniambia "Shemeji hawa ni marafiki zangu ninafanya nao kazi".

"Karibuni sana" niliendelea kuwakaribisha kwa bashasha.

Huyu shemeji yangu kama nilivyowahi kusema hapo awali yeye alikuwa akifanya kazi benki moja hapo mjini na kwa wakati huo mwanaume waliyezaa naye yaani mume wake yeye alikuwa akifanya kazi mkoani Dar es salaam,hivyo alikuwa ni mtu wa kuja Mwanza mara kadhaa na kuondoka.Mumewe alikuwa jamaa mmoja mstaarabu sana lakini mke aliyekuwa naye alikuwa matatizo matupu.(nyodo,dharau na machepele).

Yule shemeji kwakuwa alikuwa akijinasibu kwamba amekaa sana Afrika Kusini,yeye kuvaa kiajabu ajabu kwake halikuwa jambo la kushangaza maana hata walivyokuja alikuwa amevaa mini sketi iliyokuwa imelichora umbo lake,sasa kwa jinsi alivyokuwa kajaaliwa na mwenyezi Mungu,kiukweli ilinipatia wakati mgumu kumtazama.Lengo langu kubwa wakati huo nilitaka nimshikishe adabu ili anyooke maana alikuwa na dharau sana,bila kusahau ya kwamba yeye ndiye chanzo cha mimi kwenda kuutafuta utajiri huo wa nguvu za giza.Nilimwambia mle ndani ya friji kulikuwa na pombe pamoja na wine,hivyo wajipimie kadri ya uwezo wao.Kwakuwa mimi sikuwa mnywaji wa pombe,hizo pombe nilizinunua kwa ajili yao maana toka nawasiliana naye siku ya kwanza aliniambia akute wine za kutosha!.Namna alivyokuwa akipenda wine haikuchukua muda yeye kufika kwenye friji na kuanza kujisevia!.

Wale rafiki zake nao inavyoonekana walikuwa wanywaji sugu maana walikunywa sana lakini nilikuwa naona wana macho makavu kweli,sasa na mimi kwakuwa pesa ilikuwepo wakati huo, nilitaka wanywe mpaka wachanganyikiwe na endapo wangeshindwa kutembea wangelala hapo nyumbani kwangu maana kulikuwa na vyumba vya kutosha.Shemeji pombe ilipoanza kumkolea niliona kaanza kuchangamka kisawasawa,alianza kukaa kwa mitego,Kiukweli yule shemeji alijaaliwa kuwa na wowowo, hili ndilo lilimfanya azidi kuwa na dharau maana aliona wanawake wenzie kama si lolote si chochote kisa tu yeye kajaaliwa umbo zuri.Basi mimi nilipoona kama mazingira yale hayanihusu niliingia zangu chumbani nikawaacha wao hapo sebuleni wakishindana nguvu na pombe.

Nilipokuwa chumbani kwangu kiukweli nilikuwa ninamvutia picha namna ambavyo siku si nyingi ningemtia mikononi,nilichukua dawa moja hivi ambayo nilieleza hapo mwanzo kwamba,endapo ulikuwa ukimuhitaji mwanamke yeyote hapa duniani na ukaitumia hiyo dawa,hakuna ambaye angeweza kukataa maana ilikuwa na nguvu za ajabu kama sumaku,niliichanganya na losheni niliyokuwa napakaa mwilini na ilipochanganyika vizuri nilijipaka mikononi pamoja na usoni kidogo kisha kuna dawa fulani ambayo ilikuwa ni ndogo kama kijiti nikakitia kwenye mfuko wa suruali.Huu mchanganyiko ulikuwa ni hatari sana na kwa yeye ilibidi niongeze dawa maana nilijua isingekuwa rahisi kumpata.
Wakati bado nipo chumbani kwangu,dada yangu alikuja kunigongea akisema chakula kipo tayari hivyo niende nikale.

Basi nilitoka zangu chumbani kuelekea sebuleni huku nikiwa nimejipulizia marashi yenye harufu nzuri.Wao niliwakuta tayari walishaanza kula huku wakiendelea na stori za hapa na pale.

Baada ya muda kidogo shem aliniambia "Shem nikimaliza kula kuna kitu nataka tuongee".

Kweli baada ya chakula aliniambia alikuwa na mazungumzo na mimi,

Nilimwambia "tuongee hapa hapa au tutoke nje?"

Alinambia "nje ingekuwa vyema sana".

Basi tulitoka nje kuelekea kukaa maeneo ya kupumzikia huku mkononi akiwa kabeba glasi ya wine akiendelea kunywa.

Aliniambia "Shemu wangu naomba unisaidie milioni 1 nitakurudishia mwezi ujao maana nilikuwa ninashida sana".

Nilimuuliza "Shemu ni hilo tu au kuna lingine?".

Alinijibu "ni hilo tu shemeji".

Nilimwambia kama ni hilo la pesa aondoe shaka maana ningempatia;Basi na mimi nilifahamu ule ndiyo ulikuwa wakati mzuri wa kumchombeza na sikuwa na wasiwasi maana nilikuwa nina dawa ambayo niliamini kwa asilimia mia moja hatochomoka!.

Nilimwambia "Hivi unajua shem kama ni upendeleo basi wewe umependelewa".

Nilianza kwanza kumpamba kwa sifa za kijinga maana nilifahamu alikuwa akipenda sifa za kijinga!.

Aliniuliza "kwanini shem?"

Ilibidi sasa niondoe uoga na aibu,ndipo nilimwambia "wewe ni mzuri sana na mumeo anafaidi sana hizo nyama ulizojaaliwa".

Bila aibu na kwasababu pombe zilianza kupanda kichwani akaniambia "hizi ni nyama tu shem hazina lolote".

Nilimwambia "Unaonaje hizo nyama shemu nami ukinipa fursa ya kuzitafuna siku moja?".

Alianza kujichekesha kama mwendawazimu kaona mkate jalalani huku akisema "hebu acha utani shemu".

Nilimwambia "Kweli shemu si utani mimi nakupenda sana ila leo kwa kuwa nimepata fursa ya kuongea na wewe imenibidi niondoe dukuduku langu".

Aliniambia "Usijali shemu ila iwe siri kati yangu mimi na wewe".

Sikutegemea kama angenipa hilo jibu maana lilinipatia faraja sana na nilifahamu fika ile dawa ilikuwa ishafanya kazi yake.Pia kwa maisha niliyokuwa nayo wakati huo,hakuna mwanamke mwenye akili timamu ambaye ningemtongoza hata pasipo dawa ambaye angenikataa,hao wanawake nilikuwa natumia dawa kuwatongoza ingawa si wote kwasababu wakati huo sikutaka kabisa usumbufu wa kipumbavu,pia nilikuwa nina roho mbaya sana na katili,hivyo nilikuwa nataka niwakomoe tu wanawake waliokuwa na nyodo na dharau za kijinga ili kuwashikisha adabu.

Basi baada ya yale mazungumzo tuliondoka kuelekea ndani,wao walikaa mpaka mida ya saa 12 jioni wakaaga wakasema wanataka kuondoka,niliingia ndani nikachukua Tsh milioni 2 nikamletea yule shemeji,yeye hakuelewa kama nimempa milioni 2 maana hakuhesabu kwa wakati huo.Sasa kwakuwa pombe zilikuwa zimewafika maji ya shingo nilimshauri ya kwamba dereva wangu awapeleke halafu lile gari lake aliache pale angelifata kesho yake pindi pombe zitakapoisha kichwani!l,na hivyo ndivyo ilivyokuwa.

Nilimwambia dereva awapeleke kwanza wao nyumbani halafu ndipo atampeleka na dada yangu nyumbani kwake.Walipoondoka pale nyumbani mimi akili yangu ilikuwa kwa yule shemeji tu,nilipanga angerudi kesho yake kuja kuchukua ile gari yake angenitambua vizuri mimi ni nani maana nilikuwa nimempania sana.

Haya mambo yote niliyafanya kipindi cha zama za giza la Ibilisi, ningekuwa na akili nilizonazo leo isingekuwa rahisi kufanya mambo ya hovyo namna hiyo.

Ilipofika mida ya saa 3 usiku yule shemeji alinipigia simu akaanza kuniambia "Ahsante sana shem,kumbe ulinipa milioni 2?".

Nilimwambia "hizo pesa usinirudishie nimekupa tu"

Aliendelea kuniambia kwamba "kesho nakuja kuchukua gari yangu naomba nikukute please!".

Tayari nilitambua alikuwa amejaa kwenye kumi na nane za mipango yangu ile miovu.Baada ya yale mazungumzo niliongia kulala, mida ya saa 4 usiku nilishitushwa na simu ya zainati.Niliamua kuipokea ile simu,ndipo alikuwa na furaha ya ajabu!,nilimuuliza "mbona una furaha sana mama?".

Akaniambia alienda kupima akaambiwa ni mjamzito na ujauzito ule ni mimi ndiye niliyempatia.

Nilimwambia "hongera sana mama"

Mimi kiukweli sikufurahi maana nilijua pamoja na furaha yake aliyokuwa nayo lakini mtoto ambaye angezaliwa ilikuwa si mali yake,bali ilikuwa mali ya wenye mali!.


Itaendelea...................

Endelea mkuu we weka hata kumi kwa siku tukija tuna shuka tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom