Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Hapa nimejifunza kitu..
Usione mtu kachepuka/kakuacha /upendo umepungua ukajua ni hali ya kawaida aisee jamani maombi ni muhimu sana kwenye mahusiano/ndoa zetu, Mungu atusaidie kwakweli..
Hivi unaamini yote yanayohadithiwa humu? me myself and i nikikutaka kimapenzi njia nyingi sana za kawaida tu deal done.
 
Wakuu najua haiwahusu ila kisa kule kwenye group kimefikia patamu Sana tuko episode ya 71 saizi full mauza uza malkia anafanya mambo ya ajabu lwanda kashakua doni balaa
NB bila kusahau shipa la kimkakati linapigwa hatari

Samahanini ndugu zangu
weka picha
 
Mkuu naomba hiyo namba ya kutuma pesa nami nijiungr huko.
Hii story nmeshaikosa ingawaje nmetuma buku ya mb,masimu ya kichina yakshajaa vitu vingi huwa hayaruhusu kudownload ktu,n bora utumie WhatsApp maana kila mtu anayo
 
Telegram ni km jf tu unatumia username una hide kila kitu hakuna anaekujua huyu lwanda mwenyewe huku telegram hatumjui

Na buku sio kitu hata km unalipia stori kuna vitabu vinaizwa 20 jmn eb acheni kupenda vitonga mtu anatumia bundle na muda wake kukufurahisha unataka iwe bure

IMG_4892.jpg
 
Jamani lupatu
Saka kwanza utajiri kisha ndo uende lupata hatari sana sio wachawi tu hata waganga watakuogopa wakikujaribu kuanzia mganga alipewa kazi,jini atakayetumia na mhusika anayetaka kukuroga iwe hata ni mwanamke anataka kukuwekea limbwata lazima tuwapige chepe ndo maana unashauriwa ukiwa na kinga hii uwe muwaz kwa watu wako wa karibu
Mkuu lupatu Ndiyo wapi nifungueni akili
 
Ushauri kwa LwandaMagere we si upo mwanza mzee mtafute basi zabroni mwita akusaidie mtoe kitabu bila shaka wengi wana mjua ana kitabu cha sitoisahau gamboshi Maana ye alishachukuliwa na wachawi na kupelekwa ukogamboshi ila mungu mwema alifanikiwa kurudi duniani mzee kitabu hiki utapga pesa ndefu zabron alishapata mpaka m 100 na machenchi kupitia ushuhuda wake. kwa hicho kitabu chake alafu hapa usiache kusimulia, maliza na ukitoa kitabu utapiga pesa mim nimesoma kitabu chake zabron alinitumia kwa wasap through hard copy lakini pia kuna Chanel ipo YouTube ya davistar mata media story take ipo furu mpka zabron mwenyewe unamuona akisimulia na ameshawai simulia redio free Africa hii sitosahau gamboshi wengi humu wanamjua juzi kati ndio kamalizia story yake. Kwaiyo zabron alisimulia story yake ya maisha na akatoa na kitabu so asikuzie mtu kusimulia eti kisa autauza kitabu waongo, izo pesa sasa ndio utapata kwenye hiki kitabu. NB sija tangaza biashara ya mtu nimetoa ushauri kwa mshkaji maana naweza pokea mapovu kibao kwa watu ambao sio waelewa, ZABRON anafahamika na wengi wana mjua na hii story ya sitosahau GAMBOSHI mpaka boss wa publish jina kapuni ambae anajulikana kwa hadithi nyingi gazetini alitaka kumtapeli ambae saiz ni muheshimiwa mkubwa tu mjiongezee na bila shaka msha elewa ndio ivyo mzee ushauri wangu kwako.
Yaani Shigongo siyo?
 
Ushauri kwa LwandaMagere we si upo mwanza mzee mtafute basi zabroni mwita akusaidie mtoe kitabu bila shaka wengi wana mjua ana kitabu cha sitoisahau gamboshi Maana ye alishachukuliwa na wachawi na kupelekwa ukogamboshi ila mungu mwema alifanikiwa kurudi duniani mzee kitabu hiki utapga pesa ndefu zabron alishapata mpaka m 100 na machenchi kupitia ushuhuda wake. kwa hicho kitabu chake alafu hapa usiache kusimulia, maliza na ukitoa kitabu utapiga pesa mim nimesoma kitabu chake zabron alinitumia kwa wasap through hard copy lakini pia kuna Chanel ipo YouTube ya davistar mata media story take ipo furu mpka zabron mwenyewe unamuona akisimulia na ameshawai simulia redio free Africa hii sitosahau gamboshi wengi humu wanamjua juzi kati ndio kamalizia story yake. Kwaiyo zabron alisimulia story yake ya maisha na akatoa na kitabu so asikuzie mtu kusimulia eti kisa autauza kitabu waongo, izo pesa sasa ndio utapata kwenye hiki kitabu. NB sija tangaza biashara ya mtu nimetoa ushauri kwa mshkaji maana naweza pokea mapovu kibao kwa watu ambao sio waelewa, ZABRON anafahamika na wengi wana mjua na hii story ya sitosahau GAMBOSHI mpaka boss wa publish jina kapuni ambae anajulikana kwa hadithi nyingi gazetini alitaka kumtapeli ambae saiz ni muheshimiwa mkubwa tu mjiongezee na bila shaka msha elewa ndio ivyo mzee ushauri wangu kwako.
Yaani Shigongo siyo?
 
Safi sn kwa mtililiko mzuli ila kwa sasa nakushauli uwe unandika pembeni kama hivi ukiona mtililiko wa matukio ya kuona kwa uhalisia siku ata director akapata adia ya true story....jamaa yako anapatikana wpi apa apa dar au nje ya dar?
 
Alishasema hapo kwenye story yake pesa inaendana na shetani. Kampa nguvu shetani. Kwa mara nyingine katika maiaha yake shetani ameshinda. Huyu jamaa bana. Kaanza na kusema kuna watu wanataka kununua story aone uelekeo. Kaja tena na kuhamia telegram. Ishu sio buku ishu ni tamaa ya msimuliaji. Kwani tokea mwanzo alikua anasisitiza ni yeye mwenyewe kaamua kusimulia story ya maisha yake kilichomsibu tena kuhamisha uelekeo ni nini. Bora angeendelea kuomba hela ya vocha hapa hapa.

Mkuu sema simu yako haitumii Telegram

Sisi tunaenjoy Stori balaaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom