Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
hli ni swali au ni msisitizo? huoni kuwa tupo gizani tayari?Kwakuwa umeme wa nguvu za maji umegonga mwamba,
Na kwakuwa umeme wa nguvu za upepo tumeushindwa,
Na kwa kuwa umeme wa nguvu za nyuklia hatuuwezi,
Na kwakuwa umeme wa nguvu za jua tunauogopa,
Je,Bunge hili tukufu halioni wakati umefika tujaribu umeme wa Nguvu za GIZA?
Imepita hoja haijapita??b'' magamba''Hoja imepita mueshimiwa?Kwakuwa umeme wa nguvu za maji umegonga mwamba,Na kwakuwa umeme wa nguvu za upepo tumeushindwa,Na kwa kuwa umeme wa nguvu za nyuklia hatuuwezi,Na kwakuwa umeme wa nguvu za jua tunauogopa,Je,Bunge hili tukufu halioni wakati umefika tujaribu umeme wa Nguvu za GIZA?
nafikiri we umesahau! ya kuwa kandambili sio kiatu!!