Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,184
- 671
Ni one side of union hamuoni kua hamna mvuto wa kitaifa ?
In Zanzibar 200 members; that is enoughNi one side of union hamuoni kua hamna mvuto wa kitaifa ?
Chadema ni chama kilikosa mvuto wa kitaifa na kitakufa karibuni kama kuna chama mbadala basi ningesema cuf alau kina mtazamo wa kitaifa
chama cha cuf kina wabunge sehemu zote kuu za jamhuri ya muunganlo:
Kina wabunge toka pemba
kina wabunge toka unguja ( pemba na unguja inaunda jamhuri ya watu wa zanzibar)
kina wabunge tanzania bara (ambayo inaunda jamhuri ya tanganyika)
chadema kimejionyesha kua ni chama hatari na ndio maaana wazanzibari kwanza hawakikubali
ni chama ambacho kimejikita katika ubaguzi na kubaguana na kueka udini kwa sana
ni chama hatari kwa taifa na wananchi weshaliona na watazidi kuliona
nnaona mwisho wa chadema uko karibu sana
I think Chadema is beyond that. CCM imeshachelewa, moto umeshawashwa, kuuzima inahitaji nguvu kubwa kuliko kuzima moto wa California. Chadema ina wazee wenye busara, na hawa ndio wanaoifanya Chadema ishinde majaribu ya CCM. Kumbukeni msuguano wa Zito na Mbowe kwenye nafasi ya uenyekiti, Zito alitumika, lakini sense zikamrudia baada ya wazee wa Chadema kutumia busara kumtuliza.CHADEMA should not underestimate this advice. Kweli CCm wamekuwa wakijitahidi saaana kuingiza mamluki. Vile vile kuna wanachama waliojiunga wakati wa kampeni lengo lilikua ni kupata info za ndani ya CHADEMA nao waangaliwe kwa umakini wa hali ya juu kabla ya
ya kuwapatia majukumu makubwa yanayoweza kukiangusha chama pale yanapotoshwa kwa makusudi ili kuleta mfarakano kwenye chama.
1. CHADEMA KIMESHINDWA UCHAGUZI, KIKUBALI.
2. CHADEMA INABIDI KIJISAFISHE NA KITAKATE, kwani kutumia barua ya kuchakachua ili kutoa TUHUMA NZITO ni kudhihirisha umakini mchache; haiwezekani kutumia Barua ya kuchakachua na kuiwasilisha NEC au popote pale kama ushahidi. Chadema itakufa natural death if corrective measures hazitochukuliwa na Chama hicho; ikiwemo:-
(a) Kutambua matokeo ya Uchaguzi na kumtambua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ni kinyume na utawala wa sheria kwa mtu, kikundi au taasisi kutotambua uongozi wa mamlaka nchini.
(b) kukubali kushindwa ili kuheshimu demokrasia.
(c) Kuomba radhi Watanzania kwa kosa la kuwadanganya kwa kutumia barua iliyochakachuliwa.
(d) Kuwaambia wafuasi wake kuwa fujo na vurugu sio vitissho vitakavyowafanya watanzania waogope kupiga kura kufanya uchaguzi wanaoutaka.
Chadema ni chama kilikosa mvuto wa kitaifa na kitakufa karibuni kama kuna chama mbadala basi ningesema cuf alau kina mtazamo wa kitaifa
chama cha cuf kina wabunge sehemu zote kuu za jamhuri ya muunganlo:
Kina wabunge toka pemba
kina wabunge toka unguja ( pemba na unguja inaunda jamhuri ya watu wa zanzibar)
kina wabunge tanzania bara (ambayo inaunda jamhuri ya tanganyika)
chadema kimejionyesha kua ni chama hatari na ndio maaana wazanzibari kwanza hawakikubali
ni chama ambacho kimejikita katika ubaguzi na kubaguana na kueka udini kwa sana
ni chama hatari kwa taifa na wananchi weshaliona na watazidi kuliona
nnaona mwisho wa chadema uko karibu sana