Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 46,920
- 122,183
manzese dizain city
manzese dizain city
Hahahaaaaaaaaa si Dar jamaniAisee.
Ivi kuna mji wowote kwetu unaweza kukopiwa na wachina wakaenda kuujenga kwao!!
Hahahahaaaaa ulijuaje yani hayo ndo maeneo mazuri ya wachina kuyacopy tena wafanye haraka kuja kabla ya watu kufanya mambo ya hati milikiManzese na mchikichini eeehh
Hahahahaaaa kwa kuwa tumeshawashtukia hao lazima tutawapiga tu hela ya kueleweka
Wachelewe kwanza ili wakija wakitaka kukopi tuwapige pesa ndefu
Miji gani unaozungumzia wakati tangu tupate Uhuru hakuna mji wowote tuliouanzisha hii mikubwa yote ilianzisha na wakoloni na Kwa kukopi Ramani za miji ya ulaya na ambapo hawakuimalisha tukawafukuza (kudai Uhuru) ambapo tusingewafukuza ingekuwa ya Kisasa na iliyopangika kuliko sasa.Hivo hata tukiwa na hati miliki bado wanaweza wakaenda London archive watapata ramani ya mji wowote wa koloni La muingereza.Labda wakopi mitaa yetu ya uswazi,nyumba,bar,kanisa,msikiti,madambo ya taka,makaburi kila kitu akipo kwenye mpangilio.Then waseme hii ni third world.Wachina hawajambo kwa ku copy na ku paste ona walivyo copy na ku paste miji ya London na Paris na kuijenga kwao.
Wachina hawajambo kwa ku copy na ku paste ona walivyo copy na ku paste miji ya London na Paris na kuijenga kwao.
Viongozi wa CHADEMA watafute hatimiliki haraka za hili jengo wachina wasije copyMji upi huo kwenu mtu atacopy nini,hilo jengo lenu lumumba halina tofauti na banda la kuku,labda wakopi chattle ndio kijiji chenye trafficlight wanavuka punda na mikokoteni
Hahahhahaaaaa kweli kabisaCha bure mjini ni salamu tu
Heri wao mali zote za ccm wameiba kwa watanzania hawajawahi kujenga kwa hela ya chama,ndio mana mnapata laana ya kua na michicha mwiba,uvccm vijana wengi ni michicha mwibaViongozi wa CHADEMA watafute hatimiliki haraka za hili jengo wachina wasije copy