Dodoma iko apiKuna taasisi 48 za kifedha zilizosajiliwa Tanzania ambazo zina matawi zaidi ya 950. Ukiondoa Dar, kituo kikuu cha kifedha nchini, hapo chini ni vituo vingine muhimu kwa kuangalia idadi ya matawi ya benki kwenye mkoa uliopo kituo husika. Vituo vyote vina takriban 50% ya matawi yote nchini; hii kwa mujibu wa ripoti ya sekta ya fedha ya mwaka 2020 kutoka Benki Kuu ya Tanzania.
1. Dar es Salaam (284)
2. Mwanza (67)
3. Arusha (65)
4. Moshi (48)
Chanzo: Benki Kuu ya Tanzania
#JamboLetuLipo
Dodoma iko api
Hadhi ya Moshi ni jijihivi moshi ni mji ?
Mji mkubwa na ulioendelea kiuchumi kuzidi Dodoma, Tanga, Mbeya, nk kama benki kuu inavyoonesha hapo juu.hivi moshi ni mji ?
Mji umepauka kama takoHadhi ya Moshi ni jiji
Mji mkubwa na ulioendelea kiuchumi kuzidi Dodoma, Tanga, Mbeya, nk kama benki kuu inavyoonesha hapo juu.
HapanaHuo mzigo wote wako au?
#MaendeleoHayanaChama
😆😁😄😃😀Dodoma iko api