tatum
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 5,786
- 4,490
Nakumbuka sana wakati ule kabla ya tarehe 26 April 2018 ambayo ni sikukuu ya Mapinduzi ya Zanzibar kulikuwa na taarifa nyingi sana za maandilizi ya maandamano ndani na nje ya nchi yakishawishiwa na kuratibiwa na mwanadada Mange Kimambi wa huko Marekani.
Watu wengi na hasa vijana walikuwa busy sana na mitandao kiasi cha kupunguza sana kwa wengi kufanya kazi kwa ufanisi badala yake ni kujua Mange amesema nini leo
Hali naona inajirudia kwa tena baada ya Mhe Tundu Lissu kuanza ziara zake na kuongea na watanzania wa nchi mbalimbali ingawa mpaka sasa ameongea na wanaoishi Marekani tu lakini kila mtandao ukifungua kuna taarifa za Tundu Lissu na majibizano mengi na mijadala mingi inaanzishwa na hivyo kufanya wengi makazini kupunguza ufanisi nwa utendaji wao hiyo ni automatic wala haiitaji formula kujua.
Muda ambao mfanyakazi au mfanyabiashra au hata mimi kutumika kuandika kuhusu Lissu kunapunguza muda wa kufanya kazi yangu kwa viwango vinavyokubalika na hivyo uzalishaji kupungua automatic.
Ifike mahali watz tutambue kuwa wakati ni mali.
Sitaandika tena kuhusu Lissu wala kuchangia mada inayomuhusu
Watu wengi na hasa vijana walikuwa busy sana na mitandao kiasi cha kupunguza sana kwa wengi kufanya kazi kwa ufanisi badala yake ni kujua Mange amesema nini leo
Hali naona inajirudia kwa tena baada ya Mhe Tundu Lissu kuanza ziara zake na kuongea na watanzania wa nchi mbalimbali ingawa mpaka sasa ameongea na wanaoishi Marekani tu lakini kila mtandao ukifungua kuna taarifa za Tundu Lissu na majibizano mengi na mijadala mingi inaanzishwa na hivyo kufanya wengi makazini kupunguza ufanisi nwa utendaji wao hiyo ni automatic wala haiitaji formula kujua.
Muda ambao mfanyakazi au mfanyabiashra au hata mimi kutumika kuandika kuhusu Lissu kunapunguza muda wa kufanya kazi yangu kwa viwango vinavyokubalika na hivyo uzalishaji kupungua automatic.
Ifike mahali watz tutambue kuwa wakati ni mali.
Sitaandika tena kuhusu Lissu wala kuchangia mada inayomuhusu