Sleimankhrsy
Member
- May 27, 2019
- 47
- 6
Kumbe hili jukwaa limejaa maarifa hivi.
Nilikuwa napitwa sana nimetamani kulia baada ya kuona yote haya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe hili jukwaa limejaa maarifa hivi.
Kodisha vyumba kumi vya elfu 30 kwa mwezi means laki moja na elfu 80 kwa miezi sita tafta malaya wapangishe nunua nitanda kumi vya laki na themanini pamoja na godoro jumla milioni 3 na laki sita tafuta malaya wazoefu kila siku wakulipe elfu kumi tuu maana yake kila siku laki mara mwezi laki tatu kwa vyumba kumi milioni 3 mara miezi 6 milioni 18 utaneemeka amini hivo
Hii nitaifanya!Kodisha vyumba kumi vya elfu 30 kwa mwezi means laki moja na elfu 80 kwa miezi sita tafta malaya wapangishe nunua nitanda kumi vya laki na themanini pamoja na godoro jumla milioni 3 na laki sita tafuta malaya wazoefu kila siku wakulipe elfu kumi tuu maana yake kila siku laki mara mwezi laki tatu kwa vyumba kumi milioni 3 mara miezi 6 milioni 18 utaneemeka amini hivo
Kodisha vyumba kumi vya elfu 30 kwa mwezi means laki moja na elfu 80 kwa miezi sita tafta malaya wapangishe nunua nitanda kumi vya laki na themanini pamoja na godoro jumla milioni 3 na laki sita tafuta malaya wazoefu kila siku wakulipe elfu kumi tuu maana yake kila siku laki mara mwezi laki tatu kwa vyumba kumi milioni 3 mara miezi 6 milioni 18 utaneemeka amini hivo
Mim nakushauri ununue ardhi ukimaliza kitakusaidia ,na baadae utamaliza chuo utauza kwa bei nzurii
Nenda jukwaa la biashara kuna ushauri huko na thread za kile anachotaka.Hili swali nimeulizwa na Mwenzetu mmoja ambaye baada ya kukosa ajira rasmi ameamua ajikite kwenye ujasiria mali.
Ndugu huyu kapata msaada wa Cash hiyo na ameona aifanyie kazi ikiwezekana kazi hiyo iwe ndio msingi wa maisha yake.
Pakulala anapo.
Karibuni kwa ushauri constructive Wadau.
Mi ushauri wangu kwanza ajue mtaji wake ni minus buku 20 za kitambulisho!Hili swali nimeulizwa na Mwenzetu mmoja ambaye baada ya kukosa ajira rasmi ameamua ajikite kwenye ujasiria mali.
Ndugu huyu kapata msaada wa Cash hiyo na ameona aifanyie kazi ikiwezekana kazi hiyo iwe ndio msingi wa maisha yake.
Pakulala anapo.
Karibuni kwa ushauri constructive Wadau.
sasa si ndo ujibadilishe kuwa boss?? yaan badala ya kumkusanyia boss dhahabu sasa uwe unajikusanyia mwenyeweKaka kuchimba dhahabu kusikie tu hii kazi siyo ya sport sport nimefanya hiyo kwa miaka 5 sija fanikiwa mkuu isipokwa nilikuwa nikipata visent vya kula tu
Sasa ikatokea boss mmoja kaniamini nikawa na mnunulia hivo faida yangu nikawa na weka dhahabu mpaka kufikia hatua hii niliyo fikia sasa nahitaji kubadirisha upepo na mimi ng'ae
unajua bei za laptop?Jamaa jiusishe na biashara za uuzaji Wa vifaa vya electronic like laptops na simu utafurai mwenyewe iyo pesa inatosha sana mengine jiongeze