Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 28,811
- 39,019
Nunua birika tano zile za kuuzia kahawa,tafuta vijana watano wakabizi hizo birika wauze kahawa maeneo ya mikusanyiko ya watu,baada ya hapo anza kuhesabu faida.Wadau naomba ushauri kwa mtaji wa laki mbili naweza Fanya kitu gani ili niweze kukidhi mahitaji mbalimbali katika maisha, eneo nililopo ni Mara-Tarime.
Sent using Jamii Forums mobile app