Mijadala ya Matatizo ya Magonjwa mbalimbali yaliyotolewa ufafanuzi

Matumb makubwa kwa wanaawake husababishwa na nn
Labda uzazi.

Kuna dawa ya kupaka hio toka India. Bei ni USD 88.

Jaribu ku Google upate details zaidi.
 

Attachments

  • 1452937378692.jpg
    1452937378692.jpg
    38.1 KB · Views: 370
Ndugu yangu anatatizo la kutetemeka hadi anashindwa kushika kitu akiwa mbele za watu msaada wenu unahitajika jamaa ni mzuri sana tatizo lake ni hilo tu
 
Jamani naomba msaada wa mawazo tafadhari, nimeolewa nina miaka mitatu kwenye ndoa lakini sijabahatika kupata mtoto cha kushangaza ni kwamba tangumeezi January sijapata siku zangu ninakila dalili ya mimba lakini vipimo vinaonesha sina mimba na utrasound insonyesha ndani ya uterus kuna mkusanyiko wa damu ambao si uvimbe wala si mtoto, Cha ajabu nasikia kit kinacheza tumboni na tumbo linakua kubwa. Kiukweli na mimi natamani kuitwa mama naombeni ushauri.
 
Just prayers and fasting na mambo yako ita kuwa sawa and soon you will be mama blessings
 
Madaktari wana kawaida moja. Wakimtbia mgonjwa au kumpa ushauri wanataa kujua anaendeleaje. Tatizo la wanaoomba ushauri hapa JF Doctor, wakipewa ushauri wa kitaalam kabisa wanaingia mitini. Aliyetoa ushauri hapati feedback kama ushauri ule umesaidia au la ili afikirie kama kuuboresha au kuendelea nao. Personally hicho kitu ndicho kimenipunguzia "mzuka" wa kutoa ushauri under JF Doctor forum.
Tatizo ni akili za mwendokasi..
 
Habari wana JF,

Hii thread imekusanya topic zote zilizokuwa sticky's zikiwa awali zimewekwa kwa urahisi wa kuwafikia/kuipata watumiaji mbali mbali ambao wanahitaji kuelewa baadhi ya mambo katika baadhi ya threads.

Hii ni moja ya njia ya utatuzi wa kupunguza idadi za Sticky's katika Jukwaa.

ELIMUTIBA: Jinsi ya kujieleza kwa Daktari

Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu sehemu za siri: Dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Masundosundo mwilini na sehemu za siri (Genital & Skin Warts)


Punyeto: Nini madhara yake?

Mke anakwepa sana tendo la ndoa, nini kifanyike?

Kufanya ngono wakati wa hedhi


Uume kusinyaa

Homa ya Degedege Ni Nini?


Dawa za Nguvu za Kiume kwa anayetaka!

Dawa na njia mbadala za Kupunguza unene/uzito | Weight Loss techniques and advice

Dawa za kurefusha na kunenepesha uume na njia mbadala

Ugonjwa wa Vidonda Vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

Tendo la Ndoa: Faida/umuhimu wa kushiriki tendo hili

Having sex with a pregnant woman: What time (month) in her pregnancy I have to stop?

Fahamu matumizi na faida za asali katika afya ya binadamu

Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

Kunuka kikwapa: Ni ugonjwa au uchafu?

Kufanya Ngono kinyume na Maumbile

Njia gani za kutumia ili kuacha kabisa unywaji wa pombe?

Kuchutama (Squatting) Njia Salama ya Kwenda Haja

Umri gani ni sahihi kumtahiri mtoto wa kiume?

Tatizo la uke kutoa harufu kali | Vaginal Odor(smell)

Fahamu kuhusu Mabusha (Hydrocele)

Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All? [Kuwahi au kuchelewa kumwaga]

Kupungua au kukosa hamu ya kufanya mapenzi (low sexual libido or loss of libido)

Uzazi wa Mpango - Njia za kuzuia, aina ya Uzazi wa mpango na ushauri

Tohara na UKIMWI

Madhara ya kula nyama ya Nguruwe/Kitimoto kwa afya yako...

Chembe ya moyo ni nini? Inatokana na nini?

Tatizo la Kukosa Usingizi (Insomnia) na tiba yake

UHANITHI baada ya kitovu cha mtoto kukatika na kudondokea sehemu zake za siri

Dawa na njia mbadala ya kuotesha na kurutubisha nywele kwa wenye vipara

Kuwashwa sehemu za siri (wanawake)

Mwanaume kuwa na sauti nyembamba, kuota matiti, kuwa na mahips/wowowo yaliyotuna

Tatizo la kutoshika mimba

Kifafa cha mimba

Je shahawa zina madhara kiafya iwapo nitazimeza?

Kutokwa Damu kwenye Fizi: Ni ugonjwa au Ukosefu wa vitamini?

Kipandauso (migraine): Chanzo, Dalili, Tiba na jinsi ya kujikinga na tatizo hili

Kujisikia kichefuchefu na kutapika wakati wa ujauzito (Morning Sickness)

Tatizo la Kuvimba Miguu: Chanzo, Ushauri, dawa na tahadhari (pamoja na wajawazito)

Msaada: Nifanyeje niache kujichua/kupiga punyeto

Wanawake kuota Ndevu na Vipara: Chanzo, tahadhari na tiba yake

Kuzamia Chumvini si Kuzuri?

Maumivu makali ya tumbo wakati wa kuanza hedhi (period)


Wanawake: Tatizo la Kutokwa na Uchafu Ukeni na jinsi ya kukabiliana nalo

Maumivu ya Korodani/pumbu, kuvimba kwake na ushauri wa matibabu

Tatizo la kupata choo kigumu au kukosa choo kwa muda mrefu (Constipation)...


Harufu mbaya mdomoni (bad breath) - Chanzo, dawa za kuzuia na ushauri


Ujue ugonjwa wa Mba na Tiba yake


Ulaji wa Pilipili: Faida na athari zake


Ushauri na Tiba ya kikohozi na mafua


Ushauri na Tiba ya kikohozi na mafua kwa watoto



Pamoja Sana,

AshaDii.
Nimekukubali sana mkuu yaani umeniwekea mambo yamekuwa mterezo bhana big up.....
 
Habari wana JF,

Hii thread imekusanya topic zote zilizokuwa sticky's zikiwa awali zimewekwa kwa urahisi wa kuwafikia/kuipata watumiaji mbali mbali ambao wanahitaji kuelewa baadhi ya mambo katika baadhi ya threads.

Hii ni moja ya njia ya utatuzi wa kupunguza idadi za Sticky's katika Jukwaa.

ELIMUTIBA: Jinsi ya kujieleza kwa Daktari

Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu sehemu za siri: Dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Masundosundo mwilini na sehemu za siri (Genital & Skin Warts)


Punyeto: Nini madhara yake?

Mke anakwepa sana tendo la ndoa, nini kifanyike?

Kufanya ngono wakati wa hedhi


Uume kusinyaa

Homa ya Degedege Ni Nini?


Dawa za Nguvu za Kiume kwa anayetaka!

Dawa na njia mbadala za Kupunguza unene/uzito | Weight Loss techniques and advice

Dawa za kurefusha na kunenepesha uume na njia mbadala

Ugonjwa wa Vidonda Vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

Tendo la Ndoa: Faida/umuhimu wa kushiriki tendo hili

Having sex with a pregnant woman: What time (month) in her pregnancy I have to stop?

Fahamu matumizi na faida za asali katika afya ya binadamu

Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

Kunuka kikwapa: Ni ugonjwa au uchafu?

Kufanya Ngono kinyume na Maumbile

Njia gani za kutumia ili kuacha kabisa unywaji wa pombe?

Kuchutama (Squatting) Njia Salama ya Kwenda Haja

Umri gani ni sahihi kumtahiri mtoto wa kiume?

Tatizo la uke kutoa harufu kali | Vaginal Odor(smell)

Fahamu kuhusu Mabusha (Hydrocele)

Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All? [Kuwahi au kuchelewa kumwaga]

Kupungua au kukosa hamu ya kufanya mapenzi (low sexual libido or loss of libido)

Uzazi wa Mpango - Njia za kuzuia, aina ya Uzazi wa mpango na ushauri

Tohara na UKIMWI

Madhara ya kula nyama ya Nguruwe/Kitimoto kwa afya yako...

Chembe ya moyo ni nini? Inatokana na nini?

Tatizo la Kukosa Usingizi (Insomnia) na tiba yake

UHANITHI baada ya kitovu cha mtoto kukatika na kudondokea sehemu zake za siri

Dawa na njia mbadala ya kuotesha na kurutubisha nywele kwa wenye vipara

Kuwashwa sehemu za siri (wanawake)

Mwanaume kuwa na sauti nyembamba, kuota matiti, kuwa na mahips/wowowo yaliyotuna

Tatizo la kutoshika mimba

Kifafa cha mimba

Je shahawa zina madhara kiafya iwapo nitazimeza?

Kutokwa Damu kwenye Fizi: Ni ugonjwa au Ukosefu wa vitamini?

Kipandauso (migraine): Chanzo, Dalili, Tiba na jinsi ya kujikinga na tatizo hili

Kujisikia kichefuchefu na kutapika wakati wa ujauzito (Morning Sickness)

Tatizo la Kuvimba Miguu: Chanzo, Ushauri, dawa na tahadhari (pamoja na wajawazito)

Msaada: Nifanyeje niache kujichua/kupiga punyeto

Wanawake kuota Ndevu na Vipara: Chanzo, tahadhari na tiba yake

Kuzamia Chumvini si Kuzuri?

Maumivu makali ya tumbo wakati wa kuanza hedhi (period)


Wanawake: Tatizo la Kutokwa na Uchafu Ukeni na jinsi ya kukabiliana nalo
https://www.jamiiforums.com/jf-doct...mbu-kuvimba-kwake-na-ushauri-wa-matibabu.html
Maumivu ya Korodani/pumbu, kuvimba kwake na ushauri wa matibabu

Tatizo la kupata choo kigumu au kukosa choo kwa muda mrefu (Constipation)...


Harufu mbaya mdomoni (bad breath) - Chanzo, dawa za kuzuia na ushauri


Ujue ugonjwa wa Mba na Tiba yake


Ulaji wa Pilipili: Faida na athari zake


Ushauri na Tiba ya kikohozi na mafua


Ushauri na Tiba ya kikohozi na mafua kwa watoto



Pamoja Sana,

AshaDii.
Mkuu nikuulize, hivi kuna tiba ya tatizo la kutockia vizuri ikiwa imetokea tu yaani co tatizo la kuzaliwa nalo, naomba majibu pliz
 
Nmefurah kuanzishwa kwa uzi huu. Ila nina tatizo ambalo nmehangaika sana hospital nying lkn cjapata nafuu. Tatizo Langu. Nikwamba nasikia maumivu mgogongon pia miguu na mikono inachochoma sana. Tafadhar msaada wenu. Nimehangaika sana
 
Nmefurah kuanzishwa kwa uzi huu. Ila nina tatizo ambalo nmehangaika sana hospital nying lkn cjapata nafuu. Tatizo Langu. Nikwamba nasikia maumivu mgogongon pia miguu na mikono inachochoma sana. Tafadhar msaada wenu. Nimehangaika sana
Nmefurah kuanzishwa kwa uzi huu. Ila nina tatizo ambalo nmehangaika sana hospital nying lkn cjapata nafuu. Tatizo Langu. Nikwamba nasikia maumivu mgogongon pia miguu na mikono inachochoma sana. Tafadhar msaada wenu. Nimehangaika sana
Nmefurah kuanzishwa kwa uzi huu. Ila nina tatizo ambalo nmehangaika sana hospital nying lkn cjapata nafuu. Tatizo Langu. Nikwamba nasikia maumivu mgogongon pia miguu na mikono inachochoma sana. Tafadhar msaada wenu. Nimehangaika sana
 
Mkuu ZeMarcopolo Ni kweli unayoyasema mimi wengi ninawapa ushauri wangu lakini wakisha pona hawaji kuleta Feedback ndio walivyo Wa-Tanzania matatizo yao wakishapona tu wamesahau wapi waliposhauriwa mpaka kupona waonee huruma hawa Wa-Danganyika mkuu wasamehe hawajuwa watendayo kwani Tabia haina dawa.
Dawa yao inachemka.
 
Group A
*Colchicine(colcrys)
Trade name(col-benemind)

*nonsteroidal ant-flamatory drugs(NSAIDs)
Trade name (brufen, indocid)

Group B
*Allopurinol (zyloprim)
(Trade name- duzallo)

*probenecid
(Trade name col-benemind )

*febuxostat

*pegloticase

ANAYEJUA DUKA LA DAWA LINALOUZA BAADHI YA HIZO DAWA MKOA WA DAR ES SALAAM IKIWEZEKANA HATA BEI YAKE NAOMBAA
 
Nmefurah kuanzishwa kwa uzi huu. Ila nina tatizo ambalo nmehangaika sana hospital nying lkn cjapata nafuu. Tatizo Langu. Nikwamba nasikia maumivu mgogongon pia miguu na mikono inachochoma sana. Tafadhar msaada wenu. Nimehangaika sana
Umewahi kupima vidonda vya tumbo?
 
[jamani kunawatu baada ya kuhakiki na kuona kweli hii mizizi inafanya kazi kama nlivosema, wameanza kunipigia simu na kusema eti wao ni madaktari na watafiti wanaomba kuifanyia utafiti na tuingie ubia.! Wengine eti niwauzie kwa bei ya jumla.
Tafadhali nasema hivi, dawa siiuzi na wala sihitaji mtafiti wala daktari bingwa hapa!! Maana nawafaham nyie na kujifanya kwenu eti watafiti. Sitaki.
Dawa nawasaidia wanaume wenzangu bureee! Sihitaji usumbufu na kamwe sitamtajia mtu jina la huo mmea hata uje na bilioni.
Hiyo dawa huwa ina saidia nn mkuu...?
 
ukiona hivyo kuna matatu
1. wamefanikiwa ndio maana wamekimbia
2. wameona kama vile ushauri si mzuri
3.hawajafanikiwa ----ila hili mara nyingi huwa wanakuja kutoa report kuwa baada ya kufanya hivi limetokea tatizo fulani.
 
26 Reactions
Reply
Back
Top Bottom