Mabibi na mabwana ITV wanaonekana live bungeni na mijadala ya bajeti inaendelea. Mambo sasa mwendo mdundo!
Kulikoni?
Itakuwa yale mambo yetu ya bunge live yamerejeshwa kimya kimya au ni kwa bajeti hii ya Mwigulu peke yake?
Je, au ndiyo rasmi kuwa yale ya watu kufanya kazi badala ya kuangalia mambo ya bunge sasa ndiyo basi?
Au je, pengine mabadiliko haya ni kwa sababu waliokuwa wanatuchelewesha kimaendeleo hawapo tena bungeni?
Au labda ni katika yale ya moto moto yajayo ya awamu ya sita ya mama Samia Suluhu rais wetu wa JMT kazi inapoendelea?
Si kuwa ilikuwa vyema ikajulikana kama huu ndiyo ulio msimamo mpya na kwa uwazi?
Ninawasilisha.
Kulikoni?
Itakuwa yale mambo yetu ya bunge live yamerejeshwa kimya kimya au ni kwa bajeti hii ya Mwigulu peke yake?
Je, au ndiyo rasmi kuwa yale ya watu kufanya kazi badala ya kuangalia mambo ya bunge sasa ndiyo basi?
Au je, pengine mabadiliko haya ni kwa sababu waliokuwa wanatuchelewesha kimaendeleo hawapo tena bungeni?
Au labda ni katika yale ya moto moto yajayo ya awamu ya sita ya mama Samia Suluhu rais wetu wa JMT kazi inapoendelea?
Si kuwa ilikuwa vyema ikajulikana kama huu ndiyo ulio msimamo mpya na kwa uwazi?
Ninawasilisha.