Mijadala mingi inayofanyika kwenye media sasa kuhusu usafiri wa majini na usalama wake ni uthibitisho wa low IQ ya mwafrika?

Bonde la Baraka

JF-Expert Member
Sep 22, 2016
4,580
7,938
Sisi Waafrika tunaendeshwa na matukio badala ya sisi kuyaendesha matukio.
Maana hii mijadala sijawahi kuiona au kuisikia kwenye vyombo vya habari siku za nyuma, ila sasa baada ya tukio la ajali wataalamu kadhaa tunawaona kwenye runinga wakichambua usafiri wa majini & it's safety.
Mzungu mmoja alisema kuwa "Waafrika hawawezi kuona mbali, wanaona karibu tu, na hata wakiona tatizo lililo karibu hawawezi kutatua"
Sasa hivi wataalamu uchwara wako Chanel ten wakitoa darasa.
 
kweli kabisa, likitokea tukio lingine tutaanza tena darasa
 
Hivi hili tatizo limetokea afrika au Tanzania? Manake kwa waliofika South Africa,Egypt na Tunisia wapo mbele sana juu ya kuokoa raia wao. Tatizo lipo Tanzania sio afrika viongozi wa Tanzania hawawajali wananchi wao ndio maana haya mambo hutokea kila mara.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
"Waafrika hawawezi kuona mbali, wanaona karibu tu, na hata wakiona tatizo lililo karibu hawawezi kutatua"


Kwakuwa alisema mzungu basi unalichukulia kuwa ni jambo la kweli! What if na yeye alinukuu statement hiyo toka kwa mwafrika aliyechoka kifikra?
 
Jamaaa nilishangaa alivyotofautisha kivuko na meli, mpaka nikazima TV nikaondoka.
Eti alisema utofauti wa kivuko na meli.
Alisema kivuko kimetengenezwa kwa ajili ya maji baridi na meli imetengenezwa kwa maji baridi na chumvi.

Sasa apo kwa maelezo yake, Mimi ambae sina utaaramu wa maswala ya vyombo vya majini nampinga kwa sababu apa kivukoni Dar es salaam. Maji ni chumvi na kuna kivuko kinafanya kazi. Na kingine
 
Jamaaa nilishangaa alivyotofautisha kivuko na meli, mpaka nikazima TV nikaondoka.
Eti alisema utofauti wa kivuko na meli.
Alisema kivuko kimetengenezwa kwa ajili ya maji baridi na meli imetengenezwa kwa maji baridi na chumvi.

Sasa apo kwa maelezo yake, Mimi ambae sina utaaramu wa maswala ya vyombo vya majini nampinga kwa sababu apa kivukoni Dar es salaam. Maji ni chumvi na kuna kivuko kinafanya kazi. Na kingine
Hahaha
 
Sisi Waafrika tunaendeshwa na matukio badala ya sisi kuyaendesha matukio.
Maana hii mijadala sijawahi kuiona au kuisikia kwenye vyombo vya habari siku za nyuma, ila sasa baada ya tukio la ajali wataalamu kadhaa tunawaona kwenye runinga wakichambua usafiri wa majini & it's safety.
Mzungu mmoja alisema kuwa "Waafrika hawawezi kuona mbali, wanaona karibu tu, na hata wakiona tatizo lililo karibu hawawezi kutatua"
Sasa hivi wataalamu uchwara wako Chanel ten wakitoa darasa.
WEWE ACHA UJINGA!
Ferry dusasters zinatokea hata Ulaya.
Siyo kwa vile kasema mzungu basi unajishobokea!

Mimi nilikuwa Uingereza 1987 ilipotokea tukio la kuzama Ferry, katika Port ya Zeebrugge.
Watu waliofariki ni193.
Sihalalishi ajali zetu lakini tujifunze zisitokee.

MS Herald of Free Enterprise
Roll-On/Roll-Off Ferry

MS Herald of Free Enterprise was a roll-on/roll-off ferry which capsized moments after leaving the Belgian port of Zeebrugge on the night of 6 March 1987, killing 193 passengers and crew. The modern eight-deck car and passenger ferry, owned by Townsend Thoresen, had been designed for rapid loading and unloading on the competitive cross-channel route, and there were no watertight compartments. When the ship left harbour with her bow-door open, the sea immediately flooded the decks, and within minutes she was lying on her side in shallow water. Although the immediate cause of the sinking was found to be negligence by the assistant boatswain, who was asleep in his cabin when he should have been closing the bow-door, the official inquiry placed more blame on his supervisors and a general culture of poor communication in Townsend Thoresen. The vessel was salvaged and put up for sale, and on 30 September 1987, was sold to Naviera SA Kingstown, and was renamed Flushing Range. On 22 March 1988 the vessel was taken to Taiwan to be dismantled.
Launched: 1980
Beam: 76.08 ft
Draught: 18.77 ft
Length: 432.78 ft
 
Hivi hili tatizo limetokea afrika au Tanzania? Manake kwa waliofika South Africa,Egypt na Tunisia wapo mbele sana juu ya kuokoa raia wao. Tatizo lipo Tanzania sio afrika viongozi wa Tanzania hawawajali wananchi wao ndio maana haya mambo hutokea kila mara.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
Tupa mfano wa tukio lililotokea South Afrika na jinsi wataalamu walivyookoa
 
Ujajua kuwa hii ni nchi yenye population yawajinga wakutengenezwa zaid ya milioni 45??

We watu wanaambiwa kivuko kilikata kona ghafla na wanakubali, yaani kivuko kimekuwa arteza?
hata mm nlijiuliza hiyo kona ya gafla iko vp kwenye kivuko
 
Wewe mbona hujawai anzisha mjadala huo humu jukwaani.

Ni kawaida yetu kuona mapungufu ya wengine ilhali tuko kundi moja.

Matatizo yanayotukumbuka sisi watanzania ni kutokuwa na uthubutu wa kuchukua hatua na serikali kutokusimamamia vyema maisha ya raia wake ni rahis kupredict majanga kutokana na behavior zetu
 
Tunajifunza kutokana na matukio.
AU WEWE UWA UNATOKA NA MWAVULI KILA SIKU.UKITEGEMEA MVUA ITAKUNYESHEA?
 
Mhehe akiongea kihehe , Mgogo anaelewa na Mgogo akiongea Kigogo na Mhehe anaelewa.

Shida inakuja Mgogo anapotaka kuongea Kihehe au Mhehe anapotaka kuongea Kigogo.

Kwenye hii ajali kila mmoja amegeuka kuongea "Lugha" ambayo sio yake (kila mtu amegeuka kuwa mchambuzi)
 
Kwakuwa alisema mzungu basi unalichukulia kuwa ni jambo la kweli! What if na yeye alinukuu statement hiyo toka kwa mwafrika aliyechoka kifikra?

Limethibitika kwa matukio haya kibaya zaid huwa tuna prove wenyewe hii misemo
 
Back
Top Bottom