Invisible
Robot
- Feb 11, 2006
- 9,075
- 7,873
Baadhi ya watu wamekuwa wakijaribu kuupindisha ukweli ndani ya JF na kuanza kuwafanya watumiaji wa JF kudhani kuwa aidha wanaonewa au kuna jambo nyuma ya pazia. Ni wakati muafaka wa kuwafahamisha watumiaji wa JF (wanachama na wasio wanachama) nini hufanywa na moderators na kwa misingi ipi.
Kwanza tuziangalie kanuni/sheria za JF ambazo ndizo hutumika kuwahukumu watumiaji wote (si nje ya hapo!). Mara nyingi tumekuwa tukiwasisitiza wanachama (members) kuwa ni vema wakazisoma sheria hizi kabla ya kuanza kuitumia JF ili hatua flani zinapochukuliwa zisionekane kuwa zimewakandamiza, ni wajibu wetu kama watumiaji wa JF kuanza kuangalia sheria hizi na kupendekeza wapi pafanyike marekebisho na kivipi.
=============
Tafadhali zingatia mambo yafuatayo:
Mfano: Kuandika neno fvck kwa nia ya kukwepa censorship ni kutukana kwa kudhamiria kabisa, tumelishtukia hili na mara inapobainika hoja husika huondolewa na mhusika kufahamishwa juu ya kosa lake, anapothibitika kuendelea kukaidi basi hufungiwa kwa muda au kufutiwa uanachama kabisa!
Kuna wadau walikuwa na kawaida ya kuwasiliana na wenzao kwa mapenzi yao wenyewe au hata bila wao kuhitaji, namna pekee ya kuwasilisha PM au email ambayo unaona inaleta tatizo kwako si kuibwaga katika hadhara bali kuituma kwetu na sisi tukaifanyia uchunguzi na kubaini ubovu wa PM wenyewe au Email husika ili mhusika achukuliwe hatua za kinidhamu. Tunalichukulia suala la PM na Emails kuwa private, kulileta hadharani ni kutafuta magomvi na kudhalilishana.
Ieleweke kuwa kila post ambayo inaondolewa kwenye public domain ipo; zinabaki kwa ushahidi siku za usoni maana wengine hukana kuwa walifanya makosa wanayoambiwa walifanya; hatufuti MOJA KWA MOJA, zinawekwa sehemu kwa ajili ya reference za makosa ya wanachama wetu.
IELEWEKE KUWA:
JF kamwe haitamsimamia au kumpendelea mtu kwa sababu ya DINI yake au ITIKADI YA KISIASA aliyokuwa nayo.
Tutaendelea kutoa uhuru, hatuwezi kumfungia mtu kwakuwa hupendi anavyopingana na mtizamo wako wa kisiasa au kidini; kama huwezi kujizibizana naye kaa mbali naye.
Hatutamwonea huruma yeyote anayeonekana kutaka kuvunja sheria kwa kisingizio chochote kile; endapo unaona kuna mtu kaenda kombo na sheria hizi usisite kuwasiliana nasi, unaweza kubonyeza CONTACT US au hata kutumia barua pepe kwenda support@jamiiforums.com ili hatua za haraka zichukuliwe.
Malalamiko ya baadhi ya comments au topics kuachwa bila kutoa ushirikiano kwa kuziripoti hoja zenyewe via REPORT Button (inaonekana kwa wanachama).
Soma mwongozo kwa watumiaji hapa: JamiiForums' Community Engagement Guidelines
Kwanza tuziangalie kanuni/sheria za JF ambazo ndizo hutumika kuwahukumu watumiaji wote (si nje ya hapo!). Mara nyingi tumekuwa tukiwasisitiza wanachama (members) kuwa ni vema wakazisoma sheria hizi kabla ya kuanza kuitumia JF ili hatua flani zinapochukuliwa zisionekane kuwa zimewakandamiza, ni wajibu wetu kama watumiaji wa JF kuanza kuangalia sheria hizi na kupendekeza wapi pafanyike marekebisho na kivipi.
=============
Tafadhali zingatia mambo yafuatayo:
Wadau wengi wamekuwa wakiivunja kanuni hii; haturuhusu kwa namna yoyote iwayo kuvunjiana heshima kwa makusudi wala matusi kwa namna yoyote iwayo.Participants will keep a polite tone and ensure that a sense of respect and tolerance permeates the discussion.
Mfano: Kuandika neno fvck kwa nia ya kukwepa censorship ni kutukana kwa kudhamiria kabisa, tumelishtukia hili na mara inapobainika hoja husika huondolewa na mhusika kufahamishwa juu ya kosa lake, anapothibitika kuendelea kukaidi basi hufungiwa kwa muda au kufutiwa uanachama kabisa!
Hili nalo pia husababisha hoja za watu kufungwa, kufutwa au mhusika kupewa onyo.Be courteous, respectful and appropriate
Be critical of ideas, but remember there are other people involved. Be tactful and kind. You can hurt the feelings of a person reading your post.
You agree that your comments/ideas and feedback will be constructive and will not sharply criticize or attack another participant or their ideas, avoiding the use of all capital, all bold or italic letters. Criticism must be constructive, well-meaning, and well-articulated. Rants directed at any contributor are highly unacceptable. Just because you do not agree with another participant’s post/opinion does not mean that he/she is terribly wrong. Instead, offer a different perspective to encourage further discussion.
Nadhani maelezo yaliyo juu yanajieleza wazi, natamani wengi wangeelewa maana ya maneno hayo juu! JF kuna watu wazima na vijana. Mizaha isiyo na staha haifai. Waheshimu wadau wote; vinginevyo hoja yako inaweza kuondolewa na ukawajibishwa.Avoid provocative jokes
Because you are not in a face-to-face environment, it’s easier for someone to take something you say the wrong way.
Kuanzisha mada ambayo unataja chanzo ni jambo jema (tena ikibidi na link ya chanzo). Kutumia screenshots za social media platforms, kutumia vyanzo ambavyo havieleweki; inapelekea hoja kuondolewa hadi ithibitishwe.If you use a source, cite it properly
Give credit where credit is due. Include links where appropriate. You are solely responsible for the content of your messages. We cannot verify content and thus accept no responsibility for it, nor do we vouch for the accuracy, completeness, or utility, of any message or the qualifications of any user.
Kuna wadau walikuwa na kawaida ya kuwasiliana na wenzao kwa mapenzi yao wenyewe au hata bila wao kuhitaji, namna pekee ya kuwasilisha PM au email ambayo unaona inaleta tatizo kwako si kuibwaga katika hadhara bali kuituma kwetu na sisi tukaifanyia uchunguzi na kubaini ubovu wa PM wenyewe au Email husika ili mhusika achukuliwe hatua za kinidhamu. Tunalichukulia suala la PM na Emails kuwa private, kulileta hadharani ni kutafuta magomvi na kudhalilishana.
Hapo juu panajieleza. Lakini, ukionekana upo humu ajili ya kukera watu, hoja zako zitawekwa kando na akaunti inaweza kufungiwa.Flaming, Bashing, and Trolling
Hate posts and personal attacks will not be tolerated on JamiiForums. Treat others on these forums as you would expect them to treat you. Posting topics specifically designed to provoke a negative response from someone (aka trolling) is also asked to be avoided.
You agree to refrain from posting or uploading anything obscene, hateful, blasphemous, derogatory or uploading anything that is defamatory or libelous or invades another person’s privacy or proprietary rights. If you need to ask yourself whether something is appropriate, it’s probably not.
Wengi wamekuwa wakiivunja hii makusudi kabisa; wanaanzisha salaam ndani ya topic na mods huchukua hatua za kuondoa kila post yenye kuwa nje ya hoja au wanapoona topic imejaa majibizano yasiyo na tija kwa jamii basi topic nzima hufungwa au kuondolewa kabisa. Aidha, kuanzisha mjadala wa kidini sehemu ya siasa wakati kuna jukwaa la dini ni kukosea, mods huhamisha mjadala husika kwenda jukwaa husika wakiwa wameacha redirection na ukibonyeza title ya topic husika utajikuta unaendelea kuisoma katika location mpya.Off-Topic Posts
There is no major punishment for off-topic posters. But let’s be honest, it drives us all mad!If you have something to say but it really has nothing to do with the current thread you are in, please open a new thread for it. Otherwise it will just be trashed.
Ieleweke kuwa kila post ambayo inaondolewa kwenye public domain ipo; zinabaki kwa ushahidi siku za usoni maana wengine hukana kuwa walifanya makosa wanayoambiwa walifanya; hatufuti MOJA KWA MOJA, zinawekwa sehemu kwa ajili ya reference za makosa ya wanachama wetu.
Inajieleza, ukikosea post/hoja yako itafutwa!Nudity / Porn
Please, remember that this board is a PUBLIC forum. There are 12 year olds here just as there are 60+ year olds. Nudity and porn are prohibited for obvious reasons.
Signatures za watu wengine huwa ndefu SANA, au zina maneno yasiyo na heshima kabisa. Huwa tunaziondoa na kumfahamisha mhusika, akionekana kuwa mbishi basi ananyimwa access ya kuwa na signature. Hii pia hujitokeza kwa avatars.Signatures & Avatars
We do not have any specific set of rules regarding signatures. However, we do ask you that it will not be offensive to others. No adult, drug related or racist content please.
Na hii ndo huwapa mods kazi ngumu, wanajaribu kuzipitia threads kuangalia kama zinastahili kubakia katika public domain au zinavunja yale niliyoonyesha kwa rangi nyekundu hapo juu.... Inakuwa ni mtihani lakini kwa ushirikiano wa members wanaojali basi huzifanyia kazi accordingly.Questionable Content
Since we can't have a rule to cover everything, this is the rule to, well, cover everything. These are public boards, so act like you would if you were in a public place. These issues are left to the discretion of the individual moderators, but may include any material that is knowingly false and or defamatory, misleading, inaccurate, abusive, vulgar, hateful, harassing, obscene, profane, sexually oriented, threatening, invasive of a person's privacy, that otherwise violates any law, or that encourages conduct constituting a criminal offense.
We reserve the right to ban any user temporarily or permanently, refuse posting from screen names we find offensive, edit or delete any post, limit postings on any topic, and shut down any topic altogether, for any reason, or no reason, without explanation or warning.
IELEWEKE KUWA:
JF kamwe haitamsimamia au kumpendelea mtu kwa sababu ya DINI yake au ITIKADI YA KISIASA aliyokuwa nayo.
Tutaendelea kutoa uhuru, hatuwezi kumfungia mtu kwakuwa hupendi anavyopingana na mtizamo wako wa kisiasa au kidini; kama huwezi kujizibizana naye kaa mbali naye.
Hatutamwonea huruma yeyote anayeonekana kutaka kuvunja sheria kwa kisingizio chochote kile; endapo unaona kuna mtu kaenda kombo na sheria hizi usisite kuwasiliana nasi, unaweza kubonyeza CONTACT US au hata kutumia barua pepe kwenda support@jamiiforums.com ili hatua za haraka zichukuliwe.
Malalamiko ya baadhi ya comments au topics kuachwa bila kutoa ushirikiano kwa kuziripoti hoja zenyewe via REPORT Button (inaonekana kwa wanachama).
Soma mwongozo kwa watumiaji hapa: JamiiForums' Community Engagement Guidelines