Wananchi tunahitaji kujua suala la miili ya watu saba waliokotwa mto ruvu.
Mh mwigulu nchemba alinukuliwa na vyombo vya habari kwamba miili hiyo ni ya wahamiaje bado tunataka kujua yeye alijuaje kwamba ni wahamiaji?
Hata kama ni wa wahamiaji ilikuaje wafungwe kwenye viroba na mawe na kisha kutumbukizwa mtoni?
Suala la mmiliki wa mtandao wa jamii forum limetufanya kusahau kuhoji suala hili kitu ambacho sio sahihi.
Ikumbukwe mpaka sasa haijafahamika wapi alipo Ben sanane labda akiwa hai au amekufa sasa ni lazima tujue kama labda na yeye ni miungoni mwa hao miili saba ya mto ruvu kama mhamiaji haramu au la.
Watanzania tujipambanue sasa,kuna watu wanatumia matukio kusahaulisha matukio mengine.
Waziri mkuu ktk sikuu ya maulid alisema kwamba serikali ichunguze kuhusu hiyo miili saba,je uchunguzi umefikia wapi?na je uchunguzi huo unafanywa na tume huru?
Kumewahi kuuwa watu kwenye mkutano wa chadema arusha baada ya kurushwa bomu na watu ambao mpaka sasa hawajulikani sasa ninaliona na hili likipotea hivi hivi.
Wanaouawa au kupotea ktk mazingira ya kutatanisha ni ndugu zetu,unaweza chukulia kawaida ila siku likifika ktk familia yenu ndio utajua uchungu,tupaze sauti kupinga wenzetu kutishiwa amani na kuuawa kwa tofauti za kivyama,hii nchi ni yetu sote na kila mtu ataiacha.
Tunamhitaji Beni sanane akiwa hai na tutaendelea kupaza sauti zetu.
[HASHTAG]#Maxaachiwehuru[/HASHTAG]
[HASHTAG]#HakikwaGodblesslema[/HASHTAG]
[HASHTAG]#TunamtakaBensananeakiwahai[/HASHTAG].
Swelana.
Mh mwigulu nchemba alinukuliwa na vyombo vya habari kwamba miili hiyo ni ya wahamiaje bado tunataka kujua yeye alijuaje kwamba ni wahamiaji?
Hata kama ni wa wahamiaji ilikuaje wafungwe kwenye viroba na mawe na kisha kutumbukizwa mtoni?
Suala la mmiliki wa mtandao wa jamii forum limetufanya kusahau kuhoji suala hili kitu ambacho sio sahihi.
Ikumbukwe mpaka sasa haijafahamika wapi alipo Ben sanane labda akiwa hai au amekufa sasa ni lazima tujue kama labda na yeye ni miungoni mwa hao miili saba ya mto ruvu kama mhamiaji haramu au la.
Watanzania tujipambanue sasa,kuna watu wanatumia matukio kusahaulisha matukio mengine.
Waziri mkuu ktk sikuu ya maulid alisema kwamba serikali ichunguze kuhusu hiyo miili saba,je uchunguzi umefikia wapi?na je uchunguzi huo unafanywa na tume huru?
Kumewahi kuuwa watu kwenye mkutano wa chadema arusha baada ya kurushwa bomu na watu ambao mpaka sasa hawajulikani sasa ninaliona na hili likipotea hivi hivi.
Wanaouawa au kupotea ktk mazingira ya kutatanisha ni ndugu zetu,unaweza chukulia kawaida ila siku likifika ktk familia yenu ndio utajua uchungu,tupaze sauti kupinga wenzetu kutishiwa amani na kuuawa kwa tofauti za kivyama,hii nchi ni yetu sote na kila mtu ataiacha.
Tunamhitaji Beni sanane akiwa hai na tutaendelea kupaza sauti zetu.
[HASHTAG]#Maxaachiwehuru[/HASHTAG]
[HASHTAG]#HakikwaGodblesslema[/HASHTAG]
[HASHTAG]#TunamtakaBensananeakiwahai[/HASHTAG].
Swelana.