screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,792
- 15,693
Akikujibu nitagMwanajeshi alindwe?
Akikujibu nitagMwanajeshi alindwe?
Walinda amani.....kuna muda wanarudi kambini...kila mtu anaenda chumba chake...silaha wanarudisha kwenye chumba maalum.....hadi ukiwa zamu kwenda doria......hawa wamestukizwa kambini kwao...wakiwa na ndala wengine wanapiga story wako kiraia.......sio rahisi kupambana ukiwa mikono mitupu....wachache sana walikuwa lindo wakasaidia ila waasi walikuwa wengi na walijipanga!!! Kumbuka hawa hawajaenda kupigana na adui wao wanalinda amani....wale adui wasije mjini kufanya fujo....wanasaidia jeshi la DRC.....naamini umepata picha!!Wanajesh 14 ni wengi sana ..tunaambiwa 44 wanejeruhiwa vibaya...sasa walikuwa wamelala ama vip
Sasa kama mwanajeshi hatakiwi kukaa sehemu hatarishi nani anapaswa akae, raia?ndio analindwa; kama ukimuweka katika kambi hatarishi na ambayo ni rahisi kushambuliwa na maadui unakuwa umemuweka mazingira hatarishi na utakuwa haujamlinda
jeshi limesema linachunguza mazingira ya tukio, na ni njama za PK jeshi lina source zake za habari litajua na kama ni kweli na uhakika litamshugulikia kimyakimya au waziwazi. Na pia PK kama kweli anacheza hii michezo hamjui JPM akimshtukia na kumgeukia itakuwa zaidi ya ile operation kimbunga ya JK.Ndio tujifunze......tuko vitani na wapinzani wetu vitani ni majirani zetu ambao eti ghafla ni marafiki wa kutusaidia mawazo kuendesha nchi na usalama! Kweli??? Urafiki wa mashaka.......na PK
Nina vyojua wanajeshi wanajilinda wenyewe.ndio analindwa; kama ukimuweka katika kambi hatarishi na ambayo ni rahisi kushambuliwa na maadui unakuwa umemuweka mazingira hatarishi na utakuwa haujamlinda
Ambush. Inawezekana hata bunduki hawakuwa Nazi mkononi. Nakumbuka wakenya walipata tatizo kama hilo n.a. Alshabaab. Cha kujiuliza ni hivi...hakuna mtu aliyewauza ndani ya hiyo kambi?Wanajesh 14 ni wengi sana ..tunaambiwa 44 wanejeruhiwa vibaya...sasa walikuwa wamelala ama vip
Huyu akipatikana sipatii picha adhabu yake... hata gerezani inakua haitoshiKatika shambulio kama hili inawezekana kuna askari asiye mtiifu anatoa taarifa za kambi kwa waaasi ...ikiwemo idadi ya askari, aina za silaha,geographical location ya kambi nk. Mara nyingi mtu wa aina hii Mpaka mje mumtambue/kumgundua mnakua mshaumia sana na ningumu kumbaini
Huyo askari lazima atakuwa ni muumini wa ukawa. Hao ndio wanaomba majanga yalikumbe taifa kila kukicha.Katika shambulio kama hili inawezekana kuna askari asiye mtiifu anatoa taarifa za kambi kwa waaasi ...ikiwemo idadi ya askari, aina za silaha,geographical location ya kambi nk. Mara nyingi mtu wa aina hii Mpaka mje mumtambue/kumgundua mnakua mshaumia sana na ningumu kumbaini
Shaba ila warumi ndo walikua kiboko unaoigwa marungu mpaka unakufaHuyu akipatikana sipatii picha adhabu yake... hata gerezani inakua haitoshi