Mii si MBUMBUMBU kwa huu UMASKINI WA TANZANIA

bosskilala

New Member
Sep 26, 2010
2
0
Mii si MBUMBUMBU
Hivi inanishangaza sana kuona Serikali ya Tanzania inavyoagiza Magari ya Kifahari kama Toyota Land Cruiser V8 nchini JAPAN

Gari moja ni zaidi ya TSH 60,000,000/ (MILIONI SITINI)
Utashangaa sehemu fulani hapa nchini, JAPAN imetoa MSAADA wa kuchimba KISIMA CHA MAJI CHA TSH 3,000,000 (MILIONI TATU)

Pesa za kununua magari zipo lakini za kuwajengea wananchi kisima hazipo.

MI SIO MBUMBUMBU

TUAMKE WATANZANIA
 
mkuu kuna data nyingi tu ukianza kuzichanganua unakuja kukuta misaada wanayodai ni misaada haizidi hela ambayo tunaitumia kuimport vitu..
 
Mii si MBUMBUMBU
Hivi inanishangaza sana kuona Serikali ya Tanzania inavyoagiza Magari ya Kifahari kama Toyota Land Cruiser V8 nchini JAPAN

Gari moja ni zaidi ya TSH 60,000,000/ (MILIONI SITINI)
Utashangaa sehemu fulani hapa nchini, JAPAN imetoa MSAADA wa kuchimba KISIMA CHA MAJI CHA TSH 3,000,000 (MILIONI TATU)

Pesa za kununua magari zipo lakini za kuwajengea wananchi kisima hazipo.

MI SIO MBUMBUMBU

TUAMKE WATANZANIA

Nadhani una maana DC wa Ngorongoro aende Arusha Mkoani kwa CARINA au VITARA!!! (1 Week my friend)
 
Mii si MBUMBUMBU
Hivi inanishangaza sana kuona Serikali ya Tanzania inavyoagiza Magari ya Kifahari kama Toyota Land Cruiser V8 nchini JAPAN

Gari moja ni zaidi ya TSH 60,000,000/ (MILIONI SITINI)
Utashangaa sehemu fulani hapa nchini, JAPAN imetoa MSAADA wa kuchimba KISIMA CHA MAJI CHA TSH 3,000,000 (MILIONI TATU)

Pesa za kununua magari zipo lakini za kuwajengea wananchi kisima hazipo.

MI SIO MBUMBUMBU

TUAMKE WATANZANIA



Mkuu wa wilaya ya ILALA eti nae unaweza mkuta akawa na gari kama hilo , hv jamani magari hayo na gharama zake kwa wilaya za mijin na pacpo safari nying c Escudo tu itatosha?
 
At least uwe rational basi katika judgement zako siyo kutoa lawama jumla jumla tu. There are situations where hata ungekuwa wewe you would need a similar transport. Waziri wa miundo mbinu anatakiwa kutembelea kazi za ujenzi wa barabara maeneo mbalimbali anaweza kwenda na CRESTA kigoma!!! may be hao ambao kazi zao ziko maeneo ya karibu.
 
Kwani lazima aende Kigoma kwa V8. Precision Air hazifiki uko?
 
Mii si MBUMBUMBU
Hivi inanishangaza sana kuona Serikali ya Tanzania inavyoagiza Magari ya Kifahari kama Toyota Land Cruiser V8 nchini JAPAN

Gari moja ni zaidi ya TSH 60,000,000/ (MILIONI SITINI)
Utashangaa sehemu fulani hapa nchini, JAPAN imetoa MSAADA wa kuchimba KISIMA CHA MAJI CHA TSH 3,000,000 (MILIONI TATU)

Pesa za kununua magari zipo lakini za kuwajengea wananchi kisima hazipo.

MI SIO MBUMBUMBU

TUAMKE WATANZANIA

Land Cluser V8 ni USD 63,200 hapo weka CIF dar inafika 65,500 hivi - Ushuru usiweke sababu wenyewe wanayotoa tu si ni ya serikali. So jumla V8 moja kuliltea bongo ni Tshs. 98,250,000/=

Serikalini tu V8 zipo zaidi ya 200, piga hesabu kwa zote kabla ya running costs ni 19,650,000,000/= Billion 19.7 Ttshs.

hatujaguza sehemu zingine ambazo pesa kibao zinapotea hii pesa ni magari tu ya serikali na tena si yote. Serikali ambayo ni maskini kabisa duniani.

Afya duni
Elimu duni
Matumizi juu

Kweli Matumizi zaidi, Kuombaomba zaidi, umaskini zaidi - Chagua SISIEM ujute miaka mingine mitano.
 
Nadhani una maana DC wa Ngorongoro aende Arusha Mkoani kwa CARINA au VITARA!!! (1 Week my friend)

By the way hatuhitaji kuwa na DC wala mkuu wa mkoa, kwani hamna kazi wanazofanya huko zaidi ya kuwa wanasiasa na ndio maana tuna WABUNGE ambao ni wakuu wa mikoa.
 
To me it sounds as if that is even a more costly approach, don't you think?

Fafanunua ndugu muafaka, Ina navyotakiwa ni kuwa atleast kila Mkoa una kuwa na hizo V8 moja inatosha na huyo waziri akifika huko atapanda hiyo kama anaenda kutembelea huko wilayani, na pia kwa Dar es salaam hatuhitaji kuwa na magari kila V8 kila idara, magari yatakuwa pool kama mtu anahitaji V8 anakwenda kuchukua na sio V8 ya kumpeleka Dodoma wakati barabara ni ya lami GRAND VITARA inatosha.
 
Mii si MBUMBUMBU
Hivi inanishangaza sana kuona Serikali ya Tanzania inavyoagiza Magari ya Kifahari kama Toyota Land Cruiser V8 nchini JAPAN

Gari moja ni zaidi ya TSH 60,000,000/ (MILIONI SITINI)
Utashangaa sehemu fulani hapa nchini, JAPAN imetoa MSAADA wa kuchimba KISIMA CHA MAJI CHA TSH 3,000,000 (MILIONI TATU)

Pesa za kununua magari zipo lakini za kuwajengea wananchi kisima hazipo.

MI SIO MBUMBUMBU

TUAMKE WATANZANIA
karibu boss, jf kweli we si mbumbumbu, kama ms, jeykeywaukweli,mtu wa pwani................................
 
Fafanunua ndugu muafaka, Ina navyotakiwa ni kuwa atleast kila Mkoa una kuwa na hizo V8 moja inatosha na huyo waziri akifika huko atapanda hiyo kama anaenda kutembelea huko wilayani, na pia kwa Dar es salaam hatuhitaji kuwa na magari kila V8 kila idara, magari yatakuwa pool kama mtu anahitaji V8 anakwenda kuchukua na sio V8 ya kumpeleka Dodoma wakati barabara ni ya lami GRAND VITARA inatosha.

Tunahitaji aina hiyo ya hoja siyo lawama pekee kwa kuwa haijengi, Bosskilala angejifunza kufikiri hivyo hatua kadhaa zingepigwa katika maendeleo
 
Nadhani una maana DC wa Ngorongoro aende Arusha Mkoani kwa CARINA au VITARA!!! (1 Week my friend)
Atumie gari affordable aonje ladha ya shida ana adha baada ya yeye na kamati zake kuiba fedha za miradi ya barabara
akishindwa apande farasi
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom