Nimetembelea Kimanga. Mida hii wamekata umeme na watu wameanza kushangiria. Hapa nilipo Bar iko karibu na kituo cha ccm lkn hakuna bashasha. Tafadhari anayeangalia luninga anijuze nn kinaendelea
Jamani mnasikia habari za mama (AFISA MTENDAJI KATA YA TABATA) alivyokamatwa na karatasi (form za kujaza matokeo). Hii habari hiko live ITV hebu mwenye data arushe zaidi. Mama yuko Polisi na Mpendazoe huko polisi kufatilia
Jamani mnasikia habari za mama (AFISA MTENDAJI KATA YA TABATA) alivyokamatwa na karatasi (form za kujaza matokeo). Hii habari hiko live ITV hebu mwenye data arushe zaidi. Mama yuko Polisi na Mpendazoe huko polisi kufatilia
Na kijana aliyekatwa na muhuri hapo Anatoglo na eti polisi wamemnganya huo muhuri na kumwachia. Habari ni kwamba huo muhuri atapewa kijana mwingine au polisi wenyewe waupele. This is bad, it makes me sick. Mtu anakamatwa na nyara za serikali na kuachiwa, Hii nchi sasa ni balaa
Jamani mnasikia habari za mama (AFISA MTENDAJI KATA YA TABATA) alivyokamatwa na karatasi (form za kujaza matokeo). Hii habari hiko live ITV hebu mwenye data arushe zaidi. Mama yuko Polisi na Mpendazoe huko polisi kufatilia