Mhogo kwa kachumbari ndo unahusika kwa wanaume wa shokaumesahau mihogo kwa kachumabri
a
Dafu.nazi mdondo itabidi unijuze kidogo hapo
NAZI ILIYOKOMALIA JUU MNAZI / MPAKA IKAKAUKA MAJI HUWA NA VIRUTUBISHO MAALUMU/nazi mdondo itabidi unijuze kidogo hapo
KAJARIBU UNGA WA JINO LA NGIRI NAKWAMBIA NI MOTO WAKUOTEA PEMBENI !!!!kiboko ya dawa zote unga wa meno ya tembo unachanganya na unga pembe la kifaru.nakwambia unaanzisha clinic ya kuwafanya wasiofika kileleni
Duh, kila mtu amekuwa Dr. Ndodi siku hizi, yaani miluzi mingi humpoteza mbwa.Kula Tikiti maji kwa wingi ndio mpango mzima.
Aiseee, unajua nilikuwa sijui matumizi ya pembe za ndovu pamoja na tembo wetu kuuwawa sana, kumbe ni dawa ya nzakali iliyo doro.kiboko ya dawa zote unga wa meno ya tembo unachanganya na unga pembe la kifaru.nakwambia unaanzisha clinic ya kuwafanya wasiofika kileleni
Eti wanazifuata Gym.... HahahahaaaaaNguvu za kiume ni stalili ya maisha tu, sio maradhi. asubuhi chai mkate, mchana wali, usiku chipsi nguvu za kiume zitatoka wapi?