Danny Jully
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 4,416
- 3,860
Ni pale tu tunaposubiri uchaguzi ufanyike na si vinginevyo. Wewe hoja yako ilikuwa siyo hiyo unayoleta sasa. Ulidai serikali ni muhilili uliokamilifu, hautegemei mingine jambo ambalo siyo kweli. Sijakutukana!!
!
Matusi Au Kejeli Hazitusaidii Sana Mkuu. Nchi Inaweza Kwenda Bila Bunge Wala Mawaziri. Bunge Au Baraza La Mawaziri Linapovunjwa Selikali Huendelea Na Shughuli Zake Kama Kawaida, Huku Ikiandaa Na Kutkeleza Utaratibu Wa Kupata Bunge Lingine.